museveni

Yoweri Kaguta Museveni (pronunciation ; born 15 September 1944) is a Ugandan politician who has been President of Uganda since 1986. Museveni was involved in rebellions that toppled notorious Ugandan leaders Idi Amin (1971–79) and Milton Obote (1980–85) before capturing power in the 80s. In the mid to late 1990s, Museveni was celebrated by the West as part of a new generation of African leaders. During Museveni's presidency, Uganda has experienced relative peace and significant success in battling HIV/AIDS. At the same time, Uganda remains a country suffering from high levels of corruption, unemployment and poverty. Museveni's presidency has been marred by involvement in the civil war in the Democratic Republic of the Congo and other Great Lakes region conflicts; the rebellion in Northern Uganda by the Lord's Resistance Army which caused a humanitarian emergency; and the suppression of political opposition and constitutional amendments scrapping presidential term limits (2005) and the presidential age limit (2017), thus enabling the extension of his rule.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    Tujadili Hotuba ya Mh. Rais Yoweri K. Museveni

    12 May 2021 Kampala, Uganda Ceremonies for the 6th swearing-in of President Yoweri Museveni started early in Kololo, Kampala on Wednesday 12, May 2021 President Museveni’s full speech on his inauguration for the sixth term in office Your Excellencies, The people of Uganda and myself, welcome...
  2. TheDreamer Thebeliever

    Uganda: Rais Museveni amshukuru Rais Samia kwa kumruhusu kuuza sukari Tanzania

    Habari wadau! Sasa kilio cha upungufu wa sukari kitapungua maana mama amefungua milango na kuamuru sukari iingie nchini. Mubashara toka Kololo Uganda kupitia TBC 1 kwenye uapisho wa Rais Museveni .Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museven leo katika hotuba yake amemshukuru Rais wa JMT mheshimiwa...
  3. Sam Gidori

    Rais Museveni aapishwa kuongoza Uganda kwa miaka mitano

    Rais Yoweri Museveni ameapishwa kwa mara ya sita mfululizo kuliongoza taifa hilo hadi mwaka 2026 katika sherehe zilizofanyika Uwanja wa Kololo nchini humo. Museveni amekuwa kiongozi wa nchi hiyo tangu mwaka 1986. Sherehe za uapisho zimehudhuriiwa na viongozi takriban 11 wa mataifa mbalimbali...
  4. U

    Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Uganda Yoweri Museveni Awapandisha Vyeo Brigedia Jenerali 7 Kuwa Meja Jenerali & Makanali 33 kuwa Brigedia Jenerali

    Rais wa Uganda na Amiri Jeshi Mkuu wa UPDF Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni amefanya uteuzi kwa kuwapandisha vyeo Majerali na Maofisa Waandamizi wa Jeshi la nchi hiyo.
  5. Geza Ulole

    Now bitter Kenya is busy demonizing Museveni after losing EACOP

    Holding on to power: Africa's longest-serving leaders Wednesday, April 21, 2021 By AFP After three decades in power, Chad's President Idriss Deby Itno died on Tuesday from wounds suffered on the battlefield, the army said in a shock announcement just a day after the 68-year-old was re-elected...
  6. B

    Museveni and Suluhu Signing The EACOP Tripartite Project Agreement

    11 April 2021 Entebbe, Uganda H.E Suluhu Samia Hassan, the President of the United Republic of Tanzania made her maiden official visit to Uganda. Suluhu arrived in Uganda this morning for a one day official visit at the invitation of H.E. Yoweri Kaguta Museveni, President of the Republic of...
  7. Influenza

    Rais Samia Suluhu kuzuru Uganda Kesho Aprili 11 kwa mwaliko maalumu wa Rais Museveni

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya safari yake ya kwanza ya kikazi nje ya Nchi kwa majirani zetu Uganda. Rais Museveni amemualika Rais Samia kwenye kuzungumzia masuala mbalimbali huku kubwa likiwa ni bomba la Mafuta ghafi kutoka Hoima
  8. tpaul

    Kitendo cha Museveni na Kagame kutokuja kumuaga hayati Rais Magufuli kinaashiria nini?

    Ndani ya muungano wa EAC nchi ya Kenya imekuwa mstari wa mbele katika kuleta chokochoko za hapa na pale, hasa ikiichokonoa Tanzania mara kwa mara. Ingawa hivyo, Rais wa Kenya Hon Uhuru Kenyatta amefika yeye mwenyewe mubashara kuja kumuaga hayati Dr Magufuli. Nchi za Uganda na Rwanda hazijawahi...
  9. Analogia Malenga

    Marais kumi wathibitisha kuja kumuaga Rais Magufuli

    Marais zaidi ya 10 wa mataifa mbalimbali duniani wamethibitisha kuhudhuria shughuli ya kumuaga aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Magufuli itakayofanyika kesho Dodoma. Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk Hassan Abasi amesema leo Machi 21, 2021 kuwa hadi sasa ana orodha ya zaidi ya marais 10 na kuahidi...
  10. Geza Ulole

