mwalimu nyerere

  1. F

    Nyerere’s legacy: Where is Tanzania heading?

    Friday, 9 August 2019 Author: Nick Westcott I visited Tanzania last month for the first time in five years, and the first time since John Magufuli was elected President. I have been visiting the country regularly since 1976, spending a year living there in 1979 as a student, and three years...
  2. Mwl.RCT

    Kongamano la Sanaa la Mwalimu Nyerere (Mwalimu Nyerere Arts Festival)

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa anamuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli katika kongamano la Sanaa la Mwalimu Nyerere linalofanyika katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini...
  3. Boniphace Kichonge

    Uteuzi: Chuo cha Kumbukumbu ta Mwalimu Nyerere chapata Mkuu mpya. Wenyeviti wa Bodi nne waendelea na nyadhifa zao

    Mhandisi Emmanuel Korosso anaendelea kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) Pia, Dkt. Alexander Lugatona Kyaruzi ameteuliwa kuwndelea kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Wakati huo huo, Joseph Odo Haule anaendelea...
  4. J

    Upinzani ulioasisiwa na mwalimu Nyerere umefeli, Je turudi kwenye mfumo wa chama kimoja?

    Ni ukweli ulio wazi kuwa Upinzani tulionao uliasisiwa kwa baraka za baba wa taifa mwalimu Nyerere baada ya 80% ya watanzania kutaka mfumo wa chama kimoja uendelee. Ndio nawauliza wanabodi, je huu ndio wakati muafaka wa kuheshimu maoni ya wale 80%? Au ifanyike kura ya maoni kuukubali au...
  5. Barbarosa

    Mwalimu Nyerere kwanini alichagua Twiga? Ni Mnyama dhaifu sana!

    Nijuavyo mimi Dunia nzima Kihistoria nchi zimekuwa zikichagua Wanyama kama alama inayowawakilisha, yaani unaweza kusema mnyama wa nchi, na wengi hapa huchagua mnyama mwenye sifa ya UKUU na UTAWALA, ndo maana nchi nyingi kubwa kama Ujerumani, USA, na Falme nyingi kubwa Duniani wamekuwa wakichagua...
  6. britanicca

    Picha za ndege alizonunua Mwalimu Nyerere

    Siyo kwamba hawakufanya, walifanya ila kimya kimya Angalia midude Kikwete Anaeleza kwamba tuliachiwa ndege 14 na Nyerere https://www.jamiiforums.com/threads/jakaya-kikwete-mzee-nyerere-alituachia-ndege-za-taifa-14-kuna-kipindi-zimeisha-hapa-kati.1504952/ Kuna Upotoshaji wa Hali ya Juu...
  7. J

    Rais Magufuli ameshatimiza ndoto mbili za mwalimu Nyerere, kuhamia Dodoma na Stiegler's Gorge. Bado ndoto moja!

    Mwalimu Nyerere kama kiongozi alikuwa na ndoto zake na miongoni mwa ndoto hizo ni pamoja na Kuhamishia makao makuu ya serikali Dodoma, pili kumiliki njia kuu za uchumi na tatu kuwa na bwawa kubwa la kuzalisha umeme Stieglers Gorge. Katika uongozi wake kama Rais, Dr Magufuli ameweza kuhamishia...
  8. Geza Ulole

    Construction of Mwalimu Nyerere Leadership College launched

    The Mwalimu Nyerere Leadership School is being established in Tanzania to serve southern Africa in honour of the late founding President and former chairperson of the Frontline States. The leadership college is a joint effort of six liberation movements from the Southern African Development...
  9. Ngongo

    Serikali ya Mkapa ilipouza NBC Mwalimu Nyerere alilengwa na machozi

    Heshima sana wanajamvi, Leo naomba tujikite katika mjadala wa athari za uuzwaji wa NBC kwa kampuni ya ABSA ya Afrika kusini.Miaka ya 90s NBC ilikuwa moja ya bank kubwa sana kusini mwa jangwa la sahara ikimilikiwa na serekali ya Tanzania.Kwa mujibu wa vyanzo mbali mbali bank hii ilikuwa...
  10. sammosses

    Bila Mshikamano wa Kitaifa, Tanzania tuitakayo itakuwa ndoto kuiona

    Bila mshikamano wa kweli Tanzania tuitakayo itakuwa ni sawa na ndoto za Alinacha.Tutaimba sana amani na umoja lakini haki bila wajibu au wajibu bila haki ndiyo silaha pekee ya kuvunja umoja wetu wa kitaifa ulioasisiwa na Mwalimu J K nyerere. Watawala wamepata mashaka juu ya kuvunjika kwa...
Back
Top Bottom