muungano

Tanzania (, Swahili: [tanzaˈni.a]), officially the United Republic of Tanzania (Swahili: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania), is a country in East Africa within the African Great Lakes region. It borders Uganda to the north; Kenya to the northeast; Comoro Islands and the Indian Ocean to the east; Mozambique and Malawi to the south; Zambia to the southwest; and Rwanda, Burundi, and the Democratic Republic of the Congo to the west. Mount Kilimanjaro, Africa's highest mountain, is in northeastern Tanzania.
Many important hominid fossils have been found in Tanzania, such as 6-million-year-old Pliocene hominid fossils. The genus Australopithecus ranged all over Africa 4 to 2 million years ago; and the oldest remains of the genus Homo are found near Lake Olduvai. Following the rise of Homo erectus 1.8 million years ago, humanity spread all over the Old World, and later in the New World and Australia under the species Homo sapiens. Homo sapiens also overtook Africa and absorbed the older archaic species and subspecies of humanity. One of the oldest known ethnic groups still existing, the Hadzabe, appears to have originated in Tanzania, and their oral history recalls ancestors who were tall and were the first to use fire, medicine, and lived in caves, much like Homo erectus or Homo heidelbergensis who lived in the same region before them.
Later in the Stone and Bronze Age, prehistoric migrations into Tanzania included Southern Cushitic speakers who moved south from present-day Ethiopia; Eastern Cushitic people who moved into Tanzania from north of Lake Turkana about 2,000 and 4,000 years ago; and the Southern Nilotes, including the Datoog, who originated from the present-day South Sudan–Ethiopia border region between 2,900 and 2,400 years ago. These movements took place at about the same time as the settlement of the Mashariki Bantu from West Africa in the Lake Victoria and Lake Tanganyika areas. They subsequently migrated across the rest of Tanzania between 2,300 and 1,700 years ago.German rule began in mainland Tanzania during the late 19th century when Germany formed German East Africa. This was followed by British rule after World War I. The mainland was governed as Tanganyika, with the Zanzibar Archipelago remaining a separate colonial jurisdiction. Following their respective independence in 1961 and 1963, the two entities merged in 1964 to form the United Republic of Tanzania.The United Nations estimated Tanzania's 2018 population at 56.31 million, which is slightly smaller than South Africa, making it the second most populous country located entirely south of the Equator. The population is composed of about 120 ethnic, linguistic, and religious groups. The sovereign state of Tanzania is a presidential constitutional republic and since 1996 its official capital city has been Dodoma where the president's office, the National Assembly, and some government ministries are located. Dar es Salaam, the former capital, retains most government offices and is the country's largest city, principal port, and leading commercial centre. Tanzania is a de facto one-party state with the democratic socialist Chama Cha Mapinduzi party in power.
Tanzania is mountainous and densely forested in the north-east, where Mount Kilimanjaro is located. Three of Africa's Great Lakes are partly within Tanzania. To the north and west lie Lake Victoria, Africa's largest lake, and Lake Tanganyika, the continent's deepest lake, known for its unique species of fish. To the south lies Lake Malawi. The eastern shore is hot and humid, with the Zanzibar Archipelago just offshore. The Menai Bay Conservation Area is Zanzibar's largest marine protected area. The Kalambo Falls, located on the Kalambo River at the Zambian border, is the second highest uninterrupted waterfall in Africa.Over 100 different languages are spoken in Tanzania, making it the most linguistically diverse country in East Africa. The country does not have a de jure official language, although the national language is Swahili. Swahili is used in parliamentary debate, in the lower courts, and as a medium of instruction in primary school. English is used in foreign trade, in diplomacy, in higher courts, and as a medium of instruction in secondary and higher education, although the Tanzanian government is planning to discontinue English as the primary language of instruction but it will be available as an optional course. Approximately 10 percent of Tanzanians speak Swahili as a first language, and up to 90 percent speak it as a second language.

