mtumba

Mtumba is an administrative ward in the Dodoma Urban district of the Dodoma Region of Tanzania. According to the 2002 and 2012 census., the ward has a total population of 7,277.The ward is along the main road to Dar es salaam. Residence in this ward depends much on Agricultural activities as well as Animal keeping.
The Wards of District of Dodoma urban -Dodoma Region-Tanzania
Chamwino | Chihanga | Dodoma Makulu | Hazina | Hombolo | Ipala| Kikombo| Kukuyu North | Kikuyu South | Kilimani | Kiwanja cha Ndege (Dodoma)| Kizota | Madukani | Majengo (Dodoma) | Makole | Makutupora | Mbabala | Mbalawala | Miyuji | Mkonze | Mpunguzi | Msalato | Mtumba | Nala | Ng’ong’ona | Nzuguni | Tanbukareli | Uhuru | Viwandani | Zuzu

View More On Wikipedia.org
  1. E

    Mtumba nchi gani unalipa?

    Habari za mchana wapendwa! Moja kwa moja kwenye mada. Kwa muda mrefu nimetamani sana kufanya biashara ya kuuza mitumba lakini sijui ni mtumba toka nchi gani unalipa. Naomba kwa yeyote anayefahamu soko la mtumba anijuze nipate kuanza! Nilitamani sana nipate balo la mtumba wa watoto na wanawake...
  2. B

    Anayejua machimbo ya nguo za mtumba za kiume Mwanza

    Anayejua machimbo ya nguo kali za mtumba za kiume kwa Mwanza, jinsi kali, mashati na mikato mingine, waje watupe mwongozo tusioyajua machimbo.
  3. monotheist

    TV4Sale LG 40 inch mtumba

    LG 40inch tv mtumba hiyo picha kalii roho ya paka haiweki mistari wala picha haichezi Inasupport; HDMI 1&2 AV USB VGA Bei Tsh 395k 0692402211
  4. afrique

    Sale sale sale nguo za kike za mtumba nusu bei

    Duka linapatikana njiro 88 pick n pay Baada ya crdb Room no 8 Nguo nzuri za kike ziko kwenye punguzo Suruali za vitambaa 10000 ukipata kuanzia 5 @8000 Magauni 10000 Skirt 10000 Jeans 8000 Instagram:Divineclothingstore_arusha 0762 998333
  5. afrique

    Mtumba grade 1 bei ya sale

    Napatikana njiro 88 pick n pay Room no 8 Arusha Nauza nguo za mtumba za Watu wazima Suruali za ofisi 10000 Ukipata kuanzia 5 bei8000 Magauni 10000 Skirt 10000 0762 998333
  6. Onlyobby

    Biashara ya viatu vya mtumba

    Habar wana jf, Naombeni muongozo kwa mwenye uwelewa wa mazingira ya Mwanza anipe mwanga ni wap naweza pata viatu vya mtumb (raba) kwa ajili ya biashara. Ningependa ufaham n wapi na lin naweza kwenda n ku point raba kali na ninatakiw niwe na mtaj kiasi gan, (unatakiwa kupoint kuanzia pair...
  7. K

    Mbeya wapi wanauza nguo za kike grade A mtumba

    nahitaji nguo za kike nzuri za mtumba grade A naomba mnisaidie mlioko mbeya napataje na soko gani
  8. Frumence M Kyauke

    Mtumba Man afichua alivyotaka kujitoa uhai baada ya kuwa maarufu

    Tunapozungumzia Mtumba Man, wengi wanamfahamu kama mwanamume ambaye anauza mitumba akiwa anaimba na kuvalia mavazi ya wanawake nchini Kenya Je uewahi jiuliza kwa nini watu mashuhuri au vijana mashuhuri ujitoa uhai au kupatwa na msongo wa mawazo licha yao kuwa maarufu nchini? Mtumba Man akiwa...
  9. M

    INAUZWA Nguo mtumba za watoto zinauzwa elfu 3000 tu

    Karibuni mjipatie mtumba mzuri kwa bei ya jumla ya shilingi elfu 3 tu ukichukua nguo kuanzia 20.. Rejareja ni elfu 6 ... Namba kwa mawasiliano zaidi ni 0738664971 Ukurasa wangu wa instagram ni bnl_clothes_shoes_bags
  10. N

    Skinny jeans za kike mtumba grade A zipo DSM!

