Mwananchi Communications Ltd is a company based in Tanzania. Mwananchi Communications Ltd, engages in the print media and radio, and is the publisher of Tanzania's leading daily newspaper, Mwananchi (in Swahili), and others such as The Citizen, Sunday Citizen, Mwananchi Jumapili, and Mwanaspoti.
The executive editor is Bakari Steven Machumu and the Mwananchi daily managing editor is Frank Sanga. Abdul Mohamed heads Mwanaspoti in Tanzania and Kenya. Sanga is regarded as the sports journalism guru in the region. His influence in sports led Kenyan media to start sports newspapers, such as Sports On and Game Yetu.Thomas Mosoba is the managing editor of The Citizen Daily, which has contributed much to socio-economic changes in Tanzania and in the region as well.
The company was established in May 1999 by Ambassador Ferdinand Ruhinda as Media Communications Ltd. But in April 2001, a new business was established (Advertising Agency & Public Relations) and a new company was formed—Mwananchi Communications Ltd. In the very same year Mwananchi Communications Ltd was acquired by the Nation Media Group (NMG), which is based in Nairobi, Kenya.
Industry : Print /Digital Media Job Function : Digital Content
Job Experience Level : Mid Level
Minimum Years of Experience : 2 to 3
Minimum Academic Qualification : Bachelor
Job Summary
This position requires a dynamic and result-oriented computer-savvy individual who is familiar with video...
Thursday August 19 2021
Na Daniel Mjema
Vuguvugu la madai ya Katiba mpya limeanza kushika kasi, lakini katikati ya vuguvugu hilo kumejitokeza kundi ambalo linajaribu kuuaminisha umma kuwa hakuna mwananchi wa kawaida anayeihitaji isipokuwa ni wanasiasa.
Kundi hilo limeamua kuvaa miwani myeusi...
Kinachoniuma mimi ni hela za jasho langu ndizo zinazowapa utajiri wanasiasa.
Yaani mavazi ya raisi, safari za nje za raisi, magari ya wabunge na mishahara ya wabunge vyote ni jasho la wananchi.
Lakini kama hiyo haitoshi, tumeongezewa kodi na tozo nyingine ambazo nazo zitaliwa na wanasiasa...
Hili neno mwanachi limekuwa linanipa shida kidogo.
Tunaomba tusaidiane, vigezo vipi vinavyotumika kama sifa za kuwa Mwananchi.
Je, hivi mtu akiwa; mwalimu, askari, daktari, mchungaji, mwanafunzi, muhasibu, mwanasiasa, mcheza mpira, mwanamziki au mfanyabiashara , je mtu huyu anakoma kuwa...
Kuna tatizo la vyombo vingi vya habari kuandika kwa sehemu kubwa habari za kihalifu na jinai kuliko habari za maendeleo, kiukweli watu wakiwa wanasoma hizo habari mara kwa mara kunaleta adiction fulani watu kuanza kuutekeleza uhalifu ule au kuanza kujenga hofu kwenye jamii.
Kwa muda sasa...
Watu wamechoka! Katambi alianza kwa kusema "huo ujinga fanyia wengine".
Mwananchi akaonya na kupinga vikali kutukanwa (kuambiwa mjinga) hadharani. Na Katambi alipoamuru polisi wamkamate mwananchi aliamua kukaa chini.
Tazama video hii ya nusu dakika ujionee mwenyewe.
Dar es Salaam. Siku moja baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla kuagiza wenye mabasi kuyaingiza ndani ya kituo cha mabasi cha Magufuli wakati wa kupakia na kushusha abiria, baadhi ya wananchi wamekuwa na maoni tofauti kuhusiana na uamuzi huo.
Makalla alitoa agizo hilo jana Ijumaa...
To increase copy sales and develop relationships with partners in the distribution channel and to ensure that you meet you’re set sales targets while maintaining an optimal return level.
Full Job Description
Promotes and coordinates sale and distribution of newspapers in areas served by...
