----------------
2024, Aug 24.
Dar es Salaam.
Saa 3:35 asubuhi.
Kwanza nitoe pongezi kwa serikali yetu kutambua na kuheshimu imani za watu.
Binafsi ninaamini katika Mungu, tena kindaki ndaki. Lakini kuna jambo halipo sawa mahali. Nikiuliza leo hii wangapi waliujuaje Ukristo au Uislam, watajibu...