namibia

Namibia ( (listen), ), officially the Republic of Namibia, is a country in Southern Africa. Its western border is the Atlantic Ocean; it shares land borders with Zambia and Angola to the north, Botswana to the east and South Africa to the south and east. Although it does not border Zimbabwe, less than 200 metres of the Zambezi River separates the two countries. Namibia gained independence from South Africa on 21 March 1990, following the Namibian War of Independence. Its capital and largest city is Windhoek, and it is a member state of the United Nations (UN), the Southern African Development Community (SADC), the African Union (AU), and the Commonwealth of Nations.
Namibia, the driest country in Sub-Saharan Africa, was inhabited since early times by the San, Damara and Nama people. Around the 14th century, immigrating Bantu peoples arrived as part of the Bantu expansion. Since then, the Bantu groups, the largest being the Ovambo, have dominated the population of the country; since the late 19th century, they have constituted a majority.
In 1878, the Cape of Good Hope, then a British colony, annexed the port of Walvis Bay and the offshore Penguin Islands; these became an integral part of the new Union of South Africa at its creation in 1910. In 1884 the German Empire established rule over most of the territory, forming a colony known as German South West Africa. It developed farming and infrastructure. Between 1904 and 1908 it perpetrated a genocide against the Herero and Nama people. German rule ended in 1915 with a defeat by South African forces. In 1920, after the end of World War I, the League of Nations mandated the administration of the colony to South Africa. It imposed its laws, including racial classifications and rules. From 1948, with the National Party elected to power, South Africa applied apartheid also to what was then known as South West Africa.
In the later 20th century, uprisings and demands for political representation by native African political activists seeking independence resulted in the UN assuming direct responsibility over the territory in 1966, but South Africa maintained de facto rule. In 1973 the UN recognised the South West Africa People's Organisation (SWAPO) as the official representative of the Namibian people; the party is dominated by the Aawambo, who are a large plurality in the territory. Following continued guerrilla warfare, South Africa installed an interim administration in Namibia in 1985. Namibia obtained full independence from South Africa in 1990. However, Walvis Bay and the Penguin Islands remained under South African control until 1994.
Namibia has a population of 2.6 million people and a stable multi-party parliamentary democracy. Agriculture, herding, tourism and the mining industry – including mining for gem diamonds, uranium, gold, silver, and base metals – form the basis of its economy. The large, arid Namib Desert has resulted in Namibia being overall one of the least densely populated countries in the world.

View More On Wikipedia.org
  1. BARD AI

    Rais wa Namibia kuanza Matibabu ya Saratani nchini Marekani

    NAMIBIA: Rais Hage Geingob anatarajia kuanza Matibabu ya Saratani nchini Marekani ikiwa ni siku chache tangu Serikali ithibitishe kuwa Uchunguzi wa Kiafya umebaini Kiongozi huyo ana Ugonjwa wa Saratani. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Rais, Ikulu, imesema kwa sasa, shughuli zote...
  2. T

    Rais wa Namibia apata saratani, anakwenda USA kutibiwa

    Siku Waafrika wakisema tunapinga na kulaani, na ni mtindio wa akili kukubali mtu mwenye dhamana ya kukuletea huduma ya afya eti yeye ndio anasafiri kupata huduma ambazo sisi hatuzipati, tena anaenda kwa gharama zetu, siku hiyo ikifika ndio haya yatakwisha. Kwa saab, kiongozi anakosaje...
  3. BARD AI

    Namibia: Serikali yaweka wazi kuwa Rais Hage amekutwa na Ugonjwa wa Saratani

    Serikali imeweka wazi taarifa za vipimo vya Afya vya Rais Hage Geingob (82) na kuueleza Umma kuwa kiongozi huyo amekutwa na Ugonjwa wa Saratani na anatarajiwa kuanza matibabu kama ambavyo Madaktari wake walivyoelekeza. Taarifa ya Serikali imesema Rais huyo amekuwa akifanya vipimo vya afya mara...
  4. M

    Kijana wa kiherero alivyowatembezea mkono Vasco Da Gama kwenye pwani ya Namibia karne ya 14