View More On Wikipedia.org
  1. April26

    Hii siku 26/4 na matukio yake ndani ya maisha yangu

    Wakuu nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...... Kazi iendelee. Leo nahitaji ku-share matukio mhimu katika maisha yangu hasa yaliyo tokea tarehe 26/4 (April26) kwa vipindi tofauti tofauti. Tukio la kwanza hii ndiyo tarehe niliyo letwa duniani (birth day) lakini nje na...
  2. beth

    Makamu wa Rais, Dkt. Mpango: Changamoto hazimaanishi Muungano sio imara au hauna manufaa kwa wananchi

    Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango amesema changamoto ambazo zimekuwa zilijitokeza mara kadhaa hazimaanishi Muungano sio imara au hauna manufaa kwa Wananchi. Amesema, "Serikali zetu zimekuwa zikibainisha changamoto hizo na kufanya jitihada za dhati kwa pamoja kuzipatia ufumbuzi kwa wakati na...
  3. Infantry Soldier

    Tunaweza kuwa na kombe la muungano (April 26) kwa timu za taifa za bara (Tanganyika) na visiwani (Zanzibar) kwa wachezaji wa ligi za ndani tu?

    Mambo vp JamiiForums Sasa tunalo kombe la mapinduzi kwa vilabu kutoka Tanganyika na Zanzibar, kwanini tushindwe kuwa na kombe la muungano (April 26) mechi moja tu kwa timu za taifa za bara (Tanganyika) na visiwani (Zanzibar) kwa wachezaji wa ligi za ndani tu? Lilianza mwaka 1982 na kufa mwaka...
  4. Nyankurungu2020

    Kama makubaliano juu ya muungano hayakuridhiwa na Baraza la Mapinduzi la Zanzibar, muungano wetu ni halali?

    Hili ni swali muhimu sana kwa mustakabari wa muungano wetu. Maana ni miaka 57 toka tumeungana lakini inasemekana articles of union ya awali haijawahi kuwekwa hadharani. Mbali ya hilo inasadikiwa kuwa haikupelekwa kwenye baraza la wawakilishi ili iweze kujadiliwa na kuridhiwa kama ilivyokuwa...
  5. Jacobus

    Leo kumbukizi ya muungano wa Zanzibar na Tanganyika, utaratibu upo vipi?

    Tuliisha zowea sikukuu za kiserikali kutaarifiwa gharama ( pesa ) kuelekezwa kwenye miradi mingine sasa sherehe hii ya leo imekaaje?
  6. May Day

    Mzee Makasi na Muungano, CCM imuenzi Mzee wetu angali hai

    Moja ya nyimbo kali zilizovuma zinazoongelea Muungano ni Wimbo maarufu wa Nguli wa Muziki Mzee Makasi. Wimbo huu unakumbusha vizuri sana tarehe ya Muungano hivyo ningetamani kuona CCM wanakuwa na utamaduni wa kuwakumbuka japo kwa kuwatambua tu haswa ifikapo maadhimisho ya siku ya Muungano, kwani...
  7. APA CHICAGO

    Samahani Kwa Wabunge wetu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Salaam kwenu wanabodi wa jukwaa hili kubwa na lenye heshima ndani na nje ya nchi yetu.Sio tu linaheshima lkn pia lina taarifa za kuaminika. Nimeanza na neno samahani kwa wabunge wetu kwa sababu kelele zimekuwa nyingi sana huko bungeni wengi wa wabunge wanaopata nafasi ya kuchangia wamekuwa...
  8. Kasomi

    Fahamu A-Z kuhusu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulitokea tarehe 26 Aprili 1964 ukawa mwanzo wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hadi tarehe ile kulikuwa na mataifa mawili huru ya Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ambayo yaliingia mkataba wa muungano mnamo mwaka 1964 na kuanzishwa dola la...
  9. U

    Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Mpango Mgeni Rasmi Kongamano Maadhimisho Miaka 57 Ya Muungano

    Kongamano hilo muhimu kuadhisha miaka 57 ya Muungano litafanyika Aprili 26, 2021 kuanzia saa 3 asubuhi Ukumbi wa Chimwaga Dodoma https://www.jamiiforums.com/threads/chato-rais-magufuli-atoa-salamu-za-maadhimisho-ya-miaka-56-ya-muungano-asamehe-wafungwa-3-973.1719702/
  10. YEHODAYA

    Zanzibar nchi ndogo yenye nguvu ambayo imekuwa ikiamua kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano awe nani

    Zanzibar ndio imekuwa ikiamua Rais wa muungano awe nani Mwaka 1964 Tanganyika na Zanzibar ziliungana kuwa taifa moja la Tanzania. Swala likaja nani awe Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania? Nyerere hakutaka kujikweza akaona amwambie Rais Karume kuwa awe yeye Karume. Karume akakataa katakata...
  11. ACT Wazalendo

