Ninaandika taarifa hii kwa masikitiko makubwa kuhusu MAUWASA. Sasa yapata wiki mbili Mtaa wa Mwananchi, Kata ya Mahina, hapa Mwanza hatuna maji hata tone. Hakuna tatizo la umeme wa kusukuma maji na maji yako mengi Ziwa Victoria.
Mhe. Waziri Aweso ingilia kati tatizo hili vinginevyo tunaona...