    A sneak peek into dreams Museveni, Magufuli shared

    A sneak peek into dreams Museveni, Magufuli shared President Museveni (left)and his Tanzania counterpart John Pombe Magufuli (RIP) sign a pact for the East Africa Crude Oil Pipeline (EACOP) project in Tanzania in September last year. PHOTO | FILE Summary When Magufulu came to Uganda in 2016 to...
  11. Analogia Malenga

    Museveni amtuhumu Bobi Wine kuiba kura

    Kwa mara ya kwanza Rais Yoweri Museveni wa Uganda amekituhumu chama cha siasa cha NUP kwa kuhusika na vitendo vya udaganyifu wa wizi wa kura katika zoezi la uchauzi mkuu uliofanyika tarehe 14 January 2021. Museveni amesema madai ya Kyagulanyi yaani Bobi Wine kwamba ushindi wake katika uchaguzi...
  12. AKASINOZO

    #COVID19 Rais Museveni: Mungu ana kazi nyingi, hawezi kuwa tu hapa Uganda akiwaangalia wajinga

    Mseven adressing the nation ====== Rais Yoweri Museveni amewaonya wananchi wanaoenda kinyume na taratibu wakati huu wa vita dhidi ya #CoronaVirus akisema, Mungu ana kazi nyingi na hawezi kuwa Uganda tu akiwaangalia wajinga Ameongeza kuwa Mungu amewalinda na hakuna kifo...
  13. pingli-nywee

    Mwanaharakati na mkosoaji mkubwa wa Rais Museveni, Dkt. Stella Nyanzi akimbilia Kenya, aomba hifadhi ya kisiasa

    Nana angedhani kwamba ipo siku nchi ya Kenya ndio itakuwa hifadhi la wakimbizi wa kisiasa ndani ya ukanda wa Afrika Mashariki? Aliyekuwa mgombea ubunge jijini Kampala(Woman Mp Seat) na Research Fellow kwenye Chuo Kikuu cha Makarere, mwanaharakati wa kisiasa nchini Uganda, Dr Stella Nyanzi...
  14. Analogia Malenga

    Rais Museveni: Sitaki kupatanishwa na Upinzani

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameonya watu wenye lengo la 'kumpatanisha' yeye na upande wa upinzani baada ya kumalizika uchaguzi mkuu uliompa ushindi kuongoza muhula wa sita. Huku upande wa upinzani unaoongozwa na msanii Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine aliyeshika nafasi ya pili miongoni...
  15. B

    Salamu za pongezi zaanza kumiminika kwa Museveni

    Kwa mujibu wa matangazo ya idhaa ya Kiswahili ya DW mchana wa leo, tayari salamu za pongezi kwa ushindi wa kishindo wa Museveni zimeanza kumiminika Uganda. Wakati salamu hizo zikienda huko, ugeni mzito wa balozi wa Marekani kwa Bobi Wine anayeendelea kuwekwa kizuizini nyumbani kwake umezuiliwa...
  16. TODAYS

    Uchaguzi Uganda: Matokeo ya awali kutoka sehemu mbalimbali. Museveni anaongoza

    Upepo unapeperusha mawingu kwa taratibu na huwezi kujua kama mawingu yanasafiri, kumbe ni dunia ndiyo inazinguka kwenye muhimili wake. Kulingana na vyanzo mbalimbali vya taarifa vinasema Kyagulanyi alikubalika miongoni mwa wapiga kura vijana ambao ni 78% kulingana na watu wazima kwa asilimia...
  17. Sam Gidori

    Facebook yafungia akaunti za viongozi wa serikali ya Uganda

    Zikiwa zimebaki siku chache kuelekea uchaguzi mkuu nchini Uganda, mtandao wa Facebook umefungia akaunti za viongozi wa serikali kwa tuhuma za kushawishi maamuzi ya umma, mtandao wa AFP umeripoti. Mkuu wa Mawasiliano wa Facebook wa Ukanda wa Nchi za Kusini mwa Sahara, Kezia Anim-Addo amesema...
  18. Erythrocyte

    Museveni kwisha habari yake, sasa ategemea Jeshi na Polisi tu

    Huyu mzee tulimuonya tangu mapema sana kwamba miaka aliyoingoza Uganda inatosha , mwaka ujao asigombee tena , kwa bahati mbaya sana akapuuza. Akaanza Juhudi za kishetani za kupunguza miaka yake kwa kushrikiana na Maaskofu njaa , eti umri wake ulikosewa ! baadaye akaamua kuondoa vifungu vya...
  19. Barbarosa

    Museveni the jig is up, anaenda sasa, Muzungu anamuacha aanguke!

    Mwaka ujao 2021 Museveni anaenda, hatoboi Muzungu keshamchoka na sasa na hatomkingia kifua tena, color revolution imeingia Uganda, kutatokea maandamano makubwa nchini Uganda ambayo hayajawahi kuonekana na hakuna kitu Museveni atafanya, bye bye Mzee Kaguta. Robert Kyagulanyi (38)
Back
Top Bottom