    ACT Wazalendo Yamtaka CAG Kukagua Fedha za Muungano

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) afanye ukaguzi maalum wa Akaunti ya Pamoja ya Fedha za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni fungamano baina ya nchi mbili huru, Tanganyika na Zanzibar, zilizoungana na kuweka...
  12. Kasomi

    Zanzibar: Waziri Jafo aridhishwa miradi ya Muungano

    ZANZIBAR :- WAZIRI JAFO ARIDHISHWA MIRADI YA MUUNGANO Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Selemani Jafo amefanya ziara ya kikazi ya kukagua miradi inayotekelezwa pande mbili za Muungano visiwani Zanzibar na kuonesha kuridhishwa na utekelezaji wake. Akiwa...
  13. Yesu Anakuja

    4% ya mapato kwenda Zanzibar kama Hoja ya Muungano

    Kuna hoja nimekuta watu wanaongea, ni kuhusu kile ambacho mama amesema waziri wa fedha akakae na mwenzake wajadili na kusuluhisha katika kero za muungano. Ninaupenda sana Muungano,ninauunga mkono. lakini, nilijiuliza kitu kimoja, mimi kama mtu wa bara sitaki tupigwe pia kama wazenji wasivyopenda...
  14. Influenza

    Rais Samia Suluhu kuzuru Uganda Kesho Aprili 11 kwa mwaliko maalumu wa Rais Museveni

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya safari yake ya kwanza ya kikazi nje ya Nchi kwa majirani zetu Uganda. Rais Museveni amemualika Rais Samia kwenye kuzungumzia masuala mbalimbali huku kubwa likiwa ni bomba la Mafuta ghafi kutoka Hoima
  15. kavulata

    Tuinyooshe Katiba kabla ya kunyoosha maslahi Tanzania, Zanzibar na Tanganyika ndani ya Muungano

    Ili kuyafafanua masilahi ya Zanzibar ndani ya Muungano lazima kwanza useme kweli tupu ni kwanini Tanganyika haipo Tanzania lakini Zanzibar ipo Tanzania. Pili, useme kweli tupu kama Zanzibar ni sehemu ya Tanzania ama ni nchi. Katiba lazima inyooshe kuhusu maswali haya maana ndiyo yatakayotumika...
  16. Chineduchi

    Kwako Mama Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania na Waziri TAMISEMI

    Kwanza naomba nikupongeze kwakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kumteua Waziri mpya TAMISEMI najua uchapaji wake kazi sio wa kitoto. Naomba mama ikikupendeza tendea haki uhamisho wa watumishi waliokamilisha uhamisho na kusubiri vibali kutoka tamisemi, maana kuna màmbo ambayo sio...
  17. Double Elephants

    Rais Samia ni Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutokea Zanzibar

    Rais Samia ni Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutokea Zanzibar - Fatma Karume akizungumza na DW leo tarehe 3/4/2021. Nini maoni yako. #MitanoTena
  18. lendila

    Salamu ya Rais Samia Suluhu 'Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano' ni salamu bomba sana

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano. Hii ni salamu bora kutokea toka tumepata uhuru. Mama endelea kutumia hii salamu kila mara. Salamu hii haina ubaguzi, ni salamu yenye kuunganisha Taifa.
  19. R

    Matarajio ya watanzania kwa Mhe. Samia, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni makubwa

    MATARAJIO YA WATANZANIA KWA MHE SAMIA, RAIS WA JMT NI MAKUBWA Na Elius Ndabila 0768239284 Jana Mhe Samia Samia Rais wa JMT amefanya mabadililo madogo kwenye Baraza la Mawaziri yaliyotanguliwa na uapishwaji wa Makamu wa Rais. Katika kuendelea kuhakikisha matarajio aliyonayo ameendelea kupanga...
  20. W

    Hivi ni kweli Spika Ndugai anailinda na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano kama alivyoapa ama leo ametuchezea shele?

    Leo katika zoezi la kuthibitishwa kwa jina la Makamu wa Raisi Bungeni Jijini Dodoma Spika wa Bunge, Job Ndugai, alipata wakati mgumu wa kati amruhusu kwanza aliyekuwa Mbunge wa Buhigwe, Dkt. Mpango (VP now), ahutubie kwanza kabla ya matokea ya kura za kuthibitishwa kuwa makamu wa Rais...
Back
Top Bottom