mwenyekiti chadema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Akiwa Uganda, Tundu Lissu akosoa vikali viongozi wa Afrika kwa kujilikimbizia madaraka. Amtaja Museveni na Mwalimu Nyerere

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu amewakosoa vikali wanasiasa na viongozi wa Afrika kwa tabia yao ya kung'ang'ania madaraka kwa maslahi binafsi.Akizungumza katika kikao cha kujadili masuala ya demokrasia barani Afrika katika Kitivo cha Sheria, Chuo Kikuu cha...
  2. Mindyou

    Picha: Viongozi wa CHADEMA wakiongozwa na John Heche wafika nyumbani kwa Marehemu Philemon Sarungi kutoa faraja kwa familia

    Wakuu, Leo tarehe 06 Machi 2025 Makamu Mwenyekiti Bara wa CHADEMA John Heche na Naibu Katibu Mkuu Bara Amani Gulogwa wamefika nyumbani kwa marehemu Prof. Phillemon Mikol Sarungi kutoa pole kwa familia. Prof. Phillemon Mikol Sarungi amefariki jana tarehe 05 Machi 2025.
  3. sonofobia

    Pre GE2025 Mwenyekiti CHADEMA Kanda ya Kaskazini: Nitawashughulikia wote wasiomkubali Lissu

    Mwenyekiti CHADEMA Kanda Kaskazini Wakili Welwel wakati akifungua kikao kazi kilichohutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa Kamanda John Heche kilichofanyika Siku ya jana Equator Hotel Arusha amesema kuna wanachadema bado wanaugulia maumivu kama vile wamefiwa. Anahoji ni maumivu gani ya...
  4. upupu255

    Pre GE2025 Mwenyekiti CHADEMA, Singida: Maandalizi ya kumpokea Lissu yameiva, Ng'ombe zaidi ya 15 waandaliwa kusherehekea ushindi wake

    Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Singida, Omar Athumani Toto, akielezea maandalizi ya mapokezi ya Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Mhe. Tundu Lissu wilayani Ikungi tarehe 15 Februari hii. Soma, Pia: Ester Bulaya: Lissu ana uwezo wa kutufikisha kwenye...
  5. S

    Lissu alikuwa akiongea popote akiwa makamu mwenyekiti humu Jamii Forums alikuwa akipata support maelfu sasa anapata kiduchu kulikoni?

    Nimekuwa mfuatiliaji wa comments za ku.support alichoongea Lisu akiwa makamu mwenyekiti na sasa akiwa mwenyekiti Lisu alikuwa akiongea popote akiwa makamu mwenyekiti humu jamii forums alikuwa akipata support maelfu kumu support na likes nyingi mno sasa anapata kiduchu kulikoni? Toka...
  6. Mindyou

    Pre GE2025 Tundu Lissu: Tuungane na ACT ili iweje? Tukishirikiana na vyama vingine kwenye Uchaguzi, tunaenda kuliwa vichwa

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu siku ya leo Jumatano Februari 12, 2025. anazungumza na wanahabari Makao Makuu ya chama hicho mkoani Dar es Salaam Endelea kufuatilia uzi huu hapa Jamiiforums kupata updates kuhusu hotuba hii...
  7. Waufukweni

    Pre GE2025 Mamia ya Wananchi wa Kiloleni wamlaki Makamu Mwenyekiti CHADEMA, John Heche akiwa njiani kwenda Lamadi-Simiyu kwa Mapokezi

    Wakuu Mamia ya Wananchi wa kijiji cha Kiloleni-Busega wamejitokeza Kumlaki Mhe. Makamu Mwenyekiti CHADEMA Taifa, John Heche akiwa njiani kuelekea Lamadi huko Simiyu kwenye Mapokezi baada ya kuchaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa. Pia, Soma: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti...
  8. Waufukweni

    Pre GE2025 Mwenyekiti CHADEMA, Mara Heche: Wasira aachane na vijana, afanye mambo ya umri wake

    Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Mara Chacha Heche amemuomba Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Stephen Wasira kuacha kutumia majukwaa kutoa kauli tata ambazo hutolewa na vijana kwani akiendelea kufanya hivyo itampunguzia heshima kutokana na umri...
  9. Erythrocyte

    Tundu Lissu awasili Manyara kushiriki Msiba wa Derrick Magoma

    Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu ni miongoni mwa waombolezaji walioingia Mkoani Manyara kuomboleza Msiba wa Mwenyekiti wa zamani wa Mkoa huo, Derrick Magoma. Taarifa iliyosambazwa na chama chake Duniani kote hii hapa. Mungu Ibariki Chadema
  10. M

    Kipi kikubwa Tundu Lissu alichofanya tangu awe mwenyekiti CHADEMA?

