Mwananchi Communications Ltd is a company based in Tanzania. Mwananchi Communications Ltd, engages in the print media and radio, and is the publisher of Tanzania's leading daily newspaper, Mwananchi (in Swahili), and others such as The Citizen, Sunday Citizen, Mwananchi Jumapili, and Mwanaspoti.
The executive editor is Bakari Steven Machumu and the Mwananchi daily managing editor is Frank Sanga. Abdul Mohamed heads Mwanaspoti in Tanzania and Kenya. Sanga is regarded as the sports journalism guru in the region. His influence in sports led Kenyan media to start sports newspapers, such as Sports On and Game Yetu.Thomas Mosoba is the managing editor of The Citizen Daily, which has contributed much to socio-economic changes in Tanzania and in the region as well.
The company was established in May 1999 by Ambassador Ferdinand Ruhinda as Media Communications Ltd. But in April 2001, a new business was established (Advertising Agency & Public Relations) and a new company was formed—Mwananchi Communications Ltd. In the very same year Mwananchi Communications Ltd was acquired by the Nation Media Group (NMG), which is based in Nairobi, Kenya.
Job Summary
To develop, maintain and increase a solidly dependable client base, to sell advertising space and provide an effective service to clients so as to maximize advertising sales volumes and revenue targets.
Full Job Description
Thoroughly familiarizes oneself with comparative (own and...
Faustine Kimath, katika chapisho lake la Julai 01, 2021, anasema, mfumo wa kodi nchini Tanzania unajumuisha aina mbalimbali za kodi zikiwemo Kodi za Moja Kwa Moja (“Direct Taxes”) na Kodi zisizo za moja kwa moja (“Indirect Taxes”).
Historia Fupi ya mfumo wa Kodi Tanzania
Kwa mujibu wa chapisho...
Mtu aliyelogwa, sio tu mpaka awe muokota makopo, maana Kwa siku za Leo, wengi tu ambao wanaokota makopo na kwenda kutengeneza pesa!
Ukisikia mtu kalogwa, si lazima aehuke ndio iwe kielelezo chake, no!!
Kuna majamaa yanaelimu zao na familia zao huko, yamelogwa na jitu linaitwa CCM! Hayana...
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia ameipongeza Yanga kumualika Kocha mkubwa Afrika Pitso Mosimane na kwamba amesikia Simba nao wamemualika Rais wa CAF kwenye siku yao ya Simba Day.
"Nawapongeza Yanga kumualika kocha mkubwa Afrika, Pitso Mosimane pia nimesikia Simba nao...
Shangwe kubwa linamsubiri nabii huyu wa logo ya utopolo fc, wakati kelele zinapigwa kwamba nembo ibadilishwe mcheza netball, mwenge na bondia watolewe kelele hizo zilipuuzwa kumbe Mungu alikuwa na lengo aiseeee
Utabiri umetimia, yule bondia wa kwenye logo kapatikana na tarehe 6 atakuwepo...
#Kutoka_mwanasport
Saa chache baada ya uongozi wa Yanga kutangaza kwamba aliyekuwa Ofisa Mtendaji wao Mkuu Senzo Mazingiza anaondoka mwenyewe ameibuka na kukanusha juu ya kuondoka kwake kuhusishwa na ujio wa mshambuliaji Bernard Morrison.
Akizungumzia ishu ya kupishana mara mbili na kiungo...
Kwa elimu yangu ndogo niliyoipata nchini Cuba, kabla ya siku ya mwananchi tarehe 06/08/2022 Haji Sunday Manara atakuwa yuko huru kutoka katika kifungo cha TFF.
Hiyo miaka miwili aliyopigwa ni kama geresha tu maana itakuja kufutwa. Tuendelee kusubiri...
Hivi majuzi Manara alikuwa amekuwa akipromote App moja inaitwa Mwnanchi App Yanga kana kwana kwamba ni App rasmi ya Yanga.
