mzee

An honorific is a title that conveys esteem, courtesy, or respect for position or rank when used in addressing or referring to a person. Sometimes, the term "honorific" is used in a more specific sense to refer to an honorary academic title. It is also often conflated with systems of honorific speech in linguistics, which are grammatical or morphological ways of encoding the relative social status of speakers. Honorifics can be used as prefixes or suffixes depending on the appropriate occasion and presentation in accordance with style and customs.
Typically, honorifics are used as a style in the grammatical third person, and as a form of address in the second person. Use in the first person, by the honored dignitary, is uncommon or considered very rude and egotistical. Some languages have anti-honorific (despective or humilific) first person forms (expressions such as "your most humble servant" or "this unworthy person") whose effect is to enhance the relative honor accorded to the person addressed.

View More On Wikipedia.org
  1. BRAZA CHOGO

    Mzee ananuka mdomo: Kero usafiri wa umma

    Ulimhola! Juzi nimepanda basi la kwenda makete, nimepiga zangu pamba kali, chini nimevaa raba za bei mbaya, miwani na earphones. Safari ikaanza vizuri, AC inapuliza taratibuu huku mwendo wa basi ukiwa mwanana kabisa. Pembeni yangu aliketi babu mmoja ana miaka kama 60 hivi kwa kumtazama...
  2. G Sam

    Wanachadema tuungane tumwambie Mwamba inatosha, asante kwa kazi nzuri mzee

    Kusema kweli katika siku ambayo nitachafukwa basi ni siku ambayo Mwamba ataamua tena kurudi ulingoni na kugombea muhula wa tano. Nitachafukwa sana niwe mkweli. Kama kuna siku nitampa Mwamba heshima yake basi ni ile siku atakayosema kuwa this time inatosha naomba nipishe damu mpya nibakie kuwa...
  3. chiembe

    Lissu ana uwezo wa kudai urithi wakati baba yake akiwa hai, familia ya Mzee Antipas ijihadhari

    Imagine mtu kaanza kujaza fomu za makamu Mwenyekiti mwaka jana, leo kaibukia kwenye uenyekiti, ni nini kinamsibu Lissu? Tamaa?
  4. M

    Kosa kubwa la Mzee Mbowe ni CHADEMA kutegemea Jina la Mtu badala ya Taasisi

    Moja ya kosa kubwa ambalo wafuasi wa CDM watakuja kujutia ni kuruhusu chama chao kujengwa kwa kutugemea majina ya watu badala ya kujenga Taasisi . Leo hii ,Menyekiti kaguswa kidogo tu ,mayowe kila mahali,ukienda kanda ya kasakazini takribani miaka ishirini kuna jina moja tu la Lema. Majina...
  5. chiembe

    Kwa nini Lissu hajahudhuria msiba wa Mzee Kibao, na katika hotuba zake hajawahi kumtaja Soka?

    Najiuliza tu, kwa nini Lissu hajawahi kwenda Tanga kuhani msiba wa Mzee Kibao, na katika hotuba zake,mbali na kugombania madaraka ya uenyekiti na urais, hata hajawahi kuwataja akina Soka?
  6. Waufukweni

    Makete: Mzee wa miaka 62 ambaka mwanafunzi wa kidato cha pili

    Mwanafunzi anayesoma kidato cha pili mkazi wa kijiji cha Ihela wilayani Makete mkoani Njombe ameelezea tukio la ubakaji alilofanyiwa na mzee wa miaka 62; "alisema nisiogope anafanya haraka na kundoka, nikaondoka kwa hasira na kwenda kukaa kwenye kitanda, nlisahau kufunga mlango, alivyoingia...
  7. Yoda

    Kuita watu Mzee kumesababishwa na nini na pia title ya mzee inaanzia miaka mingapi?

    Hivi huu mtindo wa kuita watu kwa kutanguliza neno "mzee" ni umetokana na nini? Halafu kwa nini ni wanasiasa tu wanaitwa wazee? Utasikia mzee Kikwete, mzee Mbowe, mzee Kinana, mzee Warioba, Mzee Slaa, Mzee Wasira n.k ila huwezi kusikia mzee Bakheresa, Mzee Janabi, Mzee Rostam! Kwa nini mzee...
  8. Rorscharch

    Mzee katoa hoja "Mzungu kaitoa Afrika Porini" akamwagiwa kahawa yake

    Kuna ukweli kwenye hili? Anasema kuwa: 1. Anasema mpaka sasa mbona tukisema tunaenda kuangalia majengo ya kale tunachokiona ni kazi ya mwarabu na mzungu, sisi ngome zetu zenye ubora kama ya hao watu ziko wapi? (Wazee wengi ne walifoka sana hapa) 2. Alisema wenzetu walikuja huku...
  9. M

    Kurujuan ya mzee MAGOMA inaendelea kufanya kazi ndani ya mtaa wa Jangwani. Lini hii slow pacha itazibwa?

