Bondia Hassan Mwakinyo anatarajiwa kupigana na Bondia wa Zimbabwe Brendon Denes, kuwania Mkanda wa WBC Afican Boxing Union (ABU) uzito wa Super welterweight May 28 mwaka huu, katika ukumbi wa Next Door Alena.
Brendon Denes ana rekodi ya kupigana ngumi za Professional mapambano 8 kati ya hayo...
Habar Wana Jamii Forums
Leo nimeona nijaribu kutoa wazo langu juu ya Mambo yanayoendelea Nchini kwetu juu ya bondia wetu Mzalendo Alie kataa kupeperusha bendera ya nchi nyingine ambazo ni nzuri na hakika mpaka Sasa angekua bilionea na yeye ila akaamua kuwa mzalendo kwenye nchi Ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.