namibia

Namibia ( (listen), ), officially the Republic of Namibia, is a country in Southern Africa. Its western border is the Atlantic Ocean; it shares land borders with Zambia and Angola to the north, Botswana to the east and South Africa to the south and east. Although it does not border Zimbabwe, less than 200 metres of the Zambezi River separates the two countries. Namibia gained independence from South Africa on 21 March 1990, following the Namibian War of Independence. Its capital and largest city is Windhoek, and it is a member state of the United Nations (UN), the Southern African Development Community (SADC), the African Union (AU), and the Commonwealth of Nations.
Namibia, the driest country in Sub-Saharan Africa, was inhabited since early times by the San, Damara and Nama people. Around the 14th century, immigrating Bantu peoples arrived as part of the Bantu expansion. Since then, the Bantu groups, the largest being the Ovambo, have dominated the population of the country; since the late 19th century, they have constituted a majority.
In 1878, the Cape of Good Hope, then a British colony, annexed the port of Walvis Bay and the offshore Penguin Islands; these became an integral part of the new Union of South Africa at its creation in 1910. In 1884 the German Empire established rule over most of the territory, forming a colony known as German South West Africa. It developed farming and infrastructure. Between 1904 and 1908 it perpetrated a genocide against the Herero and Nama people. German rule ended in 1915 with a defeat by South African forces. In 1920, after the end of World War I, the League of Nations mandated the administration of the colony to South Africa. It imposed its laws, including racial classifications and rules. From 1948, with the National Party elected to power, South Africa applied apartheid also to what was then known as South West Africa.
In the later 20th century, uprisings and demands for political representation by native African political activists seeking independence resulted in the UN assuming direct responsibility over the territory in 1966, but South Africa maintained de facto rule. In 1973 the UN recognised the South West Africa People's Organisation (SWAPO) as the official representative of the Namibian people; the party is dominated by the Aawambo, who are a large plurality in the territory. Following continued guerrilla warfare, South Africa installed an interim administration in Namibia in 1985. Namibia obtained full independence from South Africa in 1990. However, Walvis Bay and the Penguin Islands remained under South African control until 1994.
Namibia has a population of 2.6 million people and a stable multi-party parliamentary democracy. Agriculture, herding, tourism and the mining industry – including mining for gem diamonds, uranium, gold, silver, and base metals – form the basis of its economy. The large, arid Namib Desert has resulted in Namibia being overall one of the least densely populated countries in the world.

View More On Wikipedia.org
  1. Balozi Dkt. Emmanueli Nchimbi ashiriki mazishi ya Dkt. Sam Nujoma

    Picha mbalimbali zikimuonesha Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akishiriki shughuli ya mazishi ya kitaifa ya aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Namibia, Baba wa Taifa hilo na kiongozi wa mapambano ya kupata uhuru wa nchi hiyo, Dkt. Sam Shafiishuna...
  2. L

    Balozi Dkt. Emmanueli Nchimbi Aongoza Ujumbe wa CCM katika mazishi ya Baba wa Taifa la Namibia

    Ndugu zangu Watanzania, CCM inaendelea kuonyesha ni kwanini ni chama kiongozi Barani Afrika, inaendelea kuonyesha ni kwanini imeendelea kuwa chama cha mfano na cha kuigwa Barani Afrika, inaendelea kuonyesha ni kwanini inapendwa na kukubalika ndani na nje ya mipaka ya Tanzania, inaendelea...
  3. TANZIA Rais wa kwanza wa Namibia Sam Nujoma amefariki akiwa na umri wa miaka 95

    Hatimae miongoni mwa true freedom fighters ameitwa kupumzika usiku wa kuamkia tarehe 09/02/2025 akiwa na umri wa miaka 95. Tusalimie Nyerere, Mugabe, Mandela na wengine, waambie Waongee na Kaguta Museveni aachie Vijana Hili hapa tangazo la Tanzia = Tangazo la Kifo cha Rais wa Kwanza wa...
  4. J