    Eng Hersi na boss wake GSM wakae chini wayamalize na mwanachama kindakindaki wa Yanga,maarufu kama mzee Magoma. Mzee huyu alisikika katika vyombo vya habari akitoa kauli ya kuwa yanga ina slow pacha na haya ni matokeo ya Kurujuan yake aliyoisoma kwa kila ambaye ana mpango wa kuidhulumu Yanga...
  10. 4

    Mzee wangu Jaji na Waziri Mkuu Mstaafu endelea kupiga spana

    Leo nipo na furaha sana wakuu jf , amani ya Bwana ikawe juu yenu. Rejea mada tajwa hapo juu Mzee wangu Jaji na Waziri mkuu mstaafu mzee Warioba amani ya Bwana ikawe juu yako. Mzee wangu kama Taifa umetupa baraka sana Mungu akutunze mzee wangu. Kuna vilio huko ,ila kujibu hoja zako hawezi ...
  11. ngara23

    Nikashangaa kama waliomuua mtumishi TRA watajulikana kabla ya wauaji wa Mzee Kibao

    Kwanza nalaani haya mauaji yote Mauaji yote chanzo ni hapo Tegeta Wananchi kuchukua sheria mikononi na kuuwa sio jambo zuri, wote tunalilaani Mzee Kibao alikufa Toka mwezi September hadi Leo hatujaona hao watekaji na wauaji wa Mzee Kibao kukamatwa na japo waliacha kila alama. Mzee Kibao...
  12. The Sunk Cost Fallacy 2

    LGE2024 Jaji Warioba: Wapinzani Waliniambia Wangeweza Kupata Ushindi Kwa 25% tu

    Swali. Kama hivi ndivyo,Kwa nini CCM mnakuwa wadogo wa madaraka wakati kiuhalisia Wapinzani hawana uwezo wa kushindana na kushinda? My Take Ni vyema CCM ikajifunza Namibia sio lazima ushinde Kila pointi ndio uhasabiwe umeshinda. Wapinzani wakishinda watangazwe Ili kuepusha chuki na sintofahamu...
  13. Mtu Asiyejulikana

    Hivi Mzee Joseph Sinde Warioba hana watoto wa kike ambao hawajaolewa?

    angaaa ningempata mmoja kwa kweli. huyu mzee ana akili sana sijui watoto wake wakoje ikiwa anao. nilitamani hata nione mtoto mmoja wa kike kutoka kwake niwe tu najisifia kuwa Mzee Warioba ni Mkwe wangu. Baba yangu ni CCM ambaye yupo kwenye system muda mrefu. huwa anaumia tu lakini anasema...
  14. G

    East Africa Radio kwanini mlikatisha mahojiano na Mzee Bantu?

    Jana katika kipindi cha jioni alikuwepo mtu mmoja aliyejitambulisha kama Bantu. Alikuwa ameanza kuzungumzia jinsi alivyouona uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliopita. Alikuwa anaongea maneno ya kweli na adimu sana kuyasikia kwenye media zetu. Muda mfupi nilitoka nje ya gari kidogo, kurudi...
  15. Kalaga Baho Nongwa

    Nakupa chimbo la makobazi, utakubali wewe mzee

    Na kalaga baho Aseee nina furaha kubwa ya kujadili na wafanyabiashara wenzangu. Poleni sana watanzania kwa kumpoteza Mzee Ndugulile kigamboni. Aseee nilkuwa nimelala hapa nimepigiwa simu na kijana wangu Ahkmed wa Reflexes anadai mzigo ushafika pale Msimbazi. Jengo la Simba ndipo anapopatikana...
  16. Khanji kapoor

    Pamoja na mapungufu mengi aliyonayo lissu sio mfisadi,je mzee wetu alivuta shiling ngapi mbona lissu anahasira mno?

    Niliwahi kusikia miaka ya zamani lissu akimtweza baba wa taifa mwalimu nyerere Nikamueleza rafiki yangu kuwa huyu mtu hatafanikiwa kisiasa Tanzania,he will end up like siasa za mtikila Mtikila mwishoni aligeuka laughing stock sio Lkn nampongeza lissu kitu kimoja sio mfisadi hata kidogo Kwa...
  17. C

    Vivian Kikii adai hawajashirikishwa msiba wa Mzee wao King Kikii

    1. Watoto wa mke mkubwa wakiongozwa na mtoto mkubwa Vivian Kikii Wanadai hawajashirikishwa msiba wa Baba yao toka utokee. 2. Ikumbukwe Mzee Kikii alikua na Mke zaidi ya mmoja, ambao Mke mkubwa mtoto mkubwa ndio VIVIAN na Mke mdogo, mtoto maarufu ni JESKA. RIP King 'Mswati' BCc: Steve Nyerere -...
  18. Khanji kapoor

    Kwa wale tusiokuwa na makaratasi ya kukaa hapa state tupeane mbinu za kukwepa mass deporting ya huyu mzee Trump

    Harakati za mtu mweusi zinaendelea Lazima tukubali bepari Trump ameshinda uchaguzi na wazungu wamepiga kura za hasira kwa mzungu wao Biden kukatazwa na kina Obama asigombee Wazungu walikasirika Sana hata wasiokuwa na mpango wa kupiga kura wakajitokeza Sasa tunaoishi hapa bila makaratasi...
  19. Khanji kapoor

    Ivanka Trump yupo wapi au mzee Trump ashambwaga?

    Huyu mke wa Trump mbona simwoni. Sana kwenye media siku hizi. Kipindi Trump yupo Rais walikuwa wanapendeza mno wakiwa kwenye lile dege wakitembelea nchi kadhaa. Lkn Simeon tena yule mama mzuri sijui kamkorofsha nn mzee bepari. Tumwombe Trump asimsahau kwenye teuzi.
  20. Waufukweni

    CHADEMA yajibu hoja za Tundu Lissu: "Hakuna Serikali ya Nusu Mkate, Sio Sera Yetu"

    Wakuu CHADEMA wamemjibu Makamu Mwenyekiti wa chama chao, Tundu Lissu ===== Hivi karibuni kumeibuka tena wimbi la hoja mbalimbali ambazo zilishawahi kuibuka siku za nyuma na ambazo zimesababisha wanachama, wapenzi wa Chadema na Wananchi kwa ujumla kutaka ufafanuzi rasmi wa Chama; 1. Chadema...
Back
Top Bottom