nbc premier league

The Premier League on NBC and Premier League on NBCSN is the blanket title for broadcasts of the Premier League by the networks of NBC Sports. NBC acquired rights to the Premier League in 2013, and reached a six-year extension in 2015.

View More On Wikipedia.org
  1. Expensive life

    Vita ya kuwania nafasi ya pili Yanga , Azam, Singida Nbc premier league si ya kitoto

    Ndugu wana michezo wenzangu, kuna kivumbi cha kukata na shoka kuwania nafasi ya pili nbc premier league, baina ya vilabu vitatu vidogo nchini. Embu cheki msimamo hapo chini kisha tupia comment yako ni nani atamaliza nafasi pili kati ya hivyo vilabu vitatu.
  2. Greatest Of All Time

    FT: Pamba Jiji 0 - 1 Simba SC | NBC Premier League | CCM Kirumba Stadium | 22.11.2024

    Vinara wa Ligi Kuu ya NBC Mnyama Mkubwa Mwituni, Simba Sports leo watashuka dimbani kupambana dhidi ya wenyeji wao Pamba Jiji katika mchezo utakaopigwa katika dimba la CCM Kirumba huko jijini Mwanza. Pamba Jiji ataweza kumzuia mnyama? Je, Simba ataweza kuendeleza wimbi la ushindi? Wana Simba...
  3. Crocodiletooth

    Upangaji wa mizunguko ya timu kucheza umulikwe na upangwe katika mtindo ambao utapumzisha wachezaji wetu

    "Timu yangu ina uchovu, tumecheza mech sita ndani va Siku ishirini" "Kila kitu leo kilikwenda vibaya, tumepata jeraha dakika ya nane, Musonda amepoteza nafasi ya wazi, tumepoteza penati wao wamefunga, wame shambulia mara mbili wakafunga,sisi tumeshambulia ×20 hatukufunga, siwezi kupeleka lawama...
  4. B

    Sisi kama SIMBA SC, kwa umoja wetu tumekubaliana kwamba TABORA UNITED ndio wakubwa wenzetu kwenye NBC premier league.

    Kwa kitendo chao cha kumkanda utopolo kwake tena dar es salaam kwenye uwanja wa kapeti wakiwa na mashabiki wao na wachezaji wao wote muhimu, tunasemaje Tabora United mnastahili heshima ya kuitwa timu kubwa hapa Tanzania. Tukumbuke timu kubwa hapa Tanzania zilikuwa ni mbili tu: Simba SC na Ihefu...
  5. Mkalukungone mwamba

    Full Time: Yanga SC 1 - 3 Tabora United | NBC Premier League | Azam Complex | November 7,024

    Mechi: Yanga SC VS Tabora United Ligi: NBC Premier League Uwanja: Azam Complex Tarehe: November 7,024 Muda: 🕖 6:00PM Dakika, 11 Si Yanga wala Tabora hakuna timu iliyopata goli hadi sasa. Dakika, 15 Mchezo umendelea kuwa mzuri timu zote zinacheza kwa utulivu sana. Dakika, 19 Tabora...
  6. Thabit Madai

    Kesho Yanga hapiti mlango wa nyuma

    Yanga sio timu kubwa bali ni timu kongwe, Sisi na Yanga hatutofautiani kwakuwa wao wanalala kwenye hotel ya nyota 5 na sisi tunalala hotel ya Nyota 5, Sisi tuna Bus kubwa kuliko wao kwahiyo sisi hatuwatazami Yanga kama timu inayotuzidi sana. Yanga ni wabinafsi sana na wanataka kushinda kila...
  7. Mkalukungone mwamba

    Full Time: Simba SC 4 - 0 KMC | NBC Premier League| KMC Complex | November 6, 2024

    Mnyama Simba SC baada ya kupata ushindi mechi iliyopita ugenini mkoani Kigoma, anarudi nyumbani ambapo kesho Jumatano atakuwa KMC Complex akiwakaribisha KMC FC Mechi hii itapigwa kuanzia saa 10:00 jioni na kuruka mbashara.
  8. GENTAMYCINE

    Yaani bora kidooogo uwaamini Singida Black Stars FC ikicheza na Yanga SC kuliko Wanafiki wa leo Azam FC

    Tegemeeni kumuona Afisa Habari mwana Yanga SC lia lia Hashim Ibwe akizuga Kulia, kulalamikia Mwamuzi na Kuumia kwa Kipigo watakachokipata kutoka kwa Yanga SC leo jioni / usiku huku Moyoni mwake na Rohoni kwake Akifurahia hakuna mfano. Wale wana Simba SC Wenzangu hapa JamiiForums mnaodhani Azam...
  9. Vincenzo Jr

    FT: Young Africans SC 0 - 1 Azam FC | NBC Premier League | Azam Complex |02.11.2024

    ⚽️ Young Africans SC🆚Azam FC 📆 02.11.2024 🏟 Azam Complex 🕖 12:00 Jioni Kikosi kinachoanza dhidi ya Azam FC Mpira umeanza Dakika ya 3 Yanga SC wanashambulia kwa kasi Dakika ya 5 Dube anakosa nafasi ya wazi Dakika ya 14 Max anafanyiwa madhambi Dakika ya 17 Aziz k anakosa nafasi ya wazi...
  10. Dabil

