nec

NEC Corporation (日本電気株式会社, Nippon Denki Kabushiki-gaisha) is a Japanese multinational information technology and electronics company, headquartered in Minato, Tokyo. The company was known as the Nippon Electric Company, Limited, before rebranding in 1983 as NEC. It provides IT and network solutions, including cloud computing, AI, IoT platform, and 5G network, to business enterprises, communications services providers and to government agencies, and has also been the biggest PC vendor in Japan since the 1980s, when it launched the PC-8000 series.
NEC was the world's fourth largest PC manufacturer by 1990. Its semiconductors business unit was the world's largest semiconductor company by annual revenue from 1985 to 1992, the second largest in 1995, one of the top three in 2000, and one of the top 10 in 2006. NEC spun off its semiconductor business to Renesas Electronics and Elpida Memory. Once a Japan's major electronics company, NEC has largely withdrawn from manufacturing since the beginning of the 21st century.
NEC was #463 on the 2017 Fortune 500 list. NEC is a member of the Sumitomo Group.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    Sheria ya Uchaguzi ibadilishwe kuruhusu Wagombea kwenda Mahakamani kupinga maamuzi ya NEC na zaidi mchakato wa kupatikana Wagombea uanze mwaka mmoja

    Kwa yanayoendelea sasa kuhusu kesi za uchaguzi na malalamiko mengine yanayohusiana na uchaguzi hasa kuhusu wagombea kuenguliwa,ni matokeo ya kuwa na sheria mbovu ya uchaguzi inayotoa mwanya wa wagombea kupita bila kupingwa huku Tume ya Uchaguzi ikiwa ndio alpha na omega katika kuamua nani...
  2. M

    Uchaguzi 2020 Askofu Bagonza aitaka NEC isitumike kudhulumu Watanzania

    *Lwakalinda Kalikawe Bagonza kaandika hivi:* NEC WAHURUMIENI WANANCHI NEC WAHURUMIENI VIONGOZI. Kuna jambo haliko sawa. Kama liko sawa, basi kuna jambo haliko sawa ndani yangu. 1. Ni mzigo na adhabu kubwa kwa Wananchi kuongozwa na kiongozi ambaye hawakumchagua. Ni kuwatesa wananchi, ni...
  3. Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yaanza kutoa matokeo ya rufaa za Udiwani na Ubunge zilizokatwa na wagombea katika Uchaguzi Mkuu wa 2020

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeanza kutoa matokeo ya rufaa za udiwani na ubunge zilizokatwa na wagombea katika Uchaguzi Mkuu wa 28 Oktoba 2020. Leo tume imetoa matokeo ya rufaa 55 kama ifuatavyo: 1. Imekubali rufaa 15 na kuwarejesha wagombea katika kinyang'anyiro cha uchaguzi. 2. Imekataa...
  4. Uchaguzi 2020 NEC imekubali rufaa nyingine 13 na kurejesha wagombea, rufaa nyingine 14 za walioteuliwa zimekataliwa

    Pia, soma Uchaguzi 2020 - Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yaanza kutoa matokeo ya rufaa za Udiwani na Ubunge zilizokatwa na wagombea katika Uchaguzi Mkuu wa 2020
  5. T

    Tujadili: Matumizi ya camera/web-cameras kwenye vituo vya kupigia kura, kwa ajili ya kuongeza uaminifu na kuzuia hujuma ndani ya vituo

    Wapwa, Tujadili, matumizi ya teknohama yanazidi kukua kila siku, teknohama imekuwa nyenzo kubwa ya uhuru wa mawasiliano na habari. Najaribu kufikiria vipi kama Tanzania kwa kujali umuhimu wa teknolojia, tukaamua kutumia camera kwenye vituo vya kupigia kura, je itasaidia kuongeza...
  6. Uchaguzi 2020 Kazi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ni nini?

    Habari wadau naomba kujua kazi ya NEC ni nini? Je, ni kukata wagombea? Je, ni kuelimisha wagombea jinsi ya kujaza form na kuwapa muongozo? Je, ni kupiga kampeni kichama? Je, ni kudidimiza siasa? Siwaelewi hawa watu, nilijua wao wawe walimu wa mchakato wa Uchaguzi na ujazaji wa fomu kwa usahihi...
  7. Ijue CCM - Tofauti ya NEC, CC, Sekretarieti na Mkutano Mkuu

    Chukua corporate structure ambapo Mkutano Mkuu ni shareholders, NEC ni Board Members na CC ni Management. NEC ndio halmashauri kuu hiyo, so mkutano mkuu ni wawakilishi wa wanachama watano toka kila wilaya. Ndio chombo pekee kinachoweza kubariki mabadiliko makubwa ndani ya chama.....mabadiliko ya...
  8. NEC yazika mzimu wa Richmond

    NEC yazika mzimu wa Richmond *Baadhi ya wabunge watetea watuhumiwa rasmi *Wataka mijadala ya EPA, Richmond iwekwe kando * Wengine wataka wachukuliwe hatuza zaidi *Kikwete awaruhusu kuikosoa serikali kwa hoja Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mwananchgi KUNDI la wabunge na wajumbe wa Halmashauri...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…