*Hello Wana JF,
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Natafuta mke wa kuoa, Ni mwanaume mwenye umri 37, dini mkristu, nimejiajiri, sina mtoto, situmii kilevi chochote,Ila nimpambanaji
Sifa ya mke ninaye mtaka.
~ Awe na umri 28-30.
~ Elimu siyo kipaumbele changu.
~ Dini yeyote
~ Kabila...
Ndugu wana JF napenda kuwasalimu kwa jina la bwana wetu Yesu Kristo.
Napenda kuwatangazia kwamba natafuta mke, tangazo hili nimelileta hapa jukwaani kwa sababu jukwaa hili ni meeting point ya watu wenye rika na jinsia tofauti kutoka katika jamii mbali mbali.
Nimetumia muda wangu mwingi...
Nahitaji Mke
Sifa awe na degree ya pharmacy
Awe na umri wa kuanzia 30 – 37
Akiwa Muislam itakuwa poa zaidi
Awe anajitambua
Nimeweka hiyo sifa kwa kuwa natamani ahudumie watu upande huo hivyo nitamwezesha kutimiza hiyo ndoto
Mengine tutaongea DM.
Mimi ni mwanaume mwenye miaka 31, mkazi wa Dar es Saalam, Mkristo, nnaejishughulisha.
Elimu niliyonayo ni kubwa, urefu wangu ni 6'1 mrefu fulani hivi, maji ya kunde, sina mtoto wala sijawai kuoa.
Natafuta mke wa kuoa, mwenye sifa zifuatazo;
~ Umri miaka 25 kushuka chini
~ Mweupe
~ Elimu yoyote...
Natafuta mke wakuoa, mwenye sifa hizi
Umri-25-40
Dini -yeyote
Kabila -lolote
Kazi- yeyote
Sifa zangu ni
Umri-34-37
Dini -mkristo
Kazi-nimeajiriwa/kujiajiri
Mwenye utayari anitafute kwa namba mke mtarajiwa awe na hofu ya Mungu. Pia awe anajitambua na anajua anachofanya .
Hello Wana JF,
Natafuta mke wa kuoa, umri wangu ni 37, dini mkristu, kazi nimeajiriwa, sina mtoto, situmii kilevi chochote, elimu yangu ni chuo kikuu.
Sifa ya Eva ninaye mtaka;
~ Awe na umri 28-35.
~ Elimu siyo kipaumbele changu.
~ Dini yeyote
~ Kabila lolote.
~ Akiwa na mtoto haina shida...
Natafuta mchumba atakaye kuwa mke wangu.
1. Awe ana hofu ya Mungu.
2. Elimu atleast form 6 (hata ukiwa na PhD).
3. Awe na akili za maisha na shughuli ya kumuingizia kipato.
4. Awe na shape/figure.
5. Asiwe na mtoto.
Age (25-32)
Mimi nina miaka 33, nina kazi yangu nzuri tu ya kukutimizia...
Mwadila
Wakuu nipo hapa uwanja wa fisi hapa manzese kutokea jana usiku saa nne kamili mpaka mida hii nikitafuta mke wa kumuoa hawa machangudoa.
Kuna mdau wangu mmoja aliwahi niambia eti machangaduo ukiwaoa wanatulia kwenye ndoa sana kwasababu yeye ameoa changudoa tena amemtoa pale mwananyamala...
Salaam,
Natafuta rafiki ambaye ataenda kuwa mke wangu. Nina miaka 34, ni mkazi wa Arusha, awe na miaka kuanzia 25 mpaka 32, Mkristo, kabila lolote.
Kwa aliyetayari na mhitaji karibu PM kwa mawasiliano zaidi.
Asante.
Habari Wana JF.
Naitwa parson,
Nina umri wa miaka 35,
pombe na sigara situmii,
Kazi mjasiriamali (mdogomdogo) mwenye malengo makubwa.
Sifa ya mke nimtakaye.
Umri kuanzia 30-36
Kabila -lolote
Dini- yeyote
Rangi -Natural (asiwe wadukani)
Elimu- kuanzia kidato Cha nne mpaka chuo kikuu.
N:B Eva...
Habari zenu wakuu?
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza natafuta mke wa kuoa awe serious na maisha umri miaka 24_30 kabila lolote ili mradi awe mtanzania dini sichagui wala rangi sijui sura mimi sichagui.
Najua kuna wanawake wangependa kujua kipato changu mimi kwa sasa nabangaiza...
Hbr Jf,
Natafuta binti mrembo wa kuoa, awe na sifa zifuatazo:
Awe ameamua kutulia na kuanzisha familia
Awe mrembo wa sura
Asiwe mlevi
Umri usizidi miaka 28
Elimu ya chuo na kuendelea
Asiwe na mtoto
Sifa zangu:
Mkristo
Nina umri wa miaka 35
Situmii kilevi chochote
Nimeajiriwa, kipato cha...
Baada ya kumaliza chuo vipaumbele vyangu vilikuwa ni fedha na mali bahati nzuri nimetafuta na nimezipata kwa sasa nina uwezo wa kutunza familia kwa asilimia mia moja hivyo
Napenda kuwatangazia wasichana wenye uhitaji wa kuolewa kwamba natafuta mke naomba tuwasiliane ili tukikubaliana na...
Habari zenu ndugu,
Mimi mwanaume wa miaka 33 natafuta mwanamke wa kuoa .
Sifa za mwanamke/ mchumba nimtakaye
Awe muislam na mwenye hofu ya Mungu
Awe na miaka kuanzia 20 na kuendelea hadi miaka 30 iwe mwisho
Awe anajitambua
Awe na elimu angalau Diploma na kuendelea
Mwisho awe tayari kuolewa...
Habari ya leo wakuu,
Natumia nyote mnaendelea vizuri kabisa
Kama nilivo andika katika kichwa Cha habari kuwa natafuta Mke Wa kuoa aliye siriasi na ambaye yuko tayari kuanza mahusiano ya ndoa
Mimi ni kijana wa miaka 30
Shughuri yangu mjasiriamali
Elimu yangu kidato Cha nne
Muonekano wangu...
Kuhusu Mimi,
Miaka 36
Mkristo
Mwajiriwa wa serikali
Shahada ya uzamili
Urefu 175cm,
Uzito 66Kg
Ninaye mtafuta
-Umri 28 mpaka 38
-Dini yoyote lakini awe tayari kuwa mkristo.
-Akiwa na mtoto siyo mbaya .
Ninajitokeza hapa nina nia ya dhati na kweli kutoka moyoni nimejitokeza hapa natafuta mke wa maisha mwenye HIV Positive, siitaji mpenzi naitaji mke!
Napatikana Dar es Salaam, nina miaka 52, maji ya kunde, urefu futi tano inchi saba, slim body.
Mke ninayemuitaji awe HIV Positive! Awe mweupe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.