    BALE ZA SKINNY JEANS ZA KIKE MTUMBA GRADE A zinakuja wiki hii Dar es Salaam. Kila bale ina jeans kati ya 100 mpaka 115, ya rangi mbalimbali. Bei ya kutupa, bale moja kwa jumla laki 4 na themanini tu! Usipoteze nafasi, ondoa umaskini. Hatuuzi rejareja kwa sasa Kwa Maelezo zaidi DM!
  11. Oranoo

    Jinsi unavyoweza kuagiza mabelo ya mtumba kutoka China na Dubai kwa bei chee na kupata faida mara 2 au 3 zaidi

    Hello wana bodi, natumai wote mko poa karibuni kwenye hii thread ambayo kwa namna 1 au nyingine inaweza kukupa idea ya kufanya biashara ya kuuza mtumba: A. SIFA ZA MTUMBA WA CHINA Belo za mtumba wa China uko vzuri na unatofautiana Kati ya supplier na supplier na wao wana chukua nguo Asia...
  12. J

    Waziri Jafo: Wananchi nunueni Majokofu mapya yale ya mitumba yanachafua hali ya hewa!

    Waziri wa mazingira mh Jaffo amewataka wananchi kuacha kutumia majokofu ya mitumba kwani yanachafua hali ya hewa na hivyo kuharibu mazingira. Jaffo amesema ni vema wananchi wakanunua majokofu mapya kwa ajili ya usalama wa afya zao. Source: Upendo tv ====== Na Ramadhan Hassan, Dodoma Waziri...
  13. The Eric

    Wapi naweza pata boy friend jeans za mtumba

    Wakuu samahani sana kwema! Wapi naweza pata zile boyfriend jeans za mtumba za kina dada. Wandugu napata wapi kiwepesi ziwe za kupoint kwa wenye mabalo msaada wenu tafadhali nina uhitaji nazo. Mwenye taarifa anijuze. cc Tanayzer
  14. B

    Wapi napata duka la Viatu vya Mtumba Orginal?

    Habari wadau. Kwa Dar es Salaam wapi naweza kupata duka la viatu vya mtumba bei ya kati. Mimi sio mdosi. Bei zake range kuanzia 30K mpaka 80K. Mtumba OG kabisa. Naomba kuwasilisha.
  15. Superpower

    Epson printer specs na Bei zake

    Jamani nauliza hivi zile Epson printer ambazo dukani huwa zinauzwa laki nne mtumba wake naweza pata kwa tsha ngapi na je ubora,sifa na efficiency inakuaje.
  16. Swahili AI

    Wapi wana mtumba mkali kati ya hawa?

    Wakuu, Nilikua napita kwenye mtandao wa kuuza magari, kwa wenye uzoefu/ufahamu.... Ni wapi wana gari makini zilizotumika?
  17. JF Member

    Balo la viatu vya Mtumba

    Wadau haya marobota yanapatikana wapi kwa hapa Dar? Najitahidi robota mwa ajili ya kufanya biashara. Mchango wa mdau
  18. kahata

    Bidhaa ipi ya mtumba ina soko sana?

    Naomba ushauri bidhaa ipi ya mtumba ni inatoka na ina faida zaidi. 1. Magauni 2.Nguo za watoto mix 3. Mashuka 4.Mashati 6.Sidiria Na vipi bei ya belo kwa bidhaa hapo juu?
  19. Michael Amon

    Fahamu mambo mbalimbali kuhusu biashara ya bidhaa za electronics

    Ninampango wa kuuza bidhaa mbali za electronics kama vile simu za mikononi, laptop, flash disk, camera n.k. Ili niweze kufanikisha hilo ninaombeni msaada wenu kwa yeyote mwenye ufahamu juu ya soko la bidhaa za electronics hasa zile za IT ambazo zinafanya vizuri katika soko la Tanzania na...
  20. M

    Nitapata wapi mtumba grade A jeans tupu kama suruali au sketi fupi au makoti ya jeans?

    Habari, Naomba kujuzwa ni sehem gani nitapata mtumba grade A kwa Dar es salaam. Natamani kuanza biashara hii ya mtumba lakini jeans tupu na PIA inahitajika mtaji wa kiasi gani? Pia soma:Chimbo la belo za mtumba grade A pasipo na matapeli na waongo zinapatikana wapi kwa Dar es Salaam?
Back
Top Bottom