mvuto

  1. Hussein Massanza

    TBC MPYA: Ushauri, Maoni na Mapendekezo ya ubora wa vipindi (Television Content)

    Ndugu WanaJF, Kumekuwepo na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi na hata hapa JF kuhusiana na changamoto ya vipindi vya Televisheni ya Taifa (TBC1). Malalamiko hayo yameegemea zaidi katika eneo la ubora wa picha na ubunifu wa vipindi. Kwa bahati nzuri, Mkurugenzi pamoja na Watendaji wa Shirika...
  2. S

    Uchaguzi 2020 Tundu Lissu akipitishwa kugombea na chama chake, asitume hii kauli mbiu kwani tayari kuna mtu ameshaiharibu na imeshakosa mvuto kwa watanzania wengi

    Japo hili bango huwezi sema ni la kampeni,lakini ni wazi iwapo Lissu atapitishwa,bango kama hili linaweza kutumika na huenda kwa sasa wana-test tu mitambo. Ushauri wangu:kauli mbiu hii kwa sasa sio tu imeshachuja,bali inaonekana ni sawa na kuwadanganya watu wazima maana kuna mtu hakuitendea...
  3. Kibosho1

    Hawa ndio wasomaji makala wenye sauti ya mvuto Tanzania

    Nimefuatilia sana kwenye radio na mitandaoni pia nimegundua kuna watu wako vizuri sana kwenye usomaji wa makala. Top 3 yangu hii 3. Spesho Kabwanga (kituo chake youtube) anasomaga pia kwenye sports extra. 2. Ananias Edgar Makaza zake nyingi nazipataga youtube nimemjulia huko. 1. Mtiga Abdala...
  4. JF Member

    Uchaguzi 2020 Wagomba Urais CHADEMA hawana mvuto?. CHADEMA inakosa Mvuto?

    Napita pita kitaa sioni hata raia hata mmoja akiwajadili hawa watia nia ya Urais kwenye chama cha CHADEMA. Nini shida?. Hata huku kwenye makundi ya Social Media kuko kimya sana. Nini shida? Ni chama ana watia nia wenyewe?. Naamini pia kwamba Membe akitia nia CHADEMA kinaweza kikapata nguvu...
  5. Nigrastratatract nerve

    Uchaguzi 2020 Msigwa hana personal Attack japo hana mvuto ana hoja za msingi zimejibiwa kwa hoja na kwa kina

    NIMEMSIKILIZA SANA MSIGWA NA HOJA ZAKE ZA KUTAPATAPA ALIPOONGEA NA WAANDISHI WA HABARI AKITANGAZA NIA YAKE YA KUGOMBEA URAIS 2020. Nashukuru kuwa ameanza kwa kutambua jitihada za serikali ya CCM kuwa kuna mambo yamefanywa na CCM, japo kwa kubeza. Hii inadhihirisha ile kauli ya mmbunge Mmoja...
  6. YEHODAYA

    Sababu ya CHADEMA kutokuwa na mvuto kwa wafadhili wa mataifa ya nje

    Chama chochote cha siasa huwa na agenda yake ambayo huwa ndio roho ya chama Chadema kipindi cha Dk Slaa kilikuwa na agenda tena nzito ambayo ilikubalika na ilitikisa ndani na nje ikipigiwa makofi ndani ya nchi na nje ya nchi.La kujifunza kwa Dk Slaa ni kuwa Dk Slaa hakutetea maslahi binafsi...
  7. Superbug

    Baby Kabae ana mvuto mno ni kati ya wanawake wa daraja la kwanza Tanzania

    Kwakweli huyu mtangazaji wa clouds 360 baby kabae ana mvuto mnoo. Ni mzuri Ana exposure Si mjivuni Social Mambo Safi Natamani kumjua zaidi hasa historia yake na asili yake. Baby kabae jua kabisa katika watu wanaokupenda hapa duniani superbug yupo top three. Kama upo humu jf basi like hii post...
  8. Mtuflani Official

    Wanawake 5 mastaa wenye mvuto zaidi Tanzania

    5. Malkia Karen 4. Mimi Mars 3. Faraja Nyalandu 2. Jackline Mengi 1. Nancy Sumari
  9. K

    Azam TV na "Hekaya za Abunuasi" wapoteza mvuto kwa watazamaji kwa kwa kujiingiza katika "siasa"

