Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Arusha, Saipulani Ramsey, amekiri kuwa rushwa bado ni tatizo ndani ya chama hicho, akisema inasababisha kuchaguliwa kwa viongozi wasio bora wanaowadharau wananchi.
Akizungumza katika mahojiano maalum na Jambo TV, Ramsey...
Duru za ndani ya CCM zinanyetisha kuwa hali ya mtafaruku na mfadhaiko mkubwa imeikumba CCM kutokana na pigo takatifu la ushindi wa Tundu Lisu na John Heche katika uchaguzi wa CHADEMA taifa.
Vikao vya wakubwa vimekuwa haviishi, na kupelekea kuleta hofu inayoweza kuzua mpasuko mkubwa wa ndani ya...
Kama kuna kiongozi aliekuwa anawakemea watawala wanapoboronga tens hadharani, basi Nyerere alikuwa kiboko.
Kama kuna kiongozi aliekuwa anakemea rushwa ndani ya chama chake(CCM) tena hadharani, basi Nyerere alikuwa hana mfano
Nyerere alikemea wala rushwa, wauza mashirika ya umma, wanauza nchi...
Leo nimekaa zangu nimetulia sitaki kuandika chochote, ghafla nakutana na kipeperushi cha polisi kwenye mitandao ya jamii. Nikadhani labda kina taarifa ya muhimu, kumbe ni upumbavu tu umejaa humo na kuparamia mambo wasiyoyajua na yasiyowahusu.
Nimejiuliza maswali mengi sana kuhusu hiki...
2015 ndio ulikuwa mwaka pekee wa upinzani kuingia Ikulu na CCM kuwekwa pembeni huku mafisadi yakisubiri kuburuzwa Mahakamani.
Lakini kinyume chake ni kwamba mafisadi walizidi kung'ara na wanaendelea kuitafuna nchi .
Mbowe ndiye aliyehakikisha kuwa mwana CCM machachari Mh. Lowasa anapeperusha...
Binafsi ninaweza nisiwe mwanasiasa mzuri lakini nionavyo mimi ni kwamba ACT na CHADEMA wananufaika na uwepo wa CCM, na CCM wananufaika na uwepo wa hawa ACT, CHADEMA.
Sasa kwa mfumo kama huu inamaana CCM itaendelea kuwepo madarakani kwa miaka mingine mingi
Sikatai kama huku CHADEMA na ACT...
1. Ficheni mipango yenu ya Kisiasa
2. Acheni kuwaamini 100% Wake zenu na hasa Madereva wenu
3. Kuweni makini na Vinywaji mnavyokunywa hasa maeneo ya Mapumziko
4. Kataa kuwa na Chawa kwani Mafia wanawatumia hao hao Machawa wenu Kuwamalizeni kiurahisi
5. Kama unasali sana, Sali Kweli na kama...
Kwa ufupi ni kuwa wabunge na madiwani waliopo madarakani kwa maeneo mengi wameshiriki kuvuruga uteuzi ndani ya CCM.
Kwa fursa walizonazo wameshawishi wasiowapenda waondolewe katika maandalizi ya kujenga team zao za ushindi mwakani.
Leo kwenye kipindi chao cha minyama kitenge ametoa maoni yake ya kwamba hivi sasa watu wanapenda kugombea nafasi ndani ya CCM kuliko awamu iliyopita kwa sababu awamu iliyopita kuna maeneo watu walipita bila kupingwa.
Kwa takwimu za uchaguzi wa mwaka 2019 na 2020 vijana wengi walichukua form na...
Inaelekea kukamilika miezi miwili ama zaidi tangu Mchungaji Peter Msigwa ahame CHADEMA na kutimkia CCM baada ya kushindwa uchaguzi wa uenyekiti kanda ya Nyasa.
Huko CCM alipokelewa kwa vifijo na nderemo nyingi na wakuu wa chama chawala karibia wote
Nyimbo za mlete Msigwa zilisikika wakati...
Ndugu zangu Watanzania,
Nimesikitika sana ,kuumia sana,kuhuzunika sana na kusononeshwa sana na taarifa za uongo,uzushi, uchonganishi na ufitini zilizoletwa humu jukwaani na mwana jukwaa zinazosema ya kuwa Mimi nimeteuliwa au kupewa nafasi ndani ya CCM.
Niseme ya kuwa taarifa hizo ni za uongo...
Wadau hamjamboni nyote?
Kumekucha hukoo
"CCM sio kichaka wala pango la wanyang’anyi. Viongozi wala rushwa na wezi ndani ya CCM sintocheka na nyie na nitawataja na kuendelea kuwasema hadharani daima"
"Bora nifukuzwe kabisa kuliko kukalia kimya rushwa na ufisadi unaofanywa kwa wachache na...
Mpo salama!
Watu wanalaumu tuu Bure. Oooh! Fomu Moja! Ooh! Sio Demokrasia. Ooh! Kwa nini Sasa!
Kipi hakieleweki?
Mnataka Fomu ziwe nyingi ili katafunua zipigwe sio! Nani ambaye hajui sisi ni Waafrika na tupo Afrika?
Kuchapisha Fomu nyingi kwenye uchaguzi ndani ya chama ni kuonja sumu...
Ingawa mimi si mwana-CCM au mwanachama wa chama chochote cha siasa ndani na nje ya Tanzania, tangu utoto wangu nimekuwa nikifutilia siasa. Nikiwa na zaidi ya miaka 40 hapa duniani, nimekuwa mfuatiliaji mkubwa wa siasa na pia kushiriki kwenye chaguzi, kuanzia ule wa mwaka 1995.
Wengi sasa...
Sijaamini hiki nachosikia nikiwa hapa Dodoma sehemu moja maarufu kwa makada wa chama.
Kuna mwendawazimu mmoja. Mi namwita mwendawazimu sababu hawezi kuwa na akili timamu akashadadia Mdahalo wa Ugombea wa Urais 2025. Hakuna ndani ya CCM mwenye akili timamu anaweza shadadia hilo.
Huyu inaonekana...
Ukweli wa kwanza wa nape ni pale aliposema CCM itashinda hata kwa goli la mkono. Sio TU alitoa kauli hii Bali alishiriki kifanikisha goli la mkono,ingawa baadae yeye na wenzake walibatizwa kwa moto.
Kauli ya pili ya ukweli aliyoitoa ni hii ya Sasa kua CCM haitegemei kura zilizopigwa,Bali...
Historia itakihukumu kizazi hiki kwa ubinafsi na umimi uliokithiri. Kila kiongozi analinda ugali wake, na hakuna anayejali maslahi ya taifa.
Wako wapi akina Mkwawa na Nyerere wa kizazi hiki? Hawa waliwapinga wakoloni bila kujali madhara yatakayowapata. Kwann hivi sasa maslahi binafsi yanapewa...
Kwa Tanzania kama unataka kuendesha maisha yako kupitia siasa unatakiwa uwe ndani ya CCM kwani ndio chama kilichoshika dola. Ukiwa ndani ya CCM ni rahisi kupata nafasi (cheo) ndani ya chama au Serikalini. Lakini tatizo CCM ina watu wengi sana kuliko nafasi za uongozi au vyeo vya kuwapa wanachama...
Tumefikia mahali ambapo hali ya wizi na ufisadi wa fedha za serikali inatisha. Si Tamisemi tu, bali hata vyombo vya usalama na taasisi za serikali ugonjwa ni huo huo. Udanganyifu katika mifumo ya malipo imekuwa ndio habari ya mjini, kuanzia tozo za kupaki magari, fine za trafiki, miamara ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.