Nawapenda sana na nawatakieni jioni njema wadada wa Jamiiforums mtag mdada unaempenda na unae mkubali sana mimi nawakubali hawa👇👇 FaizaFoxy
Kasie
Dr Lizzy
Depal dada yangu
Jadda
Kalpana
Unique Flower
Heaven Sent
Mamndenyi
lara 1
miss Gf
Caroline Danzi
AshaDii
Antonnia
cocochanel
miss chagga
Kuna mwanamke fulani nilimkuta baa fulani analewa nikaona acha nijisogeze, kweli nikafanikiwa kukaa naye hakuniringi.
Alikuwa analewa huku analia nikamuuliza Mbona unalia akagoma kuniambia ila baada ya kumbembeleza ili anijuze Sababu za Yeye kulia akaniambia ataniambia.
Muda ulikwenda na...
Mimi ni kijana mwenye miaka 28 Nina kil0 97. Sijivunii kuwa na kil0 nyingi hivi ila napamba kuzipunguza ila na0na kama zinazidi.
Kwenye Uandishi wangu Badala ya O naweka 0 hiv0 mnivumilie msinitukane wajuaji kama siku z0te.
Ip0 hivi, Nimeishi na huyu mwanamke wa kirangi Yapata sasa miezi 8 Na...
Sisi sio mafala ila bado wanaumee wanaona hiivyoo.
Mi nampenda Mungu tu .
Ila Kuna mtu anaringa sana eti Kisa anamashangazi plus mke ila yote life na kitambii changu,
Ngoja mjerumani wangu aje nitatolewa tu mpenzi halafu tuone kama hutonimiss .
Mume wangu mwingine yupo tu,good day endelea...
Nianze kwa kuelezea hisia zangu kwake. Nampenda sana huyu bidada. Kila ninapoisikia sauti yake ikichomoza kwa vyombo huwa najihisi faraja sana. Nasisimka akili mpaka moyo. Hajawahi kukosea kwa kweli
Lady Jay Dee, kama ningekuwa na pesa kipindi kile ningekutafuta nikuoe kabisaaa, nikuweke ndani...
Tujifunzage kuwa unachoona huwezi kukiacha kutokana na mapenzi basi usikibugudhi au kukichunguza
Kwenye maisha yangu nimedate na wanawake lkn most of them wamenizidi umri one or two years
Kuna huyu mmoja jamani alinikuta nipo na mchumba wangu ila nilimkataa yule kuwa naye nilimpenda kuliko...
Pamoja na kuwa katika dunia ya sasa imekuwa vigumu saana kumpata mwanamke au mwanaume ambaye anatambua nafasi yake vizuri, yaani kama ni mwanamke anajua mwanaume na mwanamke hawako sawa, kama walivyo kuwa mama zetu wa zamani.
Lakini kuna mwanamke nimempata nilimtongoza kwa nia ya kutaka kula...
Naweza kusema dhambi UASHERATI ndiyo itakayonifikisha motoni. Zingine naweza kuzishinda. Nikiona tu Yale makalio yanavyotikisika nahama Chanel.
Nimejitahidi kujikana nafsi yangu na kutumia mbinu mbalimbali kuutiisha mwili wangu lakini ni kama tu najaza maji kwenye chujio.
Nilifanya maombi ya...
Heri ya mwaka mpya wana JF
Kwanza naomba nikiri mimi siyo chawa na siamini kwenye uchawa. Pili mapenzi yangu kwa huyu mama si ya kimahaba au kingono, bali navutiwa na jinsi alivyo nyanyuliwa na utendaji wake.
Sababu zangu:
Kwanza, huyu mama ni chaguo la Mungu. Hakuwahi utaka uraisi, bali...
Tuko mbali mikoa tofauti, hapa kisanga ndipo kinakuja. Anapenda kupiga piga simu mara kwa mara, sasa mara nyingi najikuta namkatiza ilee.. "Samahani ngoja nitakupigia baadae kidogo".
Kiukweli muda huo unakuta shughuli imenitinga na ukizingatia aina ya shughuli zangu haziruhusu sana kuongea kwa...
Gigy kipenzi nicheki kwenye email stefanokiva@gmail.com
I need to meet you in private
Nicheki in private my email is stefanokiva@gmail.com
Just send me contact
Kuna kadada furani kana soma Saut hapa mwanza nakapenda sana nanimeshawahi kukambia ila akatoi majibu zaid ya kukaa kimya basi.
Tumeishi maisha hayo ila kakikukumbuka kana kutexts mnasalimiana vizuri ila ukikakumbusha tu kana kaa kimya ata wiki ata mwez mzima Sasa jumapili kalinisalimia...
Nampenda sana Bahame.
Nime mfollow sana maeneo mengi. Ana mwanae nahisi ama anasoma Kusini au wanaishi wote somewhere in the South.
Dunia ina balance pale kila mmoja akabalansisha mambo...langu mie I love you Sylvia Bahame.
Habari Wana JF,
Mimi ni kijana wa miaka 24 Kiukweli nashindwa Kumdanganya Mwanamke nina mapenzi ya dhati kwa mtu ninaempenda kweli. Ni mara ya pili naingia kwenye Mausiano baada ya nilie kuwanae kuniwekea masharti kwenye chakula cha mwili baada ya kumvumilia kwa miezi tisa.
Kazi ipo kwa...
Naomba wale wenye uzoefu wa kuwa kwenye mahusiano na wanawake wenye ugonjwa wa kunuka kikwapa wanisaidie mbinu walizotumia kumsaidia mwanamke wa namna hii. Nina demu wangu kiukweli nampenda na hatuna kabisa mgongano wowote tumekuwa tunaelewana.
Shida yake ni harufu ya kwapa, hiki kitu kimekuwa...
Naombeni ushauri,
Mimi ni msichana wa miaka 24, nina mchumba ana miaka 29, tatizo langu ni kwamba mchumba wangu nimekuja kugundua ni muongo sana na mpaka kumgundua uwe na akili ya ziada kabisa, nimekuja kumgundua nimeshampenda tayr, na nisingekuwa nakaa naye pamoja hakika nisingemkamata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.