Serikali inatakiwa iwe na muongozo mpango miji wa taifa zima wenye ramani wa miaka angalau 25 kuonyesha wapi itajenga barabara za lami, wapi itajenga reli, wapi itajenga mwendokasi, wapi itajenga vituo vya mabasi, wapi itajenga viwanja vya mpira, wapi itajenga stendi n.k
Huo muongozo ndio...