    Mzuka wanajamvi! Kati ya makabila yanayopenda na kuthamini Ng'ombe kupindukia ni Herero Namibia, Fulani (Nigeria, Niger, Guinea, Mali, CAR na western Sudan, Maasai, Sukuma na Tutsi. Vasco Da Gama aliandika walipokaribia pwani ya Namibia wakitokea Goa India baada ya kutafuta trade route ya...
  5. BARD AI

    Mwaka 2019, DP World iliripotiwa kutumia Rushwa ili kupata Udhibiti wa Bandari ya Walvis Namibia

    Mnamo mwaka wa 2019, DP World, mwendeshaji wa bandari inayomilikiwa na Dubai, chini ya uangalizi wa Sultan Bin Sulayem, kwa msaada kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa zamani wa Uchukuzi, Willem Goeimann alipanga mpango wa kupata udhibiti wa kituo kipya cha kontena cha Walvis Bay kilichojengwa cha...
  6. Venus Star

    Ukatili uliofanywa na wajerumani katika nchi yetu na Namibia dunia haisemi

    Za mchana wana JF. Natumaini mu wazima wa afya. Leo nataka kuongelea ukatili uliofanywa na wajerumani katika nchi yetu ni wakutisha sana. Historia ya ukatili huo imefichwa watu wachache wanaoujua ukweli wamezeeka sasa. Historia hii inapotea. Wajerumani kuua watawala Wajerumani waliwachinja...
  7. benzemah

    Picha ya Kimkakati: Rais Samia na Watoto wa Kitanzania nchini Namibia

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alirejea nchini jana kutoka nchini Namibia. Akiwa nchini humo baada ya kuhitimisha Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Troika Jijini Windhoek nchini Namibia, alipata...
  8. benzemah

    Rais Samia Ziarani Namibia

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hosea Kutako, Windhoek nchini Namibia kwa ajili ya Mkutano wa dharura wa Troika plus wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zinazochangia...
  9. Stephano Mgendanyi

    Naibu Waziri Byabato Ashiriki Mkutano wa Nishati Nchini Namibia

    NAIBU WAZIRI BYABATO ASHIRIKI MKUTANO WA NISHATI NCHINI NAMIBIA Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato ameshiriki Mkutano wa Tatu wa Ushirikiano kati Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Namibia uliofanyika Jijini Windhoek, Namibia tarehe 10 Machi 2023. Pamoja na mambo...
  10. benzemah

    Maktaba ya Kiswahili Ubalozi wa Tanzania nchini Namibia ni hatua ya kupongezwa

    Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imetoa taarifa ya kufunguliwa rasmi ofisi za Ubalozi wa Tanzania Jijini Windhoek, nchini Namibia. Lililonivutia katika hatua hii muhimu katika kuimarisha uhusiano wa kidiplomasiani ni uamuzi wa ubalozi kufungua maktaba ndogo yenye...
  11. BARD AI

    Jill Biden, mke wa Rais wa Marekani kutua Namibia na Kenya leo

    Kwa mujibu wa Taarifa ya Ikulu ya #WhiteHouse, ziara hiyo inayoanza leo Februari 22, 2023 inalenga kuimarisha uhusiano kati ya #Afrika na #Marekani, kuangalia hali ya Usalama wa Chakula na Uwezeshaji wa Wanawake. Hii itakuwa ziara ya 6 kwa #JillBiden kufika Afrika ambapo ziara 5 alikuja wakati...
  12. A

    Tembo 170 kupigwa mnada Namibia

    Tembo 170 watapigwa mnada nchini Namibia kwa kile kilichobainishwa kuwa ni adha ya kuongezeka kwa ukame huku kukishuhudiwa ongezeko kubwa la tembo nchini humo. Hii sio mara ya kwanza Namibia inauza wanyama kwa mnada, ambapo msimu wa kiangazi inaelezwa kuwa kunatokea mgogoro kati ya wanyama na...
  13. TODAYS

    Afrika Mashariki kila siku vikao, wenzenu Namibia na Botswana wameruka, sasa ni vitambulisho siyo pasipoti!

