1. Akikupigia simu pokea alafu subiri aanze kuongea yeye maana labda aliekupigia ni mumewe, kenge wewe
_
2. Msizoee kuingia guest moja kila mnapokutana maana watu watawachora na kutoa taarifa,
3. Mkiingia guest msiandikishe majina yenu halisia,
_
4. Ukimpigia simu akakata usipige tena labda...