natafuta mke

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. FourSix

    Natafuta Mke mwenye miaka zaidi ya 30

    Nawasalimu Kwa Jina La Jamhuri Ya Muungano. Nami nitumie Fursa ya Jukwa Hili Kutafuta Nimpendaye, Wasifu Wangu: Elimu Ya Chuo Single Father, Miaka 41 Naishi DSM Mfanyakazi & Biashara Mkristo, KKKT Mfupi Kiasi, Mweusi &Mnene Kiasi. Wasifu Wa Mtarajiwa: Miaka 30 + Kabila Lolote Dini Yoyote...
  2. B

    Natafuta Mke

    SIFA ZANGU Umri 36 Dini: Mkristo Elimu: Shahada ya Uzamili. Ajira: Mwajiliwa wa serikali. Urefu : 172cm SIFA ZA MWANAMKE Umri 30-36 Dini: Yoyote Kabila: Lolote. Elimu: Diploma na kuendelea. Kazi: Yoyote halali. NB: Mimi sina mtoto lakini yeye hata akiwa naye sawa tu.
  3. C

    Natafuta mke

    Nipo kanda ya kati dodoma Umr 27 yrs ☆kazi: mganga njaa, dei waka kiraka a.k.a multipurpose ☆sina nyumba ☆ sina gari ☆elimu la saba Natafta msichana wa kuoa kuanzia miaka 18 up to 30 Ajue anakuja kupambana wote mpka tutoboe If you're interested, karibu inbox tuyajenge
  4. Digital base

    Natafuta mke mkweli na muwazi anayejua kutunza upendo wa mume

    Habari ya leo wakuu,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29 Elimu yangu kidato cha nne Umbo la mwili wangu ni mwembamba na mrefu kiasi. Kabila langu Mnyamwezi naishi Dar. Kazi yangu Mjasiriamali/biashara Dini yangu mkristo. Mke nnaye muhitaji awe mweupe/ maji ya kunde Umri kuanzia miaka 23 Awe...
  5. M

    Natafuta mke wa nne (04) awe na sifa kuu saba (07)

    Habari wana jukwaa. Tayari nina wake watatu (03), wote ni wake wema na wana sifa za msingi kuwa wake bora. Sasa natafuta mke wa nne (04). Huyu namuoa kama sehemu ya kusaidia watu wenye uhitaji maalum kwenye jamii. Muhusika awe na sifa zifuatazo;- 1. Awe mjane (sio aliyepewa talaka), 2. Anaweza...
  6. K

    Natafuta mke wa kuoa

    Natafuta mwanamke aliyetayari kwa marriage si ngono. Sijawahi kuoa ila ninaye mtoto wa kike wa miaka 7. Umri wangu miaka 39. Mbali na tabia njema, pia ninavutiwa na mwanamke maji ya kunde, mrefu wa kawaida, asiwe na asili ya unene maana mi ni mwembamba. Awe mcha Mungu Mkristo wa dhehebu...
  7. M

    Natafuta mwanamke wa kuoa

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31. Elimu yangu ni bachelors degree. Ni mwajiriwa na nimejiajiri pia. Dini yangu ni Mkristo. Nahitaji mke mwenye umri wa miaka 20-32. Dini awe mkristo
  8. S

    Natafuta mke

    Natafuta mke Sifa za muhitaji .Mrefu .Mweusi .Diploma ya afya(mwajiriwa gov) .Mwembamba kiasi .Miaka 32 Naishi Dodoma mjin Sifa anayehitajika .Urefu wa wastan .Maji ya kunde au mweupe .Elimu kuanzia std 7 .miaka 26-30
  9. M

    Natafuta mke wa kula naye uzee

    Natafuta mke wa kula naye uzee mwenye sifa hizi: Awe na umri miaka35-47, Awe mkiristo, Ambaye hazai Awe tayari kunilea Wasifu wangu: Nina miaka 64 Nina watoto 6 wa mwisho ana miaka5 Mimi ni mgane, Retired since 2020 January Mjasilia Mali na mkulima wa vitunguu mpunga na mfugaji wa kuku na...
  10. UZZIMMA

    E Mwenyezi Mungu, natumai mke wangu atatokana na uzi huu. Natafuta mke

    Sasa leo ni zamu yangu kutangaza nia ya dhati ya kutafuta mke kupitia JF. Ninachoamini mke wangu huenda akatokea humu au tukaunganishwa na mke wangu mtarajiwa na mtu anayeishi ndani ya jiji la JF. MIMI. Umri 24 Muislam halisi Diploma ya civil engineering. Maji ya kunde Zanzibar Ninayemuhitaji...
  11. waterproof

    Natafuta mke wa kumuoa ili tusaidiane maisha maana ni magumu peke yangu

    Katika vitabu vya dini mbali mbali na misemo ya mababu zetu inasema ya kwamba 1. Mwanaume bila mke hajakamilika 2. Wenye akili wote wameoa 3. Ndoa ni kipimo cha akili n.k Yapo mengi mno ambayo hata Mimi siyafahamu na wewe waweza kuwa unafahamu mengine. Niingie moja kwa moja kwenye pointi ya...
Back
Top Bottom