    Nilikuwa natazama taarifa ya habari ya Azam saa mbili za usiku huu na katika habari za leo kuna habari mbili zilizopelekea mimi kuandika makala hii fupi ambayo ntaawachieni nyie kama wasomaji mfanye tathimini yenu. Habari ya kwanza (a) kampuni ya Azam kupitia Mkurugenzi wake (mmiliki) ametoa...
  10. Mshiiri

    Elections 2010 Precedent ya 2015 haifai 2020? Siasa hazina mvuto?

    Wadau kwa tathmini huru ya mwenendo wa siasa kuanzia 2014 hadi tukielekea 2020 tunaona yafuatayo 1. Wananchi are not elastic towards politics na hii imechangiwa na kazi nyingi -- hapa kazi tu na hivyo kutokuwa na mvuto kwenye siasa. Hii imeathiri sana kuona ushabiki na undakindaki dhidi ya siasa...
  11. K

    CHADEMA pumzi imekata, ACT hakiaminiki, vyama vingine havina mvuto. Kwa hali hii watashindana vipi na CCM wakashinda?

    Tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa 2015, vyama vya upinzani hali yake ni mbaya sasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2020. Mpaka ninavyoandika hapa na kama hali ikiendelea hivi, Uchaguzi Mkuu wa 2020 upinzani utaambulia anguko kubwa na la aibu la kihistoria. Ni anguko la kihistoria kwa sababu baada...
  12. Teargass

    CCM MP has said that ATCL air hostesses are not attractive

    Mbunge CCM asema wahudumu wa ATCL hawana mvuto kwa wateja THURSDAY NOVEMBER 7 2019 Mbunge wa Kigoma Kusini nchini Tanzania (CCM) Husna Mwilima Dodoma. Mbunge wa Kigoma Kusini nchini Tanzania (CCM) Husna Mwilima amesema wahudumu wa ndege wanaoajiriwa na Shirika la Ndege Nchini (ATCL) hawana...
  13. green rajab

    Wanawake wetu naomba mtusaidie wanaume zenu mbali na pesa mnavutiwa na shape gani toka huku kiumeni

    Mara nyingi nimeona vijana wanapambana kutengeneza shape kua mwonekano mzuri badala ya kutafuta pesa. Naomba masister zangu mtuweke wazi mbali na pesa mnavutiwa na shape ipi hasa kwa sisi wanaume wenu vitambi, slim au mwili mkubwa (mbavu)
  14. Mstarabu kiona

    TUNAWAONA WAZURI SABABU TUNAWAPENDA

    Kinachofanya wajione wao bora na wazurii ni Sisi wanaume tunapenda kuwasifu lakinii ukweli ni kwamba hawana uzuriii wowote ndo maana vitu vya urembo vimekuwa vingi kwao ili wapendeze waonekane wazurii. Ila Men tupo really bado tunapendeza na tunavutia
  15. Return Of Undertaker

    Nape: Hoja ya Bunge live ilitoka nje ya Bunge na ilikuwa dhaifu. Bunge kwa sasa halina mvuto na wananchi wamelisusa

    "Sio mimi niliyezuia bunge Live, haukua uamuzi wangu. Bunge lenyewe liliunda kanuni za kuendesha matangazo yake. Lakini ukweli ni kuwa hatukutenda haki na watu wanalalamika sana. Kuhusu watu kutizama TV na kushindwa kufanya kazi hiyo hoja niliitoa mimi lakini ni kwa sababu za kisiasa tu. Ilikua...
  16. Mapensho star

    Jifunze jinsi ya kuandika matangazo yenye mvuto

    Somo letu la Leo tutazungumzia Jinsi ya kuandika matangazo yenye mvuto. Kwa hivyo kama unafanya biashara, unauza bidhaa au unatoa huduma, labda umeshawahi kujaribu kuandika matangazo lakini hujapata matokeo mazuri basi naomba ufuatilie kwa umakini sana makala hii kwani nataka nikupe fomula...
Back
Top Bottom