    Kampuni ya Telecome nchini Namibia imeshambuliwa na wadukuzi

    Kampuni ya simu ya Telecom inayomilikiwa na serikali ya Namibia imeshambuliwa na wadukuzi na kusababisha uvujaji wa taarifa nyeti za wateja. Vyombo vya habari vya ndani vimeripoti kuwa wadukuzi waliiba karibu taarifa 500,000 ikiwa ni pamoja na taarifa binafsi na za kifedha za wizara, maafisa...
  5. Wapinzani wa nchini Namibia walalamika juu ya wizi wa kura kwenye uchaguzi wa Namibia. Wasema ushindi wa SWAPO ni haramu

    Dkt. Panduleni Itula, mgombea urais wa chama cha Independent Patriots for Change (IPC), ametangaza kuwa chama chake hakitakubali matokeo ya uchaguzi mkuu unaoendelea, akidai kuwa kuna kasoro kubwa katika mchakato huo. Akihutubia mkutano na waandishi wa habari mchana huu, Dkt. Itula alieleza...
  6. Rais mpya wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah aliishi kwa miaka 6 Dar es Salaam miaka ya 1980’s. Mwalimu Nyerere alikuwa akimuita “Mama wa SWAPO”

    Rais wa kwanza mwanamke Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah Namibia imepata Rais wa kwanza mwanamke, hatua kubwa katika historia ya taifa hilo. Safari yake ya kuwa mwanamke wa kwanza katika mambo ya kisiasa haijaanzia hapo alipo. Mwaka 2017 alichaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa SWAPO, akiwa mwanamke...
  7. Rais Samia ampongeza Rais Mteule wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, kufuatia ushindi wake wa kihistoria

    Rais Samia ametoa pongezi za dhati kwa Rais Mteule wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, kufuatia ushindi wake wa kihistoria katika uchaguzi mkuu wa Namibia wa mwaka 2024. Kupitia ujumbe wake, Rais Samia amesema, "Kwa niaba ya Serikali na Wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, natuma...
  8. Netumbo Nandi-Ndaitwah aweka Historia, awa Rais wa kwanza mwanamke wa Namibia

    Netumbo Nandi-Ndaitwah wa chama tawala cha Swapo nchini Namibia amechaguliwa kuwa Rais, na hivyo kuwa kiongozi wa kwanza mwanamke nchini humo. Kwa mujibu wa Shirika la Utangazaji la Afrika Kusini (SABC), matokeo yaliyotolewa na Tume ya Uchaguzi ya Namibia leo Jumanne Desemba 3, 2024 yameonyesha...
  9. Upinzani Tanzania msirudie kosa walilofanya wenzenu wa Namibia

    Namibia ipo kwenye uchaguzi kwa Sasa. Uchaguzi huu ulikuwa ni mgumu Kwa chama tawala Cha SWAPO ila vyama vya upinzani baadala ya kuungana vikaamua kila mmoja kupambana pekee yake mwisho wa siku SWAPO inaongoza kwa matokeo ya Sasa kwa Asilimia 48 ya kura za urais mpaka Sasa. Vyama vya upinzani...
  10. Karibuni Namibia itakuwa kama Kenya, Sudan, Nigeria, South Africa, DRC, Somalia, Ethiopia n.k

    Hizo nchi inajulikana wananchi wao hawaogopi vyombo vya usalama, wapo tayari kupambana hata na wanajeshi au polisi pale wanapoona hawatendewi haki. Kenya tumetoka shuhudia juzi hapa vijana wadogo wanaingia bungeni na kuchoma bunge. Nilichogundua kumbe serikali nyingi za Africa ndizo chanzo cha...
  11. Namibia yakitupalia mbali Kiswahili na kuchagua Lugha ya Kichina

    Mnamo mwaka 2019, Marehemu Rais Magufuli na na Rais wa Namibia, Geingob walikubaliana kuanzisha lugha ya Kiswahili katika shule za Namibia. Mwezi huu, Wizara ya Elimu nchini Namibia ilitangaza kuwa Kiswahili hakitatolewa nchini Namibia na kufichua kuwa shule za Namibia zinapendelea lugha ya...
  12. Tanzania yaridhishwa na ushirikiano uliopo na nchi ya Namibia