    Ukiondoa kukutana na Warioba, kipi kikubwaTundu Lissu tangu achaguliwe amekifanya ndani ya CHADEMA au kwa taifa ambacho kinamfanya aaminike na kukuza chama chake? Kwa mimi naona nothing. Namuona Wasira na dkt Samia wakihamasisha zaidi watanzania waipende na waiamini CCM. Pia soma > Pre GE2025...
  11. Tlaatlaah

    Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Taifa anapanga kwenda kumtembelea mwenyekiti wa zamani

    Ni ziara kwenda kumuhadaa, kumkejeli na kumkashifu mwenyekiti huyo wa zamani, lakini pia huenda ikawa ni ziara kuchochea na kuzidisha kutwezana utu kama ambavyo kulifanyika kabla ya uchaguzi na kuzidisha migawanyiko na mpasuko zaid baada ya uchaguzi. Dhihaka zinazotolewa na wasaidizi wa...
  12. R

    Ngurumo amtahadhariha Lissu na sifa za wapambe (wabangaizaji), atolea mifano ya Mrema, Kikwete na Magufuli. Tusitishane, tuvumiliane

    Amesema TUSITISHANE, TUVUMILIANE. TUEPUKE MACHAWA NA WAPAMBE NA WABANBAIZAJI.
  13. Rorscharch

    Hongera kwa Lissu ila CHADEMA haihitaji Mwenyekiti Mpya, inahitaji mikakati mipya itakayovuka mipaka ya Siasa

    Niwe muwazi, Tangu viongozi mbalimbali CHADEMA walivyoanza kukiri kwamba bila katiba mpya hawawezi kuchukua uongozi wa nchi kusema kweli imani yangu na mapenzi yangu kwa chama hichi imeporomoka sana maana nilikua najiuliza kichwani .... "Miaka yote hii wana "front" mgombea urais walikuwa...
  14. Lord denning

    Hajawahi tokea Mwanasiasa nchini Tanzania kama Tundu Lissu! Mungu ana kusudi nae aendelee kumlinda

    Naiona Tanzania ya kipekee sana baada ya Tundu Antipass Lissu kushinda uenyekiti Chadema. Tundu Antipass Lissu aliyesoma shule ya vipaji maalum ya Ilboru na akasoma Sheria katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na baadae nchini Uingereza amethibitisha kuwa yeye ni zawadi ya kipekee kwa Watanzania...
  15. Influenza

    Pongezi mbalimbali za viongozi kwa Ushindi wa Tundu Lissu kuwa Mwenyekiti mpya CHADEMA

    Wakuu Viongozi mbalimbali wameendelea kutuma salamu za pongezi kwa Tundu Lissu baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Taifa. Kupitia ukurasa wake wa X, Luhaga Mpina amesifu namna CHADEMA wameweza kumpata Mwenyekiti wao. Ameandika “Hivi ndivyo mwenyekiti wa chama...
  16. Waufukweni

    Pre GE2025 Mbunge Bwege adai busara za Freeman Mbowe hazina maana yoyote. Nchi hii busara itatufikisha?

    Wakuu Mbunge wa zamani wa Kilwa Kusini, Selemani Bungara maarufu kama Bwege adai busara za Freeman Mbowe hazina maana yoyote katika nchi hii, kumlinda mtu mwizi ndio busara hiyo? "Yeye ni mtu wa busara, nchi hii ya busara, nchi hii busara itatufikisha? Busara yenyewe ipi? Kufichana...
  17. Waufukweni

    Pre GE2025 Selemani Bungara (Bwege): tatizo kubwa la Tundu Lissu ni kusema ukweli sana

    Wakuu Ukweli unaweza kugeuka sumu, Bwege naye kasema TAL tatizo ni mkweli kupiliza Mbunge wa zamani wa Kilwa Kusini, Selemani Bungara maarufu kama Bwege anasema tatizo kubwa la Tundu Lissu ni kusema ukweli sana. Soma: Musiba: Tundu Lissu hafai kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, ni mkweli mno
  18. Waufukweni

    Pre GE2025 Lissu awasili Mlimani City akiwa ndani ya gari yake aliyopigwa nayo risasi Dodoma na watu wasiojulikana, tena ikiwa bado na matundu yake ya risasi

    Mgombea wa Uenyekiti CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, amewasili Mlimani City akiwa ndani ya gari alilopigiwa risasi na watu wasiojulikana mjiji Dodoma mwaka 2017 likiwa bado na alama za risasi katika ubavu wa kushoto ambao alikaa wakati akishambuliwa, ambapo leo Januari 21, 2025 unafanyika uchaguzi...
  19. Lord denning

    Leo sio tu siku ya Uchaguzi wa Mwenyekiti CHADEMA. Leo ni siku ya kuamua mustakabali wa miaka 100 ijayo ya Tanzania

    Sidhani kama Wajumbe wa CHADEMA wanalifahamu hili? Tanzania ilipofikia sasa, hasa kutokana na changamoto za rushwa na uongozi mbaya unaogharimu maisha ya wananchi masikini kila kukicha, ni jambo moja tu linaloweza kutubadilishia hali hii na kuhakikisha uwepo wa Tanzania imara yenye maendeleo ya...
  20. M24 Headquarters-Kigali

    Hata Lissu akiwa M/Mwenyekiti CCM (sio CHADEMA) hana maajabu kisiasa

    Kwa Nguvu ya CCM Hata LISSU awe Makamu Mwenyekiti wa CCM hana madhara (Debe tupu).
Back
Top Bottom