mtumba

Mtumba is an administrative ward in the Dodoma Urban district of the Dodoma Region of Tanzania. According to the 2002 and 2012 census., the ward has a total population of 7,277.The ward is along the main road to Dar es salaam. Residence in this ward depends much on Agricultural activities as well as Animal keeping.
The Wards of District of Dodoma urban -Dodoma Region-Tanzania
Chamwino | Chihanga | Dodoma Makulu | Hazina | Hombolo | Ipala| Kikombo| Kukuyu North | Kikuyu South | Kilimani | Kiwanja cha Ndege (Dodoma)| Kizota | Madukani | Majengo (Dodoma) | Makole | Makutupora | Mbabala | Mbalawala | Miyuji | Mkonze | Mpunguzi | Msalato | Mtumba | Nala | Ng’ong’ona | Nzuguni | Tanbukareli | Uhuru | Viwandani | Zuzu

View More On Wikipedia.org
  1. Wakili wa shetani

    Wapi naweza kupata viti vya ofisini vya mtumba? Bei zake zikoje?

    Asalaam Aleikh. Wakuu wapi naweza kupata viti vya ofisini vya mtumba. Viti vile unaweza udjust urefu na vya kuzunguka. Bei yake ipo namna gani? Natanguliza shukrani.
  2. I

    Biashara ya baibui(abaya) za mtumba

    Habari zenu wadau. Naamini mpo vyema. Nahitaji mtu wa kushirikiana nae kibiashara nipo Zanzibar. Nahitaji baibui za mtumba ndo biashara ambayo nna expirience nayo coz niliwahi kufanya na mtu kabla lakini baadae alisafiri na alowaachia hawakuwa na mashirikiano mazuri na mtaji wangu ulikuwa...
  3. S

    UPATIKANAJI wa Vyombo vya Ndani Vya Mtumba (Dar es salaam)

    Habari zenu wana Jamii F. Naomba msaada kwa yoyote anayejua wapi wanauza vyombo vya ndani vya mtumba(masufuria, sahani, vikombe, urembo etc. Natanguliza shukran
  4. Prakatatumba abaabaabaa

    Kipi ni bora? Tv za mtumba (kutoka zanzibari) au tv mpya ya dukani?

    Wakuu nimeenda duka moja la mitumba mkoani huku, nimepata TV ya mtumba Panasonic inch 32 mwenye nayo kanambia bei ya mwisho ni 410,000/= At the same time nimepata TV mwanza inch 32 kampuni ni rising bei ni 280,000/= Je uhakika wa hizi TV inch 32 wanaodai ni used from UK je ni sahii...
  5. Mr_S

    TV4Sale TV ya mtumba inchi 24 inauzwa

    TV ya mtumba inchi 24 inauzwa. *Button zake za kuwashia/kuongeza/kupunguza sauti ni za kugusa. *HAINA REMOTE *HAITUMII FLASH *Bei: 150,000/- (maongezi yapo) *Location: Kiwalani, Dar es salaam. *WhatsApp/simu: 0656 203 045
  6. Dr. Zaganza

    Kwa bajeti Hii Naweza pata gari gani mtumba show room

    Habari wakuu Kwa bajeti ya milioni 10 hadi 11 naweza pata gari gani show room .Hapo unatia funguo tu na kuondoka habari za kodi zisiwepo . Au nicheki kwa 0713 039 875
  7. H

    Nauza raba za mtumba bei ya jumla (10,000)

    Habarini! Natumaini wote tuko salama kwa neema ya Mungu. Karibuni kuniungisha raba za mtumba kwa bei ya jumla, nipo Kinondoni Studio, barabara ya kwenda Mwananyamala opposite na Akiba Commercial bank Simu: 0759891571 WhatsApp: WhatsApp Location on Google Map: Jessi Brands · 35 Mwinyijuma Rd...
  8. B

    Je, mitumba ni nguo zilizochangwa ili kusaidia wasiojiweza?

    Wengi wetu tumewahi kusikia, kuuza ama kuvaa nguo zinazojulikana kama "mtumba", je umewahi kujiuliza hizo nguo zinatokea wapi.?? Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa mwaka 2020 na mwandishi mmoja wa habari za uchunguzi nchini Finland, waligundua kwamba baadhi ya nguo ambazo wananchi wa taifa hilo...
  9. Mr HQ

    Biashara ya kuuza suruali za mtumba

    Ndugu Zangu Nimeanza Kufanya Biashara Ya Kuuza Suruali za Mtumba Kutoka Dar Naenda Kuuza Moro - Dodoma. Naombeni Mawazo ya Kukuza Biashara Yangu Kwa Wazoefu Wa Hii Kazi.🙏🙏🙏 Niwe Nafanya Nini Au Niongeze Nguo Za Aina Gani Mambo Muhimu Ya Kuzingatia Naombeni Maoni Yenu Wadau.🙏🙏🙏
  10. DOTHRAK

