Mto wa Mbu is an administrative ward in the Monduli district of the Arusha Region of Tanzania. According to the 2012 census, the ward had a total population of 11,405. The name Mto wa Mbu means " Mosquitoes' River ". Mto wa Mbu has an area of 3,600 square kilometres (1,400 sq mi) of which 1,800 square kilometres (690 sq mi) is for cultivation.
Mto wa Mbu is estimated to be in the midway between the neighbouring Karatu and Makuyuni towns. It is one of the towns in the rift valley in the northern part of Tanzania. It close to lake Manyara and Manyara national park. The town of Mto wa Mbu features lodges, rest houses and camp sites for tourists who visit Lake Manyara and Manyara national park.
Banana is the common and largest agricultural product in the town and the surrounding area.
Mto wa Mbu is can be reached by driving from Arusha. It is approximately 112 km from Arusha city and the road is well repaired with tarmac. Tourists vehicles from Arusha, Nairobi, Moshi and Babati always passes through this town on the way to Ngorongoro crater and Serengeti national park.
Mbunge wa Viti Maalum kutokea Mkoa wa Mara Ghati Zephania Chomete tarehe 01 Machi 2023 ameshiriki Mkutano wa Uzinduzi wa Daraja la Mto Mori & Wamaya Katika Kata ya Kirogo Wilayani Rorya Mkoani Mara. Madaraja hayo yamegharimu zaidi ya Shilingi za kitanzania Bilioni 1.5.
Ikumbukwe kuwa katika...
Mwili wa mwanafunzi Zabibu Jumanne (8) ambaye ndiye pekee alikuwa hajapatikana kati ya wanafunzi wanne wa Shule ya Msingi Kagera Manispaa ya Kigoma Ujiji waliozama ndani ya maji ya Mto Luiche baada ya mtumbwi waliopanda kupinduka umepatikana.
Kupatikana kwa mwili wa Zabibu kumefanya idadi ya...
MIAKA KUMI NA SABA (17) YA BONDE LA MTO NILE - NAIROBI, KENYA.
Mhe. Eng. Maryprisca Mahundi (Mb) ambaye ni Naibu Waziri wa Maji mnamo tarehe 22 Februari 2023 ameiwakilisha Tanzania katika sherehe za miaka 17 ya Bonde la mto Nile Jijini Nairobi Kenya mkutano uliojumuisha nchi Kumi na Moja...
Saalamu,
Siku chache zilizopita tulishuhudia mjadala makini ulioitishwa na wanahabari huku mgeni rasmi alikiwa makamo wa raisi huko mkoani Iringa.
Dhina ya mkutano ule ilikuwa ni kumpatia mh mpango taarifa za kiuchunguzi juu ya chanzo cha mto ruaha mkuu kukauka kwani mpaka siku wanafanya kile...
Asanteni JF Kwa maua maua kuelekea mwisho wa mwaka
Na ikawe heri next year panapo majaliwa
Bwala la mto Rufiji dedication ni kwa Magufuli na Nyerere. Hawa Ndiyo washika maono wetu.
Wamechukua maamuzi magumu kuhakikisha Tanzania iwe na umeme wa uhakika.
Bwawa hili Nalibatiza Kwa jina la
"...
Mahakama ya Hakimu Mkazi iliyopewa mamlaka ya ziada mkoani Iringa imemuhukumu kunyongwa hadi kufa Abuutwalib Seif (34) Mkazi wa Igumbilo, baada ya kukutwa na hatia ya kumuua kwa kumtupa mtoto wake Khadija Seif (5) mto wa Ruaha. Mtoto alikuwa ni mlemavu wa viungo.
Akisoma kesi hiyo jana Hakimu...
Bohari Kuu ya Madawa MSD inakumbana na changamoto nyingi kufikisha dawa
Hayo yamebainika mkoani Morogoro Tanzania inabidi MSD watumie gharama za ziada kufikisha dawa katika zahanati na vituo vya afya mkoani Morogoro....
Source : Millard ayo
Katika Zahanati Baga kilichoo Morogoro Vijijini...
Na Gianna Amani
Ukiachilia mbali neno wananchi huenda neno lingine lililotajwa na Rais Xi Jinping mara nyingi zaidi katika siku za hivi karibuni ni mazingira, na mara kadhaa ametoa msisitizo juu ya uimarishaji wa uhusiano mpya kati ya binadamu na mazingira ya asili.
Mara nyingi Rais Xi Jinping...
Friends and Our Enemies,
Kuna msemo wa wanazuoni unaosema kwamba chochote kinamchomfaa mamba Kwa kuliwa either kiwe kimetumbukia mtoni au kimekaa kihasara hasara kwenye kingo za mto mamba hatafanya ajizi,atakifanya kuwa ni chakula tuh.
