Mwezi wa Pili unaisha leo, wale mliozaliwa tarehe 29-02 endeleeni kusuburi mpaka 2028!
Wazee wa mwaka wa kuforce mipango ya kuitwa Boss imekaaje kwa mwezi wa 3?
Wale ambao LBL imewasaula msijisahaulishe mmejipangaje na nyie?
WanaSimba na wanaYanga derby ndio hio inakuja mmejipangaje?
Mambo...