    Natafuta sana kiatu cha vans cha mtumba,

    Wenzangu mnaopenda kupendeza, natafuta sana kiatu cha vans cha mtumba, maana bei yake kutoka nje naona ya moto sana siwezi kufika. Kama kuna anaweza kunisaidia kupata vans namba 39 ntashukuru sana Vans zipo za aina nyingi lakini binafsi natafuta kama hiki rangi iwe nyeusi au kijani kama hiyo...
  11. RWANDES

    Majaribio ya treni ya umeme yafanyika

    Hii ndio iliyofanyiwa majaribio mbona kama itakuja ya hivyo tumepigwa pakubwa naona kama imepitwa na wakati.
  12. M

    Pata Mashuka Mtumba Grade AAA kwa bei poa

    Karibuni kwenye uzi wangu. Nimeanzisha biashara ya mashuka mtumba grade AAA. Material ni Cotton. Size Mbali Mbali. Kwa Dar delivery itafanyika. Na mikoani vilevile utatumiwa kwa usafiri unaopendelea. Kwa sasa ofisi ni nyumbani. Namba za mawasiliano ni 0715066185 au 0753066185
  13. H

    Ushauri wa biashara ya mtumba

    Nampango wa kuanza biashara ya kuuza mtumba (men jeans) kwa kufungua mabalo plz jeans yeyote ndugu zangu mwenye ujuzi Naomba ushauri kuhusu biashara ya hii pia naombani kwa anaejua wauzaji wa mabalo kwa Arusha
  14. LookSmart

    Tunauza viatu vya kike vya mtumba

    Viatu vizuri vyenye quality nzuri. Bei na size zipo kwenye kila kiatu Tunapatikana Kimara Temboni Delivery ipo kwa Dar na mikoani tunatuma kwa uaminifu. [emoji3513]Call/WhatsApp 0655 111170
  15. T

    Jeshi la Polisi Jiji la Dodoma mjitathimini, mauaji kata ya Ihumwa na Mtumba yamezidi

    Ni muda mrefu sasa tangu mwaka Jana mpaka mpaka Sasa hivi.Hali ya amani sio shwari Kwa wakazi wa ihumwa , mtumba na mahoma. Jinsia ya kike mabinti na akina mama ndio wahanga wakubwa wa mauaji haya. Jua likizama tu akina dada na mama zetu inawalazimu kubakia ndani kama wafungwa hata dukani au...
  16. C

    Tupeane connection za TV za mtumba

    Kama kichwa cha habari kinavyosema. Ndugu zangu, mimi nataka kununua TV ya mtumba. Ila sijui nianzie wapi. Kariakoo nimeenda ila nimekuta TV nyingi pale ni za dukani (yaani mpya). Kama kuna chimbo za TV za mtumba pale karikoo basi naombeni mwongozo wenu. Au kama kuna muuzaji wa TV za mtumba...
  17. Demimi

    Kama unatamani kufanya Biashara za Sketi za watoto za mtumba na huna Mtaji nafasi yako hii

    KIJANA MTAFUTAJI: Kama unatamani kufanya Biashara za Sketi za mtumba na hauna mtaji njoo ofisini. WEKA NAMBA YAKO YA WHAT'S AAP INBOX YANGU, UWE DAR ES SALAAM Ila kwa wateja wa mikoani tunauza moja kwa moja. Utapewa Skert nzuri kwa Bei ya 1900 kwa kukopeshwa .. nawewe utauza mpaka 4500...
  18. E

    Natafuta mtu anayefanya biashara ya uuzaji wa nguo za kiume mtumba Mikoani

    Ndugu habari.. !! Natafuta mtu anayefanya biashara ya uuzaji wa nguo za kiume mtumba mikoani... Nina bidhaa za nguo za jeans suruali, t-shirt ,na pia trak juu na chini.. (GRADE A) bei nafuu tu nipo maeneo ya Tabata segerea Mawasiliano 0744644627 0622531099 Hata pia kwa ulieko Dar Es salaam...
  19. E

    Natafuta mtu anayefanya biashara ya uuzaji wa nguo za kiume za mtumba mikoani

    Ndugu habari.. !! Natafuta mtu anayefanya biashara ya uuzaji wa nguo za kiume mtumba mikoani... Nina bidhaa za nguo za jeans suruali, t-shirt ,na pia trak juu na chini.. (GRADE A) bei nafuu tu nipo maeneo ya Tabata Segerea. Mawasiliano 0744644627 0622531099 Hata pia kwa uliyeko Dar Es salaam...
  20. E

    Natafuta wauzaji wa nguo za mtumba Mikoani

    Ndugu habari! Natafuta mtu anayefanya biashara ya uuzaji wa nguo za kiume mtumba mikoani. Nina bidhaa za nguo za 👖 jeans suruali, t-shirt ,na pia trak juu na chini.. (GRADE A) bei nafuu tu nipo maeneo ya Tabata segerea Mawasiliano 0744644627 0622531099 Hata pia kwa...
Back
Top Bottom