nafuu

  1. Friedrich Nietzsche

    Njia ya gharama nafuu na uhakika ya kusafirisha mizigo kutoka Dar kuja Mwanza

    Wakuu Nafanya biashara ya kuchukua mzigo Dar. Changamoto ni gharama za usafiri unajikuta faida inaishia kwenye nauli. Nielekezeni njia rahisi ya kusafirisha mizigo kutoka Dar kuja Mwanza kwa bei rahisi ila uhakika. Achana na magari vishoka, wale wa kuunganisha unganisha wezi sana.
  2. GENTAMYCINE

    Ni kwanini Bidhaa za Electronics hapa Uganda ni Nafuu sana ukilinganisha na huko Nyumbani Tanzania na bado wanategemea Bandari za Mombasa na Dar?

    Na cha Kushangaza zaidi karibia 85% ya Bidhaa zao hizo za Electronics ni Original kabisa lakini bado wanaziuza / zinauzwa kwa Gharama nafuu sana wakati huko Tanzania ( Nyumbani ) bidhaa nyingi ambazo tunauziwa kwa Gharama Kubwa hapa Uganda bado ni Feki pia. Haya Mangwena ( Wabobezi ) wa Uchumi...
  3. D

    Web Development na Application Development kwa Bei Nafuu

    Habari, kwa jina naitwa Anderson Mgaya ni kijana mwenye uzoefu na uwezo mkubwa katika Web Development na Application Development. Ikiwa unahitaji tovuti ya kisasa au programu itakayowezesha biashara yako au mradi wako kufikia viwango vya juu, niko tayari kufanya kazi na wewe kwa bei nafuu...
  4. Bushmamy

    Wafanyabiashara wa nguo za mitumba wagundua aina mpya ya nguo za mitumba zenye gharama nafuu

    Wanawake ambao ni wafanyabiashara wa nguo za mitumba wamegundua aina mpya ya nguo za mitumba zenye gharama nafuu kwa watu wa kupato cha chini. Wanawake hao wamekuwa wakienda Dampo/jalalani kutafuta nguo zilizotupwa na zilizoletwa na magari ya taka na hivyo kuchukua nguo hizo kwa kununua...
  5. BwanaSamaki012

    Jipatie Mbegu Bora ya Samaki Kambale kwa bei nafuu

    Karibu nikuuzie mbegu bora ya Kambale kwa bei nafuu ya Tsh 300 kwa kifaranga kimoja. Kambale ni aina ya samaki mstahimilivu na anayefugika kwa urahisi kuliko aina nyingine ya samaki. Mbali na kuwa mstahimilivu, pia wana sifa ya kukuwa haraka mara mbili zaidi ya sato. Unaweza kuboreshe...
  6. tustary software develope

    Tunatoa huduma bora za graphic design kwa bei nafuu

    Je, unahitaji huduma bora za Graphic Design? Kama jawabu ni ndio! Basi hii ni sehemu sahihi ya kutatua haja yako. Tunatoa huduma bora za graphic design kwa bei nafuu: 🔹 Huduma ya Logo design zenye kuvutia na za kipekee. 🔹 Huduma ya business Card design. 🔹 Huduma ya Flyer 🔹 Huduma ya poster...
  7. tustary software develope

    Jipatie logo kwa bei nafuu

    Logo ni utambulisho wa biashara yako sokoni Umuhimu wa Logo ni kama umuhimu wa kitambulisho Logo inatumika kuonyesha umiliki wa bidhaa na huduma zako Kufanya biashara bila logo ni sawa na kufanya biashara bila utambulisho Karibu tukusaidie upate logo inayowakilisha biashara yako Logo zetu...
  8. Friedrich Nietzsche

    Mikopo gani yenye riba nafuu zaidi Tanzania inaweza kukutoa

    Wakuu swali hili nimeuliza mara kibao na Hamniambiii……Na ilihali mnajua Semeni bas NB:KUFICHA TAARIFA MUHIMU SI UTU
  9. H

    SoC04 Kuwekeza kwenye matumizi ya vifaa vya sayansi na teknolojia pamoja na kuboresha matumizi ya (internet) mtandao kwa kuweka gharama nafuu kwa wananchi

    Mpaka hivi sasa watu wengi wanatumia vifaa mbalimbali vya sayansi na teknolojia katika kufanya shughuli zao. Ukuaji wa sayansi na teknolojia umekuwa hivi sasa kulinganisha na miaka kadhaa iliyopita. Uwekezaji katika matumizi ya vifaa vya sayansi na teknolojia utaleta matokeo chanya kwani dunia...
  10. KOROSHO BOMBA