Nimebahatika kuwa ni miongoni ambao nimepata kumshuhudia...
Hali ya Maji imeanza Kuongezeka Mto Ruvu hivyo maeneo ya Mkoa wa Dar es Salaam yaliyokuwa hayapati Maji sasa yanaanza kupata baada ya Mvua Kunyesha.
Chanzo: Dawasatz
Tafadhali mlio jirani na Mto Ruvu tupeni Ushuhuda wenu isije ikawa Wachina Wawili, Mswahili Tabasamu na Tajiri wa Kujificha wa...
Imeelezwa kwamba Mto Mkuu Ruaha ambao ni kwa uhai wa hifadhi ya taifa ya Ruaha upo kwenye hali mbaya kutokana na maji yanayopita kwenye mto huo kukauka kabisa na hivyo kusababisha hata wanyama kukosa maji.
Akizungumza na waandishi Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi,Mkuu wa Hifadhi ya Taifa Ruaha...
Tena Wawili uko nao katika Serikali yako ya sasa, Mmoja ni Mstaafu mkubwa mno na Wawili ni Wanawake ambao wanashirikiana na Wakubwa fulani pamoja na Wachina kadhaa.
Mheshimiwa Rais Samia Mimi Mwanao GENTAMYCINE napinga na nakataa kata kata kuwa Mgao wa Maji ulionza katika Mikoa ya Dar es...
Kuna daraja lenye urefu wa kama meta 50 hivi ambalo limejengwa ndani yamaji (yaani wamemimina maji yapite juu). Huo mto Mara ni mkubwa sana ambapo ndio watalii hufurika kuona Nyumbu wakivuka (crossing). Changamoto ya daraja ni kuwa , maji yakiongezeka kidogo, daraja huwa halionekani na hivyo...
Miondoko hii ya maandishi haijafanyiwa utafiti wowote bali ni nadharia za kusikika kutoka kwa mashuhuda mbalimbali kunako mtikisiko wa maajabu ya chemchem hii kongwe ya Kanyabeza inayopatikana eneo la Rutale, pia unaweza kuita chemchemya Rutale hivyo unaruhusiwa kupinga au kukubali, kupunguza au...
Wana jukwaa JF na wizara husika ya mazingira
Napendekeza ipandwe miti pembezoni mwa mto Mpiji kuanzia daraja linalotengganisha Kibaha na Ubungo hadi Mbweni baharini katika pande zote zinazotenganisha Kinondoni na Mapinga, Bagamoyo ili kutunza mazingira ambayo yanaharibiwa kwa kasi kutokana na...
MH DC
SHALOM
Tunaomba msaada wako wachimba mchanga mto Kawe wanachimba tope.
Watoto wanashindwa kwenda mashulen. Polisi Kawe wameshindwa kutusaidia wanakuja kukusanya pesa kila siku badala ya kuzuia malori
Tunaomba tusisubiri kusikia wamekufa watoto tunaomba marufuku kuchimba mto Kawe
Wako...
MAZARA YATOKANAYO NA SHUGHULI ZA KILIMO KARIBU NA MTO
Shughuli za Kilimo katika nchi zinazoendelea ni kama uti wa mgongo wa uchumi wa nchi hizo. Shughuli za kilimo katika nchi mbali mbali hufanyika karibu na vyanzo vya maji ili kurahisisha upatikanaji wa maji, ambayo hutumika hususani katika...
Serikali ya kiongozi mkali, mkorofi, anaewatisha kwanza mumuogope. Anaependa watu wasikooe Wala kumuuliza swali Ina walakini. Hata akikwapua mabilioni mtalazimika kumpigia makofi..anaweza akaenda benki na begi na akamuamuru meneja jaza Hela humu !! Na meneja akazishindilia kabisa.
Serikali...
INTRO: Mto Manjano na Mto Yangtze ndio mito mama ya taifa la China. Ulinzi wa Mto Mama siku zote limefuatiliwa na mkuu wa China, Xi Jinping. Katika miaka kumi iliyopita, Mto Manjano umekuwa ukifanya kazi ya "ziada" katika masuala ya kuleta mazingira ya kijani, kurejesha ikolojia na kurudi kwenye...
RUAHA MTO ULIOLIPIZA KISASI CHA KIFO CHA MTWA MKWAWA 1898
Katika askari mamluki walitoka Mozambique kuja German Ostafrika kuja kupigana katika jeshi la Wajerumani dhidi ya Mtwa Mkwawa na Abushiri bin Salim majina yao yanafahamika.
Majina haya yamefahamika kwa sababu mtoto wa mmoja wa hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.