    Nchi wanachama wa Afrika mashariki zikiwa ni tatu Kenya, Uganda na Tanzania zimekuwa zikijikongoja kuuganya muungano kuwa mwepesi kwa raia wake hata kwa muingiliano siyo issue ya kazi but mpaka leo tukiwa na utitiri wa nchi ndiyo balaa linaongezeka. Seŕikali za Namibia na Botswana zimekubali...
  14. MSAGA SUMU

    Kenya wamefungwa kwa taabu Sana 36 - 0 na Namibia

    Kwenye mchezo wa rugby timu ya taifa ya Kenya imepigwa kwa taabu Sana goli 36 kwa bila na timu ya taifa ya Namibia. Ikumbukwe kuwa timu ya Namibia huwa Ni utopolo kwa timu ya Tanzania, ambapo mechi ya mwisho kukutana Namibia alilala goli 32.
  15. L

    Ujerumani kusafirisha mikusanyiko 23 ya sanaa kwenda Namibia

    Huko Berlin, mji mkuu wa Ujerumani, mkuu wa Wakfu wa Urithi wa Prussian Bw. Hermann Parzinger, na Esther Moombolah wa Makumbusho ya Kitaifa ya Namibia walionyesha sehemu ya mkusanyiko wa sanaa za Namibia kutoka Jumba la Makumbusho la Berlin, 23 kati yao itasafirishwa kwenda Namibia.
  16. Analogia Malenga

    Namibia: Wanafunzi waliokuwa wanasoma Ukraine watakiwa kujiunga na vyuo vya nchini kwao

    Wanafunzi 23 wamefanikiwa kurejeshwa #Namibia kutoka #Ukraine. Wizara ya Elimu imewataka wanafunzi hao kujiunga na vyuo vya nchini kwao ili kuendelea na masomo. CNN imeripoti wanafunzi takribani 13,000 wa Ghana, Somalia na Nigeria ambao wamekwama mjini Sumy na hawana chakula wala fedha kwa kuwa...
  17. Analogia Malenga

    Mwakinyo amshinda Mnamibia, Tony Rashid apoteza mkanda kwa Msauzi

    Hassan Mwakinyo Vs Julius Indongo Rounds: 12 Winner: Mwakinyo kwa KO Title: African Boxing Union Super Welter Stay there! Matokeo yatawekwa yote ya mapambano ya utangulizi hadi main card Pambano la kwanza la utangulizi Fighters: Kazumba Vs Ayoub Athuman Rounds: 6 Winner: Ayoub Athuman kwa KO...
  18. poposindege

    Septemba 03, 2021, Bondia Hassan Mwakinyo anataraji kupambana na Bondia kutoka Namibia Julius Munyelele Indongo

    Septemba 03, 2021, Bondia Hassan Mwakinyo anataraji kupambana na Bondia kutoka Namibia Julius Munyelele Indongo mwenye umri wa miaka 38 katika pambano la kugombea mkanda wa ABU (African Boxing Union) uzito wa Super Welter katika ukumbi wa Kilimanjaro Hall, Ubungo Plaza, Dar-Es-Salaam. Rekodi ya...
  19. beth

    #COVID19 Upungufu wa Chanjo wapelekea Serikali ya Namibia kusitisha utoaji wa dozi ya pili

    Nchi hiyo imeacha kutoa Dozi ya pili ya Chanjo dhidi ya Ugonjwa wa COVID-19 ili kutoa kipaumbele kwa wale ambao bado hawajapata Dozi ya kwanza. Kutokana na upungufu, Serikali imesema itagawa Chanjo zilizobaki katika maeneo ambayo yameripoti ongezeko la maambukizi na vifo, na ambao wanasubiri...
  20. beth

    #COVID19 COVID-19: Mji Mkuu wa Namibia, Windhoek wawekwa Lockdown kwa wiki mbili

    Mji Mkuu wa Nchi hiyo, Windhoek umewekwa Lockdown kwa wiki 2 ambapo wananchi hawatoruhusiwa kuingia au kutoka kufuatia ongezeko la maambukizi na vifo vya COVID19 Mbali na hayo, mauzo ya pombe nayo yamedhibitiwa kuanzia Jumatatu hadi Jumamosi ambapo zitauzwa kwa mfumo wa 'take-away'. Viongozi...
Back
Top Bottom