Jeshi la Polisi Kanda Maalum limeua mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Kilambo Nyasairo, mkazi wa Chanika kwa tuhuma za kujihusisha na matukio ya ujambazi
#MwananchiUpdates
Nalipongeza sana jeshi la polisi kwa kumpora haraka silaha huyu jambazi
NIZUNGUMZE KIDOGO JUU YA OLE SABAYA.
Jana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, Sabaya kupisha Uchaguzi juu ya tuhuma zinazomkabili.
Kwanza tujue kuna tuhuma na kuna hatia. Tuhuma zikibainika ndipo inakua hatia, lakini kwa...
Heri ya sikukuu ya Muungano,
Nimewaza namna ya kila mwananchi kulipa kodi bila shurti.
Yani ni hivi.Ondoa cash mitaani then kila mwananchi alipie bidhaa kwa mitandao ya simu ( M pesa,halopesa,Tigo pesa,aitel money, ttcl pesa,nk) na mitandao ya bank ( simbaking).
I tell this is the only...
Habari wadau!
Nawasalimu kwa jina la Bwana na Allah.
Hivi mpaka lini serikali itaendelea kufanya siasa kwenye maswala ya msingi kama Afya?
Kila siku wanajinasibu kwamba matibabu ni bure kwa wajawazito na watoto, ila ukweli swala hili nilipingana sana na wife baada ya kuniaminisha kwamba...
Job Summary
To develop, maintain and increase a solidly dependable client base, to sell courier opportunities and provide an effective service to clients so as to maximize sales volumes and revenue targets.
Full Job Description
Sourcing of courier business in line with the courier sales...
Gazeti la mwananchi limekuwa likileta mfululizo wa kesi ya Zombe iliyohitimishwa kwa SP Bageni kuhukumiwa kifo.
Yaani IGP, Waziri wa usalama wa raia wote hawakuona umuhimu wa kuchunguza hadi Rais alipounda Tume.
Hilo ni tukio moja tu kati ya matukio mengi ambayo hayajawahi kuundiwa TUME...
Watu wanaougua maradhi ya mfumo wa upumuaji ikiwemo nimonia, wameshauriwa kufuata taratibu za namna ya upumuaji na staili za kulala kama sehemu ya tiba mazoezi ili kupona haraka.
Mazoezi hayo yanayohusisha namna ya kukaa, kulala na kupumua ambayo yametajwa kusaidia uondoshaji wa maji na...
Mbunge wa Kawe mh askofu Gwajima amesema siasa isiyomsaidia mwananchi wa kawaida na kumuachia ufukara haina maana yoyote na amewataka wanasiasa kuwatendea haki wananchi.
Gwajima alikuwa akihojiwa na waandishi wa habari katika sherehe za maazimisho ya miaka 44 ya kuzaliwa CCM Mabwepande nje...
Wanabodi, Heri ya mwaka mpya wa 2021!
Nimekaa kwa muda nikitafakali, kujiuliza na kutafuta majawabu kuhusu mienendo ya viongozi kuwachapa bakora wananchi kufuatia tuhuma mbalimbali dhidi ya wachapwaji.
Huenda viongozi hao wana sababu za msingi au hawana - wengine huwachapa bakora wakosaji kwa...
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Albert Chalamila, amesimamia zoezi la kubomoa nyumba ya Atony Lyuba mkazi wa Kata ya Inyala, Halmshauri ya Wilaya ya Mbeya, baada ya kukaidi agizo la kubomoa kwa hiari nyumba yake.
Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila.
Uamuzi wa RC Chalamila, ulitokana na Lyuba...
Habari wadau,
Kwenye mitaa yetu hususa huku uswazi kuna zoezi la ukusanyaji taka ambalo wanachaji 3000/= mpaka 5000/= kila kaya kiukweli hii ni pesa nyingi sana ambayo serikali za mitaa/mkandarasi wa taka anakusanya cha ajabu ukilipa haupewi risiti ya electronic.
Ila point yangu ni:
Je, hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.