Wakuu...
Habari ya jumamosi tulivu hapo ulipo??
Umeshapata chai????
Sasa sikiliza nikuambie,
Najua ulishapita shule, iwe chekechea, vidudu, msingi, sekondari hata chuoni.
Kama utakua unakumbuka vizuri, tulikua na:
1. Majina ya utani ambayo iwe mwalimu au mwanafunzi kutaniwa
2. Misemo ya...