Tatizo ni Umaskini au tatizo ni kuwapa watu fulani wenye tamaa na njaa Kumiliki wa vitu vyote na kuvifanya kuwa chini Yao na kuwasahau wenzao?
Au tatizo Umaskini ni kitu cha asili na kurithi kama wasemavyo wengine kuwa akiwa baba masikini hadi mtoto anaweza kuwa masikini?
Au masikini upo...
Kuna dhana nyingi ambazo watu huzitumia bila kujua zina-maanisha nini hasa. Baadhi ya dhana hizo zina ajenda mbaya, kwa hivyo unapozitumia, unasaidia kuendeleza ubaya unaotokana na ajenda hizo mbaya.
Dhana moja kama hiyo ni dhana ya "Nadharia za Njama au Conspiracy Theory"
Dhana hii ilitumika...
Nadharia Njama (Consipirancy Theory) ni hali ya kuamini kwamba kuna taasisi au watu fulani wanahusika kufanya jambo fulani la siri kwa faida yao. Lakini pia inawezekana ikawa ni hoja fikirishi ya kutungwa dhidi ya kitu fulani lakini hoja yenyewe isiwe ya kweli.
Siku moja miaka ya themanini...
Sehemu ya Kwanza.
John Fitzgerald Kennedy, aliyekuwa maarufu kama JFK au Bobby, alikuwa mwanasiasa wa Marekani aliyehudumu kama rais wa 35 wa USA kutoka mwaka 1961 hadi alipouawa mwishoni mwa mwaka wake wa tatu katika ofisi hiyo.
Aliuawa huko Dallas, Texas, US na kifo hicho kilitangazwa rasmi...
Hizi ni nadharia zenye utata hapa duniani hii ndio list yangu km unayo ongeza chini hapo
● Rebirth and reincarnation
● Time travelling
● Human clone
● Magic mushroom
● Mermaid (samaki watu)
● Allen's and UFO
● Ark of the Covenant (Sanduku la agano)
● Satan Bible
● De javuu theory
●meditation...
Uhuru ni hali ya kutofungamana na kitu chochote pamoja kufanya maamuzi yanayoweza kukupa furaha na amani.
Dhana potovu ya uhuru imekuwapo kwa muda mrefu huku tukiendelea kukaririshwa kuwa binadamu yupo huru na anahitaji uhuru au nchi ipo huru lakini nadharia hizi ni za uongo na zakupingwa...
Tunazaliwa, tunakuta baba anatuita fulani, mama naye.
Kaka pia anatuita hivyo, na dada na ndugu zetu! Kiukweli jamii nzima tumekuta inatuita tu fulanii fulanii.
Wapi tulikaa kikao, ni lini tulikubaliana kwamba jina langu, kitu muhimu ninachomiliki na kunitambulisha popote liwe ni hili na sio...
Zamani iliaminika kuwa vidonda vya tumbo vinasababishwa na mawazo. Baadaye zikaja stori za Helicobacter pyrori kidudu ambacho kipo kwa karibia 80% ya watu.
Ipo hivi; Kidonda chochote ukiumia inatakiwa upone.
Kiasili kiumbe huwa anapona pale anapokuwa mazingira ya kupumzika. Resting.
Je ndugu...
Yaani tujikite kutafta riziki zetu za halali na hela
Hapa Tanzania hakuna kitu kinaitwa mke wa mtu.
Bora niendelee na Maisha yangu ya utawa tu
Maana hizi ndoa zenu Ni zaidi ya vichekesho.
Pole ndugu yangu hiyo pesa yako umetoa mahali Bora ungemvutia Mama yako maji ya dawasa .
Vimondo ni magimba yanayomeguka kutoka kwenye Sayari na yakishameguka huingia kwenye anga la Dunia yetu na hatimae hudondokea kwenye uso wa Dunia yetu!
Swali ni je hiki kipate kinawezaje kueskepu kutoka kwenye Sayari wakati Kuna grevitational force?
Najaribu kujiuliza na kuchukua mfano kipande...