    NA. MWANDISHI WETU – WINDHOEK NAMIBIA Tanzania itaendelea kuimarisha misingi ya uhusiano wa diplomasia baina yake na nchi ya Namibia katika kuimarisha mahusiano yaliyopo katika nyanja mbalimbali huku mchango wa Tanzania katika uhuru wa Namibia ukitajwa. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Ofisi ya...
  13. G

    Nchini Namibia, mshahara wa security guard ni mkubwa kuliko wa profesa UDSM

    Nchi ya Namibia imefanya mambo makubwa sana, mpk unajiuliza Tanzania tulikosea wapi siye? Nadhani tumefika hapa kwasabb ya siasa chafu na uongozi mbovu. Namibia ina rasilimali gani za kuizidi Tanzania hadi wao wawe mbali kiasi hiki? 1. Wazee wanalipwa. 2. Walemavu wanalipwa. 3. Matibabu kwa...
  14. Machache Kuhusu Kimondo Hoba (Namibia)

    -Ni miaka 80000 iliyopita. Jiwe kubwa lililokuwa na uzito wa tani 60 lilianguka na kufika katika ardhi ya Namibia pembezoni mwa milima ya Otavi, ni km 20 kutoka mji wa Groot fontein. - Mwaka 1920, bwana Jacob Hermanus Brits (alikuwa ni Boer), alienda shamban kwake na vifaa vyake vya kazi...
  15. Picha: Rais Samia ashiriki mazishi ya kitaifa ya Dkt. Hage Geingob

    Habari picha zikimuonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan alipohudhuria mazishi ya kitaifa ya aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Namibia Hayati Dkt. Hage Geingob yaliyofanyika leo, Jumamosi Februari 24.2024 kwenye uwanja wa michezo wa Uhuru uliopo jijini Windhoek...
  16. Rais Samia atua Namibia kumzika Hayati Dkt. Geingob

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo, Ijumaa Februari 23.2024 amewasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako ulioko jijini Windhoek, nchini Namibia kwa ajili ya kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa Rais wa Namibia Hayati Dkt. Hage Geingob Shughuli...
  17. A

    Nangolo Mbumba is sworn in as interim president following the death of Hage Geingob, in Windhoek, Namibia, February 4 2024. Vows to tackle corruption

    Mbumba’s proposal is good for Namibia’s economy Nangolo Mbumba is sworn in as interim president following the death of Hage Geingob, in Windhoek, Namibia, February 4 2024. Image: SHARON KAVHU/ REUTERS There is a new Sheriff in Namibia. Like a new broom, he wants to sweep clean. The new...
  18. Kibonzo: Posho ya kuhudhuria msiba Namibia

    Upigaji kila fursa
  19. Kuna cha kujifunza katika katiba ya Namibia hasa kipengere cha Rais, kimekaa kizalendo zaidi

    Habari JF , baada ya kupata taarifa za kicho cha Rais wa Nambia Hage Geingob ,82 kwa masikitiko makubwa nliamua kupitia kipengere cha urais katika katiba yao. Kwa kifupi uchanguzi wa haraka hautafanyika sababu ndani ya Mwaka mmoja kuna uchaguzi mkuu lakini ingekuwa kama ilivyotokea kwa JPM...
  20. TANZIA Rais wa Namibia, Hage Geingob afariki Dunia

    Namibia imempoteza Rais wake, Hage Geingob ambaye amefariki Dunia wakati akiendelea na matibabu ya Saratani hospitalini katika Mji Mkuu wa Nchi hiyo, Windhoek. Taarifa ya Makamu wa Rais wa Namibia, Nangolo Mbumba imeeleza kuwa msiba huo umetokea usiku wa kuamkia leo Februari 4, 2024. Geingob...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…