mwakyembe

  1. Pascal Mayalla

    Una swali lolote kwa Waziri wa Habari, Dk. Harrison Mwakyembe? Atakuwa live Star TV kuzungumzia Sekta ya Habari na janga la Corona, uliza hochote

    Wanabodi, Je, una swali lolote la kihabari, kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini Tanzania, Dk. Harrison Mwakyembe? Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini Tanzania, Dk. Harrison Mwakyembe, kesho asubuhi, kuanzia saa 1:30-3:00 atakuwa live kujibu maswali yako...
  2. Pdidy

    Kayumba, Mshindi wa BSS 2015 aeleza ujanjaujanja wa zawadi yake. Mh. Mwakyembe msikalie kimya haya

    Niliwawahi andika miaka hii haya mashindano ni ya kitapeli Wapo waliodhihaki Nenda mtandao wa salehe jembe usikie mwenyewe mshindi wa enzi hizo Kayumba na zawadi alizopata. 1) Anasema wazazi walipewa mil 2 tu 2) Aliletewa gari ambalo alikuwa jipya nakuwambiwa utakuwa ukitumia 3) Alipelekwa...
  3. Pdidy

    Mwakyembe ingilia kati ahadi za wachezaji wa yanga iwe fundisho kwa wengine kuropoka

    Iko wazi wachezaji wa Yanga hawajalipwa pesa zao za mechi ya Simba waliohaidiwa. Mmh mwakyembe tinaomba hili swala ingilia kati owe fundisho kwa wowote wanaoahidi bila kulipwa. Kama mnakumbuka wachezaji wa yanga waliwahi kugoma huko nyuma gsm wakasema wanawalipa wote na kutoa mil 200...
  4. Private investigator

    Wazir Mwakyembe, Kigwangalla na Kabudi naomba mlichukue hili

    Aston Villa wametupa njia kumsajili Samatta. Usajili huu uwe chachu kwanza 1. Kusaidia wachezaji wa Kitanzania kupata timu England maana ndio ligi pendwa. Chakufanyika kwa Mwakyembe ni kuhakikisha Vilabu vya nje na ndani vinavyowatumia Watanzania visiwe kikwazo kwa wachezaji wao kwenda England...
  5. J

    Nategemea Dr.bBashiru atawakemea Mwakyembe na Tulia kwa uharibifu wa uwanja wa CCM Sokoine, Mbeya

    Natoa angalizo tu kwamba uwanja wa Sokoine ni mali ya CCM na kwahiyo mwanaccm yoyote anayeusababishia madhara anapaswa kukemewa. Haiwezekani Mwenyekiti wetu Dr Magufuli juzi tu kasisitiza umuhimu wa kulinda mali za chama ili CCM isitegemee ruzuku pale mkutanoni Mwanza, halafu wajumbe wale wale...
  6. N

    Hii ni zaidi ya scandal, aibu kubwa kwako Waziri Mwakyembe na Naibu Spika

    Waziri anayetambaiaga PhD yake jana kakalishwa uwanjani na watoto waliopata ma zero primary schools mbaya zaidi alikuwa na Naibu Spika huku wakijifanya ni watu wema ili wapate huruma ya vijana walioruhusiwa kuingia bure, yes kiingilio kilikuwa ni miguu yako tu, lakini at what cost? Mbeya kuna...
  7. GENTAMYCINE

    Je, kwa kauli yake hii Waziri Mwakyembe 'anawajali' au 'anawachukia' waandishi wa habari na vyombo vyao nchini Tanzania?

    “Heri tuwe na vyombo vya habari viwili kuliko utitiri wa vyombo ambao waandishi wa habari hawajui kesho yake watakula nini,” - Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe. Chanzo Habari: Mtanzanianews, MtanzaniaDigital leo tarehe 29 November 2019
  8. Analogia Malenga

    Prof. Joseph Mbele atoa andiko kupinga kauli ya Dr. Mwakyembe

    Profesa Mtanzania ambae kwa sasa yuko Marekani, Profesa Joseph Mbele, ameandika kwenye Facebook page yake (Joseph Mbele bila neno Prof) kuwa anapingana na Mwakyembe, na amesema hata yeye ana degree nne na mtu yeyote asiye na degree nne kama yeye ana nafasi ya kumkosoa. Ameandika: "NAPINGA...
  9. Jaji Mfawidhi

    Mwakyembe ana Shahada 4 lakini hana ushawishi wa Roma Mkatoliki

    Hapo Picha inajieleza, maneno mengi sitaki wakati serikali inayo ongozwa na ma-profesa na ma phd holders ikiprove failure, na huku vituko vikizidi kila uchao, Harisson Mwakyembe ambaye wakati mmoja aliwahi kumshauri JIWE kwamba waifanye TLS (Chama Cha Wanasheria Wa Tanganyika) iwe SACCOS na...
  10. Return Of Undertaker

    Roma Mkatoliki amwibua Mwakyembe, adai hana elimu ya kumshauri yeye mwenye digrii 4. Kama anapenda siasa aanzishe chama cha siasa

    "Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za...
  11. H

    Mwakyembe ampongeza Diamond na Wasafi kuzindua kipindi cha sports arena

    Waziri wa habari sanaa na michezo Dr Harrison mwakyembe ametoa pongezi zake kwa mwanamziki diamond kwa uzinduzi wa sports arena alioufanya kwa ukubwa kuanzia maandalizi pamoja na ubunifu walitumia kwa kitendo Cha kuwashusha kwa helikopta watangazaji waliowasajili lakini kuwepo kwa red carpet na...
  12. Return Of Undertaker

    Sakata la Richmond: Lowassa amjibu Mwakyembe, asema asitafte mtaji wa kisiasa

    Ikiwa siku chache baada ya dr Mwakyembe kudai Lowasa ni muhusika mkuu wa Richmond na hachomoki waziri mkuu huyo wa zamani amjibu. Lowasa amedai kama ana udhibitisho inatakiwa aende mahakamani sio bungeni na kwenye majukwaa ya siasa ili ubishi uishe. Ila Lowasa akamkumbusha ukweli unajulikana...
  13. Informer

    Ripoti ya Richmond Bungeni (FULL TEXT) na yatokanayo

    Mara baada ya kuahirishwa kikao cha Bunge jana jioni, Waziri Mkuu aliitisha kikao cha Mawaziri na Manaibu wao akidai ni kikao cha KIKAZI. Katika kikao hicho aliwaambia kwamba serikali ilikua na nia njema katika suala zima la Richmond na kwamba mawaziri wanaothubutu kushabikia ripoti ya Richmond...
Back
Top Bottom