UTANGULIZI
Mfumo wa elimu ya Tanzania ni mfumo unaomuweza mwanafunzi kuelewa mambo mengi sana lakin asijue namna ya kuyafanyia kazi.
ELIMU YA NADHARIA. Elimu ya nadharia ni elimu ambayo hutolewa kwa njia ya maandishi vitabu na maelekezo ya mdomo kutoka kwa mtoaji wa elimu husika(mwalimu),mfumo...
1. Kidato cha kwanza mpaka cha nne Elimu ya biashara, uwekezaji na fedha itolewe kwa nadharia
2. Kidato cha tano na sita Elimu ya biashara na uwekezaji na fedha itolewe kwa vitendo walau asilimia 10 ya ada itumiwe na wanafunzi kubuni au kuwekeza kwe biashara kwa vitendo...
3. Chuo 20% ya Alama...
Mwaka 1859 mwanabaiolojia Charles Darwin alichapisha kitabu chake kuhusu chanzo cha viumbe wote duniani chenye jina “On the origin of species” Kilichoelezea theory yake ya evolution. Darwin alisema kwamba hivi viumbe vyote tunavyoviona leo (Aina Zaidi ya million 8.6) vikizagaa kwenye uso wa...
Wazo Potofu: Magonjwa yote ya figo ni hatari.
Ukweli: La, magonjwa yote ya figo si hatari. Yakitambuliwa na kutibiwa mapema, magonjwa mengi ya figo yanaweza kuponywa. Kwa mengi, utambuzi na matibabu hupunguza au kusimamisha kuendelea kwa magonjwa hayo.
Wazo Potofu: Hitilafu ya figo huweza...
kijana wa 1990 to below bado hujafanya mambo haya;
1.huna hata godoro au kitanda
2.unaishi kwenu na huna mpango wa kuondoka
3,wenzako wakiwa na familia zao wewe kazi kuwatembelea
4.huna kazi zaidi ya kufatilia movi za wakorea
5.unatmia pesa kwenye mamboyasiyo na maana
6.kuzi kufatilia stori za...
Multiple sclerosis: ni ugonjwa wenye sifa ya kuharibu ushikamanifu wa mfumo wa fahamu haswa kile kiwambo cha mafuta kinachoilinda mishipa ya fahamu.
Mara nyingi ikitokea huwa inatokea bila sababu kubwa ya kueleweka japo kama ilivyo ada watu huamua kujiaminisha kwamba labda ni vikemikali/sumu...
Kila mtu ni kiongozi wa maisha yake hapa duniani, so kuwa na code yako ni muhimu sana. Wote wanaume na wanawake wanapaswa kuwa nayo, tena haswa wa kiume usiishiishi tu. Mfano yangu ni hii hapa:
Mtu yeyote, mdudu yoyote, mmea, mjusi, hata kabakteria kakiishi hivyo katakuwa fresh na mimi kwa...
Habari wakuu
Mwanamke kama namtongoza akiniuliza una mpenzi au mke ?? Nitamjibu kwa kujiamini kabisa ndio nina mke. Watu wengi wanadhani wakisema wanamke basi watakataliwa. Lakini majibu ni kinyume chake
Hebu tutumie mfano wa duka lenye wateja wengi na lisilo na wateja,
Duka lenye wateja...
Sio katika misingi yote dunia imekuwa ikiongozwa katika usahihi!,zipo taarifa ambazo zimekuwa zikileta utata na imekuwa hivyo kwa makusudi ya watu fulanifulani.
Zipo nadharia, taarifa na imani katika misingi yote ambayo kwako inawezakuwa ni taarifa aidha unamashakanayo ama unahakika kabisa...
Wandugu,
Baada ya kufuatilia kwa kina kinachoendelea mahakamani naweza kuja na nadharia ifuatayo. Freeman Mbowe alimuomba Denis Urio amtafutie walinzi.
Lakini kwa kuwa DCI alikuwa anafuatilia kwa ukaribu mawasiliano ya kila siku ya simu ya Mbowe aliona kuna connection na Denis Urio hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.