natafuta mke

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mhuri25

    Natafuta mke awe mwalimu

    Hello Wanabodi mimi ni Kijana nipo tu nafanya ujasiriamali mdogomdogo kiasi sikosi hela ya kulipa Pango na Kula Napenda kutafuta Mke awe Mwalimu wa Daraja lolote lile asizidi miaka 25, asiwe mweusi, wala mnene sana, Mkristo itakuwa vizuri hata akiwa Dini nyingine sawa ila akubali kuolewa na...
  2. fh kwenye beat

    Natafuta mke wa kuoa

    Natafuta mwanamke aliye serious kuolewa mwaka huu Niko na miaka 30 Mkristo Aliye tayari tuwasiliane
  3. OKW BOBAN SUNZU

    Natafuta mke wa kuoa kabisa

    Sifa zangu: Umri wangu ni kijana Ni mwajiriwa na mfanyabiashara Kigezo cha mwanamke Awe na kitu cha kuofa kwangu mbali na kunivulia nguo ya ndani
  4. H

    Natafuta mke wa pili

    Nahitaji kuoa mke wa pili awe na sifa zifuatazo:- Dini yoyote ila watoto wangu watakuwa wakristo Umri kati ya miaka 25 hadi 35 Awe mwajiriwa. Awe tayari kuwa mke. Akiwa na mtoto mmoja tayari hakuna shida. Asiwe mgomvi wala mchokozi wala kupenda ugomvi. Asiwe mtu wa kuchukua mikopo pasipo...
  5. M

    Natafuta Mke

    Natafuta mke , Naitwa jose nina miaka 27 natafuta mke mweny miaka kuanzia 20-25
  6. A

    Natafuta mke wa kuoa

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29 Naishi Morogoro Dini mkristo Kazi ni mwalimu Mke awe na sifa hizi; Mrefu kiasi Awe na kazi sio golikipa Miaka 20_27 Awe na tabia njema Ukiwa na sifa hizo please nicheki PM
  7. C

    Nahitaji mchumba (Mke)

    Habari, jina langu halisi ni Baraka, nina miaka 39. Kwa sasa, niko katika hali ngumu maishani. Sina makazi wala mali, na bado najitahidi kujenga maisha yangu upya. Hata hivyo, nina imani kwamba hali yangu itabadilika kwa wakati na mimi nitakuwa sawa baada ya muda. Natafuta mwanamke mwenye moyo...
  8. MamaSamia2025

    Natafuta mke mwenye sifa hii muhimu

    Umri kuanzia miaka 22. Elimu form four na kuendelea. MUHIMU awe ana uzoefu wa kulima kwa jembe la plau linalovutwa na ng'ombe. Angalia picha kwa ufafanuzi zaidi.
  9. M

    Mimi ni Mwanaume wa miaka 27, natafuta mke wa kuoa

    Mimi ni Mwanaume wa miaka 27 , Dini yangu , ni mkristo. naishi DAR kazi yangu ni muajiliwa elimu yangu ni DIPLOMA. Natafuta mke mwenye SIFA zifuatazo , *awe mkristo *Awe anaishi dar *awe ameajiliwa au anafanya biashara awe na miaka kwanzia 20 adi 26. *ALIYE TAYALI NA MWENYE SIFA HIZO...
  10. M

    NATAFUTA MKE WA KUOA AWE NA SIFA HIZI .

    Mimi ni Mwanaume wa miaka 27 , Dini yangu , ni mkristo. naishi DAR kazi yangu ni muajiliwa elimu yangu ni DIPLOMA. Natafuta mke mwenye SIFA zifuatazo , *awe mkristo *Awe anaishi dar *awe ameajiliwa au anafanya biashara awe na miaka kwanzia 20 adi 26. *ALIYE TAYALI NA MWENYE SIFA HIZO...
  11. V

    Natafuta Mke wa kuoa

    Habari wana JF, Natumai mpo salama na mnaendelea vizuri na majukumu yenu, Nipo hapa kutafuta mwanamke serious ambae atakuwa mke endapo tutaridhiana, sifa zangu ni zifuatazo; Umri: 30 Elimu: Degree Mahali ninapoishi: kaskazini mwa Tanzania Dini: Mkristo Kazi: muajiriwa serikalini Sina mtoto wala...
  12. L

    Natafuta mke mtu mzima mwenye utayari wa kuolewa

    Good morning every one! Niende kwenye mada moja kwa moja. Dear Wana JF napenda kuwatangazia kwamba natafuta mke mtu mzima mwenye utayari wa kuolewa. My personal details. Jina : Langliguara Jinsia : male Kazi : Mfanyabiashara Elimu : MA Dini : Christian Umri : 38 Ninapoishi : Tanzania Kabila...
  13. Fauya

    Natafuta mpenzi kwa waliopo kigoma

    Habari za mida wapendwa, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 nipo Kigoma mjini natafuta Binti wa umri kati ya 22-25 ambaye badae tukikubalia nitamuoa
  14. E

    Natafuta mke bikra

    Habari za majukumu ndugu zangu wote! Nategemea kuoa mwakani Mungu akijaalia, kutokana na expirence ya mahusiano ya sasa na maisha kwa ujumla Mimi binafsi nimetamani kutaka kuoa mwanamke ambaye ni BIKRA. Nina sababu zangu nyingi saana, awe na age yoyote japo najua Bikra wengi watakuwa range ya...
  15. M

    Natafuta mke wakuoa

    Habari. Umri wangu ni miaka37 natafuta mwanamke wakuoa. Kazi nimejiajiri. Mwanamke ni mtakaye. Awe na umri kuanzia 28 nakuendelea. Awe tayari kuishi popote,Asiwe mrefu Sana,,mwenye upendo wakweli,Dini yeyote. Karibu sana iwapo upo serious tu maana muda ukuta.
  16. steve_shemej

    Ntafuta mke mwema asizidi miaka 33

    Ok
  17. D

    Natafuta mke

    Kama kisemavyo kichwa cha habari natafuta mke awe na sifa zifuatazo Awe na umri miaka 25 mpaka 28 Awe mkristo ila sio msabato Elimu-degree yeyote Akubali kwenda kupima group la damu, hivi na baada ya miezi mitatu tutapima tena hiv bila ya kukutana kimwili Awe anaishi Dar sababu mimi mwenyewe...
  18. A

    Natafuta mke hasa mtu mzima wa kuoa ambae yupo serious

    Jmn natafuta mke
  19. Neverregular

    Natafuta MKE mwenye CPA(T), Doctor of Medicine au HR😎

    Mimi ni kijana wa Umri 25 Yrs Nipo Dar es Salaam Natafuta Mke wa kuoa. Vigezo: ●Awe na CPA(T)au awe Doctor of Medicine(MD) au awe HR🍌 ○Umri 24-48😎 ●Awe na sexy Chocolate (colour)🥵 ○If she's above 30's basi liwe li-shangazi fulani hivi jeupe jeupe!💃 ●lazima awe na Bubbly Ass🍑 ○ kuhusu...
  20. P

    Natafuta mke

    Habari za wakati mabibi na mabwana!! Mimi ni kijana umri wa miaka 30 ,kwa moyo wa dhati na udhubutu naomba kuwafahamisha rasmi kuwa maisha ya ubachela yamenifikia kikomo nahitaji mchumba vigezo, Umri kuanzia 23-25 Elimu, kuanzia kidato Cha nne Hadi diploma Kazi -...
Back
Top Bottom