Binafsi hii hii haiina hadhi ya kuwa official apps inayomilikiwa Club Kubwa na Kongwe hapa barani Africa
Yanga ni Club Kubwa na Kogwe lazima Mambo yake, Miundo mbinu...
Job Overview
Market Development Executives in 4 Regions
MCL
Mwananchi Communications Limited is a subsidiary of Nation Media Group. It is the leading print media company in Tanzania with print as well as online platforms.
Locations: Shinyanga, Tabora, Mbeya & Manyara
Job Summary
To increase...
Kama mwananchi wa kawaida ninatakiwa kujua madeni yote tunayodaiwa kama nchi.
Tangu awamu ya Sita iingie madarakani haipiti hata mwezi mmoja utasikia nchi ya Tanzania imekopa matrillioni kadhaa Hii tabia hatukuiona Awamu ya Tano na miradi ilikuwa inajengwa kama kawaida.
Leo sikuamini macho...
Tangu Waziri wa Nishati, Januari Makamba alivyoanza ziara yake ya mikoa 14 ya kugawa majiko ya gesi katika Mkoa wa Mara amekuwa akiandikwa ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwanchi peke yake
Kama ziara hii ni ya kiserikali na ni ya kiongozi wa kitaifa kwanini magazeti mengine yakiwemo Nipashe, The...
Pili Mwinyi
Hivi majuzi katika pekuapekua zangu kwenye mitandao ya kijamii nilikutana na msemo mmoja ambao ulinifanya nitulie kwanza na kuutafakari kwa kina. Msemo huu umeshiba busara na hekima kubwa kama utauangalia kwa jicho linaloona, na hata kwa wale ambao msemo huu unawagusa moja kwa moja...
GRAPHIC DESIGNER
Industry : Print /Digital Media Job Function : Art / Design
Job Experience Level : Mid Level
Minimum Years of Experience : 2-3
Minimum Academic Qualification : Bachelor
Job Summary
The purpose of this job holder is to create and develop communication material for MCL and...
Unajenga mabarabara lakini mwananchi hana uwezo wa kulipa nauli na kupanda basi hata kama barabara ni nzuri. Hii haisaidii kitu. Mwananchi lazima awe na kipato cha ziada ili kuwa na uwezo mkubwa kumudu.
Unajenga hospital lakini huduma za kulipia na wananchi hawawezi kumudu inasaidia nini...
Mimi hupenda kusoma magazeti kwa sababu mbalimbali. Katika magazeti ya nyumbani Gazeti la mwananchi halikosikani katika menu yangu pale inapowezekeana
Mada
Leo nimesoma article inayosema "Harufu kali machinjio ya Vingunguti yaleta kilio". Kilichonifanya kuandika humu si harufu wala kilio, ni...
Polisi wa Solai Kenya wanamshikilia Dennis Kibet kwa kuwashambulia kituo cha Polisi na Askari Polisi kwa mawe akiwa amelewa.
.
Ambapo baada ya kuhojiwa amesema alitaka kuona akirusha mawe kituo cha Polisi kutatokea kitu gani.
.
Kibet atafikishwa Mahakamani karibuni.
...
Wapendwa, hongereni kwa kazi.
Najaribu kufikiri kwa kina, kisha naishia kujiuliza maswali yasiyo na majibu. Najiuliza;
Fedha au mali za umma ni kwa ajili ya Watanzania wote bila kujali tofauti yoyote. Je, Wafanyakazi wa umma kuongezewa mishahara kwa fedha za umma na Watanzania wengi zaidi ya...
Serikali yenyewe ipo kimya tuu wa naona yanayoendelea ni Sawa tu, huku wananchi wanateseka.
Ukifika hospital za Serikali hakuna madawa, mfano hospital ya Wilaya ya Mbulu haina hata nyumba ya kihifadi maiti, wananchi wamelala Mika mpaka wamechoka.
Mafuta yamepanda tunaambiwa ni vita ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.