1. Uvivu unaua ndoa.
2. Tuhuma zinaua ndoa.
3. Kutokuaminiana kunaua ndoa.
4. Kutoheshimiana kunaua ndoa.
5. Kutosamehe, Uchungu, Chuki, Uovu na Hasira zinaua ndoa.
6. Mabishano yasiyo ya lazima yanaua ndoa.
7. Kutotunza Siri kutoka kwa Mwenzi wako kunaua ndoa.
8. Ukosefu wa uaminifu (kifedha...