mtaalamu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ubungo Mataa

    Msaada: Daktari mtaalamu wa watoto

    Wanabodi, heshima mbele.. Nina binti yangu mdogo wa miezi mitatu sasa. Tatizo lake kubwa ni kucheua /kutema maziwa kupitiliza. Yani akinyonya tuu, ndani ya dakika chini ya tano anakuwa ameshayatema yote. Sio asubuhi, sio mchana, sio usiku. Hali hii imesabisha uzito wake kuongezeka kwa kiasi...
  2. benzemah

    Muuguzi aliyebishana na Mtaalam wa Maabara awekwa chini ya uangalizi

    Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) limemtia hatiani Rose Shirima aliyeonekana kwenye video katika mitandao ya kijamii akibishana na mtaalamu wa maabara kuhusu vipimo, kuwa atakuwa chini ya uangalizi wa muuguzi mkuu wa Wilaya ya Uyui, Tabora kwa kipindi cha mwaka mmoja. Rose ambaye ni...
  3. R

    Namtafuta fundi Mtaalamu wa kufungua combination lock bila kuvunja

    Habari za muda huu wakuu. Nina sanduku linatumia combination lock system, bahati mbaya nime sahau hizo code namber. Najua humu kuna watu walisoma topic ya Permutation katika advanced maths enzi hizo, sijui sasa kama bado ipo. Tafadhali naomba usaidizi wenu au 'tricks' za kufungua sanduku...
  4. mngony

    Bonnah Kamoli, mtaalamu wa masuala ya IT mwenye ndoto ya kuwa Rais wa Tanzania

    Mbunge huyo alianza kujulikana kwa jina la Bonnah Kalua, kabla ya baadae kubadili jina na kuitwa Bonna Kamoli aliwahi wakati mmoja kusema kupitia mahojiano na chombo cha habari kuwa atakuja kugombea Urais baada ya Magufuli Mzaliwa wa Geita na mtaalamu wa masuala ya IT na mahusiano ya kimataifa...
  5. Mwamuzi wa Tanzania

    Mtaalamu aje anitengenezee (design) blog ya kanisa

    Nahitaji tovuti kwa ajili ya kanisa. Mtaalamu mmoja aje pm au awake namba nimcall. Updates Nimepata mtu pm naona ataweza kunifanyia hiyo kazi. Asante.
  6. Tunguli ya Rais

    Natafuta mtaalamu wa kusafisha nyota

    Wakuu vipi, Natafuta mtaalamu konki anisaidie Kwa swala la usafishaji nyota. Kwa Zanzibar, mbeya au mwanza. Na pia kama una ufahamu wanakokwenda ma-stars kuoshewa nyota zao na kuimarisha mvuto, haswa Zanzibar. Naomba nielekezwe. Sante.
  7. Strictly Syrup

    🚨FREELANCE TASK🚨 Mtaalamu wa kutengeneza 3D models anahitajika

    Salaam, Kama una uwezo wa kutengenenza 3D models unahitajika kuna task inatakiwa kufanyika, na malipo utapata baada ya kazi. Na kama utafanya vizuri, utakuwa unapewa task za mara kwa mara. Hii siyo ya kukosa. Kama una skills hizo, karibu PM.
  8. M

    Programmer/ Mtaalamu wa java EE anahitajika!

    Habari zenu wana jamvi. Nahitaji programmer/ mtaalamu mbobefu wa Java EE kwa ajiri ya kunisaidia kwenye moja ya projects ambazo ninazo. Ni short term contract na tutalipana according to makubaliano. Kwa kifupi nature ya kazi ni ku-customize mfumo ambao upo na unatumika tayari na taasisi...
  9. Mayor Quimby

    Maana ya mtaalamu

    Huyo ndio mtaalamu ni mtu ambae anaijua physics from scratch (hizo ni elementary concepts kajitolea kufundisha kuhusu how the universe works). Sio tu kwamba ameisoma Anafundisha at top university Ame andika vitabu best sellers Anashiriki kwenye debate za wasomi wenzake to name a few of his...
  10. Mayor Quimby