    Njoo ununue KOROSHO Kwa bei nafuu

    KOROSHO BOMBA ni wauzaji wa korosho kutoka Tandahimba, Mtwara kwa jumla na reja reja. Tunapatikana Mbagala Rangi Tatu, jijini Dar es salaam. Bei zetu ni; 1) Korosho mbichi nyeupe ni Tsh. 15,000 kilo moja 2) Korosho za ku roast za chumvi au pilipili ni Tsh. 18,000 kilo moja Delivery bure popote...
  11. darautobroker

    Kuna tani elfu 14 za sukari zinauzwa bei nafuu

    Habari Zenu Ndugu Zangu Wa Jukwaa Hili La Biashara Ni Matumaini Yangu Kuwa Ni Wazima Wa Afya Na Mnaendelea Vizuri. Bila Kupoteza Muda Ningependa Niende Moja Kwa Moja Kwenye Mada Iliyonifanya Hadi Nikafika Hapa. Binafsi Mimi Ni Dalali/Middleman Ivyo Hii Ni Moja Ya Sehemu Ya Kazi Zangu Za Kila...
  12. W

    INAUZWA Chia seed zinauzwa kwa bei nafuu

    Chia seed zinapatikana
  13. Jumanne Mwita

    Shirika Gani la Bima ya Afya Tanzania Lina Gharama Nafuu na Huduma Bora?

    Habari wanajamvi, Natumaini mu wazima na mnaendelea vyema na shughuli zenu za kila siku. Nimekuja kwenu leo nikiwa na swali ambalo ningeomba msaada wenu kulijibu. Katika kutafuta bima ya afya ambayo itakuwa na gharama nafuu na huduma bora, nimepata majina ya mashirika kadhaa yanayotoa huduma za...
  14. Melanny

    Naomba kujuzwa Bima ya bei nafuu kwa mtoto

    Habari wapendwa naomba orodha ya bima ambazo ni nzuri na nafuu kwa mtoto mwenye umri wa miaka mi tano (5)
  15. Job Richard

    Ujenzi wenye gharama nafuu na muonekano mzuri wa nyumba yako

    Hello wadau wangu najua wengi wanapenda kujenga nyumba nzuri lakini huwa hatuna bajeti ya kutosheleza nikushauri kama mmoja wapo Jipatie mashine ya kutengeneza tofali za interlock bei zetu ni za kawaida sana Hizi tofali ni za udongo zikiwa na muonekano mzuri sana huna haja ya kuskimu nyumba...
  16. N

    Tunatengeneza website na online radio kwa gharama nafuu kabisa

    Habari wakuu!! Kwa wale wenye uhitaji wa kutengeneza website kwa ajili biashara pamoja na online radio karibu sana , tunatengeneza kwa ubora kabisa unaotaka!! Huu ni mfano wa website pamoja na online radio yake ambayo tunakutengenezea lakini pia tunalink na radio kubwa kwa ajili ya matangazo...
  17. K

    Bank gani yenye riba nafuu?

    Mwenye ufafanuzi tafadhali kuhusu bank yenye riba nafuu kwenye urejeshaji wa mkopo kati ya bank zifuatazo: NMB CRDB NBC
  18. D

    Njoo ujichagulie laptop nzuri na bei nafuu

    NEW ARRIVAL🚨 💥 High Quality Used clean Laptop. A Grade🔥 👉Dell 3189 x360 Touch screan 👉Intel Pentium 👉SSD 128 👉 RAM 4GB DDR4 👉Touchscreen Display 👉Price ONLY Tshs 420,000/-* 255713520180
  19. Logikos

    Nishati safi ya Kupikia – Gharama Nafuu (Kuanizia 0 Tshs)

    Huu ni muendelezo wa Uzi wa Kuhoji Nishati gani kwa Tanzania ni Safi na Ina Uwezekano mkubwa kufanikiwa. Kwenye huu Uzi taelezea ni jinsi Gani Nishati hii Safi na Bora kuliko Gesi inaweza kuwa na Gharama mpaka ya 0 Kwa mtumiaji, Na hapo bila / kabla ya Serikali Kushuka Bei ya Units. Kwahio...
  20. Z

    INAUZWA Nauza viatu vya ngozi (Sandals) vya kiume na kike kwa bei nafuu.

    Viatu ni vizuri na imara sana. Bei: 12,000 tu Napatikana Dsm Segerea mwisho. Ukihitaji huduma ya delivery utaletewa kwa gharama zako. Mikoani pia utatumiwa kwa gharama zako.
Back
Top Bottom