Kutokana na sheria zilizopo ukiwa na mgonjwa unaita ambulance. Now ambuulance beii zake hazishikiki kabisa.
Watu wanakufa kila kona kwakukosa usafiri. Angalia mh Rais hili kama mtu hana hela anakufa nyumbani inaondoa maana ya lockdown kabisa.
Inahuzunisha sanasana
Mwanaharakati Stella Nyanzi aliyefungwa akielezwa kuwa alimtukana Rais wa Uganda, Yoweri Museveni ameachiwa huru huku Jaji akieleza kuwa alifungwa kimakosa
Msemaji wa Magereza, Frank Baine amesema Stella alirudishwa katika gereza alilokuwemo lenye ulinzi mkali kwenda kuchukua vitu vyake baada...
Rais Yoweri Kaguta Museven wa Uganda akiwa ameketi huku wazee wakimpigia magoti na kupewa chochote kwenye bahasha ya kaki.
Ikumbukwe kuwa uchaguzi nchini Uganda unatarajiwa kufanyika mwakani February 9, 2021. Kiongozi huyo wa taifa la Uganda ameongoza Uganda kwa takribani ya miaka 34 hadi...
Rais Museveni ametenga fedha maalumu kwa ajili ya kuongeza vikundi vya ujasiria mali vya wanawake wa Maafisa wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Uganda (UPDF) ili kuboresha zabuni yao.
Gen Muhoozi alisema Rais Museveni alifikia uamuzi huo baada ya majadiliano aliyofanya na Maofisa wa Jeshi...
He said:
I have never stolen and I am rich - Ugandan President Yoweri Museveni
Yaani akimaanisha ya kwamba:
Hajawahi kuiba tokea awe madarakani, wala kuwaibia chochote kile Waganda lakini yeye ni bonge la tajiri.
Je, Waswahili (ukimuondoa GENTAMYCINE tu) mnaomsakama Museveni 24 / 7...
President Museveni Friday launched Uganda's first ICT manufacturing and assembling plant in Namanve.
This comes into force after government signed an agreement with SIMI technologies to promote the manufacturing of ICT electronics in Uganda.
At full capacity, the factory will run three...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.