    Sifa za kuitwa mtaalamu

    Kama ni msomaji wa jukwa la siasa unaweza shangazwa na wachangiaji wanaojiita wasomi wakipinga PhD’s za watu wasio wakubali. Issue za ovyo kwangu kwenye huu upingaji ni kuhusu hizi PhD za social science. Hivi unajiuliza what is so special kwenye kuandika five chapters za hizo thesiskwa mtu...
  11. YphNet

    Mtaalamu wa mchezo wa bao msaada

    Naomba mnisaidie kipengele cha kutakata katika bao la kete. Shida yangu ni kujua kipengele cha kutakata katika hatua ya kwanza ya mchezo wa bao. Je ikiwa unatakata ukatua kwenye jumba ni lazima kulala au unaruhusiwa kuzoa jumba na kuendelea kutakata ukipenda? Mi si mchezaji wa bao lakini kuna...
  12. saemonity

    Mtaalamu wa MATLAB anahitajika

    Peleni na majukumu. Natatafuta mtu mwenye ujuzi na programu ya MATLAB, sana sana kwenye Signal processing. Lengo ikiwa ni kutengeneza project. Kama unaujuzi huo na unaweza kuniongoza kujenga project kwenye programu husika naomba uni PM, malipo yapo.
  13. BARD AI

    Mtaalamu wa kukata mawimbi Chris Davidson afariki baada ya kupigwa ngumi nje ya bar

    Mchezaji nyota wa zamani wa Australia Chris Davidson amefariki baada ya kupigwa ngumi nje ya baa moja Kaskazini mwa Sydney. Mwanamaji huyo mwenye umri wa miaka 45 alipigwa usoni na kuanguka, akigonga kichwa chake kwenye barabara, polisi walisema. Alitibiwa katika eneo la tukio lakini alifariki...
  14. Google Diggers

    Tukumbushane maneno, misemo ya mtaalamu "Julio" picha yake IPO kama humjui

    'Ukiongea na Mimi hakikisha akili yako imekaa vizuri.' sio maneno yangu Julio Kwa wanaomfahamu ni mtaalamu wa soka na maneno yake makali
  15. Investaa

    Natafuta mtaalam wa kilimo na mifugo anayepatikana Dar

    Habari wataalamu wa kilimo na mifugo. Niende kwenye mada chap kwa haraka bila kupoteza muda, kama title linavyojieleza hapo juu; ni kweli natafuta hao wataalamu nifanye nao kazi ya kusaidia watanzania kwenye kilimo na ufugaji kama biashara kwa kutoa huduma ya ushauri na tiba kutokana na...
  16. Mwizukulu mgikuru

    Natafuta mtataalamu wa kutengeneza QR Code zenye taarifa zote muhimu

    Namhitaji mtaalamu ambae nitafanya nae kazi, nitamlipa kwa kila QR Code moja atakayokuwa anaitengeneza. Tafadhali nicheki PM kwa mawasiliano zaidi.
  17. T

    Joramu Nkumbi mtaalamu wa Kiswahili

    Kuna huyu bwana mdogo J. Nkumbi nimepata kumfuatilia siku 2 tatu hizi nimefurahishwa sana na maneno yake. Kwa kweli kiswahili ni lugha nguvu kuliko hata kimombo ila huyu bwana mdogo anakipiga vizuri sana. Msikilize hapa.
  18. Hopstop Ac

    Mtaalamu wa AC

    Kwa yeyote anaaeuliza ni wapi atapata AC na vifaa vyake vyote na mafundi wazuri wa kufunga AC awasiliane na sisi. 0685843224 tunatoa warranty ya mwezi mmoja kwa mashine used.
  19. M

    Natafuta mwalimu wa GIS

    Habari wakuu Ninauhitaji wa mtaalamu atakaeweza nifundisha GIS sana sana kwenye kutumia Tools kama QGIS na ARCGIS Awe Daressalaam
  20. ikhlas

    Naomba kujuzwa namna ya kupata kibali cha kufanya Fumigation

    Wadau naombeni msaada wa kupata kibali cha kufanyia shughuli za fumigation. Nimeambwa kinapatikana TPRI,sijui wapo wap kwa hapa Dar. Msaada wadau.
Back
Top Bottom