mtandao

  1. Mapank

    Mtandao wa Alibaba una magari ya bei nafuu sana, Sijajua ushuru wake kuyaingiza nchini

    Nimepitia mtandao wa Alibaba, naona kuna magari ya bei nafuu sana kuliko mitandao ya magari tuliyoizoea, Na kuna magari mengi ya umeme ya chini ya 5M Tzs, Sijajua ni kuna mlolongo upi wa manunuzi na masuala ya tax clearance kwenye bisahara ya magari huko Alibaba mpaka watu wanakomaa na mitandao...
  2. JamiiForums

    Uchambuzi wa Mabadiliko ya Kanuni za Sheria ya Maudhui ya Mtandao (2021) na Jamii Forums

    Uchambuzi huu unahusisha kanuni zinazotokana na Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta (EPOCA) ya mwaka 2010, na unapendekeza kufanyia mabadiliko Kanuni zilizowekwa mwaka 2020. ============ ANALYSIS OF TANZANIA's ONLINE CONTENT REGULATIONS AMENDMENTS(2021) by JAMII FORUMS MAJOR...
  3. ngoshamaguzu

    Gharama za maegesho kuanza kulipwa kwa njia ya mtandao

    Natumaini mko vizuri mnapambana kutafuta riziki Ngoja nijikite moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Leo trh 23 aug 21 kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa dar imetoa maelekezo ya kuanza kutumika kwa mfumo wa ulipaji gharama za kupaki magari kwa njia ya kielectroniki ambapo mitandao yote...
  4. A

    SMS za Account Namba zimekuwa Blocked na Mtandao wa Tigo?

    Wakuu habari, Jana nilikuwa nahitaji kumtumia Mtu Account namba yangu ili anitumie pesa nikatoe, hii yote ni katika kupunguza gharama ya Makato. Nikamuandikia SMS, mimi natumia mtandao wa Tigo, niliandika Majina kamili, jina la bank husika na namba ya Account cha ajabu kila nikituma ile SMS...
Back
Top Bottom