nawaza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    Naombeni tiba ya kisaikolojia: Mwenzenu nikipanda ndege huwa nawaza hatari tupu

    Samahani kwa nitakaowakwaza kwa ushamba wangu! Mwenzenu nikipanda ndege ikiwa angani huwa naogopa ile mbaya, Hususani nikichungulia dirishani ndo kabisaa! Vikianza Vile vihudumu vinapoelezea kuhusu maparachuti fastafasta tena kwa kingereza ....ladies and gentleman..... Huwa nasema huyu anasema...
  2. Nyendo

    Nawaza kuleta Friday talk show

    Habari wana MMU, Nitakua naweka mada kila Ijumaa zinazohusu mambo mbalimnali kama wanawake, watoto, mahusiano nk. Lengo la mada hizi ni kutoa elimu kwa jamii. Mada hizo zitakuwa zinawasilishwa mapema na Mjadala utaanza saa sita mchana. Mimi ninaomba Moderators watusaidie kuongoza mjadala huu...
Back
Top Bottom