    Kocha Miguel Gamond hafurahishwi Azam Complex kuwa uwanja wa nyumbani

    Katika mahojiano na Kocha wa Yanga Miguel Gamondi amekaririwi akisema sifurahishi na uwanja wa Azam Complex kuwa awanja wa nyumbani, "Hata tukiwa Zanzibar nilisema kuwa sifurahishwi na uwanja wa Azam complex,Azam na Yanga ni derby lolote linaweza kutokea". Hata hivyo Yanga walijaribu kuomba...
  11. Mkalukungone mwamba

    Mashujaa 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Lake Tanganyika | 1 November, 2024

    Mashujaa VS Simba SC | NBC Premier League Uwanja wa Lake Tanganyika Tarehe 1 November, 2024
  12. MwananchiOG

    Yanga wanakuacha ukamie, wanakupiga kimoko hao wanasepa na alama zao tatu

    Utulivu, Malengo na Focus za wachezaji wa Yanga ni wa hali ya juu sana. Kuna namna naona hii timu safari hii haijadhamiria sana taji la Ligi (japo hii inatokea tu automatically kutokana na ubora alio nao) Ila malengo hasa ni katika Ligi ya mabingwa barani Afrika. Hii inathibitishwa na aina ya...
  13. Little brain

    Yanga Malizana nao mapema la sivyo dozi inakuhusu

    MALIZANA NAO MAPEMA Ili uwafunge Yanga wafunge mabao zaidi ya moja kipindi cha kwanza, ili wakirudi wawe na mlima wa kusawazisha na kutafuta ushindi...yaan MALIZANA NAO MAPEMA. Half time talk Yanga wanajua namna ya kubadili timu, wanarudi kitofauti sana. Kama ni kupoteza, siku yao ilikuwa...
  14. Vincenzo Jr

    FT: Singida BS 0-1 Young Africans SC | NBC Premier League | New Amaan Complex | 30.10.2024

    ⚽️ Singida BS🆚Young Africans SC 📆 30.10.2024 🏟 New Amaan Complex 🕖 8:30 PM Kikosi kinachoanza dhidi ya Singida Black Stars Sc Mpira umeanza Dakika ya 2 Sbs 0- 0 yng Dakika ya 3 Boka amefanyiwa madhambi Dakika 6 Mabadiliko katoka boka kaingia kibabage Dakika ya 15 Yanga wanafanya...
  15. Teko Modise

    Siku hizi Ligi za Ulaya hazina watazamaji wengi huku kwenye vibanda umiza

    Baada ya Azam tv kuamua kuonyesha kila mechi ya Ligi Kuu ya NBC kwasasa Vibanda umiza vinajaza zaidi mechi za ligi ya NBC kuliko zile za Ulaya. Mechi za Ulaya huko siku hizi hazina watazamaji wengi huku vibandani. Coastal Union vs Yanga inaweza ikajaza ukumbi halafu huku Arsenal Vs Liverpool...
  16. uran

    FT: Simba SC 3-0 Namungo FC | NBC Premier League | KMC Complex | 25.10.2024

    #nguvumoja#... UPDATES... VIKOSI VINAVYOANZA LEO. updates... DK 5' Simba wanapata goli safi la kuongoza kupitia kwa Shomari Kapombe. 1-0 DK 10' Game On Simba wanamiliki ball kwa kasi kali 1-0 DK 14' Simba wanapata free kick nje. kidogo ya lango la Namungo FC. Anaipiga Joshua Mutale...
  17. Mkalukungone mwamba

    Full Time Tanzania Prisons 0 - 1 Simba SC | NBC Premierleague | Sokoine Mbeya | Oktoba 22, 2024

    Baada ya kutoka kuchapika dhidi ya mtani wake leo Simba SC anakibarua kizito mbele ya wanajelajela Tanzania Prisons Tanzania Prisons VS Simba SC | NBC Premierleague | Sokoine Mbeya | Oktoba 22, 2024 4:00 PM Dakika, 5 Simba wanapata goli la kuongoza Dakika,13 Simba wamekuwa na umiliki mzuri...
  18. M

    Ramadhan Kayoko ndiye mwamuzi mbovu katika NBC Premier League! Freekick uliyowazawadia Yanga imeigharimu Simba

    Yaani baada ya kuona TFF imemchagua Kayoko kuwa mwamuzi katika mechi ya Derby ya Kariakoo moja kwa moja nikajua Simba hashindi mechi hii. Yaani kila nikirejea picha za tukio ambalo ameizawadia Yanga freekick sioni kosa alilolifanya Okejepha. Na baada ya kuona Chama ameingia na anaenda kupiga...
  19. Greatest Of All Time

    FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024

    Kariakoo Derby! Simba Vs Yanga, mchezo wa kukata na shoka. Je, Simba atafuta Uteja wa kufungwa na Yanga mfululizo? Kwa LigiKuu msimu huu, Simba imecheza michezo 5 ikikusanya alama 13 na Yanga michezo 4 ikikusanya alama 12. Katika siku hizi za karibuni Yanga imeonekana kupata matokeo Chanya...
  20. Mkalukungone mwamba

    FT: Simba SC 2-2 Costal Union | NBC Premier League | KMC Complex | 4 Octoba, 2024

    Simba SC VS Costal Union | NBC Premier League | KMC Complex | 4 Octoba, 2024 Mechi itachezwa uwanja wa KMC Complex saa 10: 15 Jioni
Back
Top Bottom