Mwamba hatunaye tena.
Alikuwa na miaka 60.
Masikitiko makubwa.
Rais wa Argentina katangaza siku 3 za maombolezo.
-----
Wasifu Wa Hayati Maradona
-----
Mmoja wa wachezaji waliobarikiwa, Argentina ilijivunia kipaji cha kipekee, madoido ya ajabu akiwa uwanjani, maono na kasi vilivyovutia...