necta

  1. RUCCI

    NECTA yatangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Pili 2015

    NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha Pili kwa wanafunzi waliofanya mtihani mwaka jana, ambapo Wanafunzi 324,068 sawa na asilimia 89% ya wanafunzi 363,666 waliofanya mtihani wa kidato cha pili mwaka 2015, wamefaulu mtihani huo. Ufaulu umeshuka kwa masomo ya Uraia, Historia, Jiografia...
  2. Petro E. Mselewa

    Matokeo ya Kidato cha Sita 2015 yametangazwa

    Matokeo ya Kidato cha Sita yametangazwa mtandaoni rasmi na Baraza la Mitihani nchini almaarufu kama NECTA. Kuyaona matokeo hayo ingia hapa:NECTA | View News http://necta.go.tz/matokeo/2015/Alevel.htm Soma Pia Matokeo mengine kuanzia 2009 Wavulana wapeta matokeo kidato cha Sita, 2014 Matokeo...
  3. MashaJF

    Matokeo Kidato cha Nne 2014 yametoka: Sekondari ya Kaizirege yaongoza

    Kupata Matokeo Haya, Bofya hapa Jiridhishe kwa kutembelea NECTA Siku hizi hakuna Divisions, na tafsiri ya GPA ni hii hapa kwenye jedwali, Distinction ndio kama Division I ukipenda. http://www.necta.go.tz/files/utaratibu_wa_kutunuku.pdf Soma Pia Matokeo ya miaka mingine kuanzia 2008...
  4. Chakupewas

    Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Pili 2014

    Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Pili 2014 http://necta.go.tz/matokeo2015/ Soma Pia Matokeo mengine kuanzia 2009 Matokeo kidato cha pili hatimae yatolewa, mkoa wa D'salaam washika mkia. National form II Results 2009 aibu
  5. FikraPevu

    Wavulana wapeta matokeo kidato cha Sita, 2014

    Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha Sita yaliyofanyika Mei, 2014 mwaka huu, ambapo limesema ufaulu umeongezeka kwa jumla ya watahiniwa 30,225 sawa na asilimia 85.73 ambao wamefaulu katika madaraja ya I- III. Akitangaza matokeo hayo leo Jumatano Julai...
  6. Kimboka

    Matokeo Kidato cha Nne 2013 yatangazwa

    Muda huu makao makuu ya necta matokeo yanatangazwa UFAULU WAPANDA KIDATO CHA IV 2013. Matokeo ya Kidato cha nne 2013 yatangazwa, kiwango cha ufaulu chapanda kwa asilimia 15.17 kutoka asilimia 43.08 mwaka 2012 hadi 58.25 mwaka 2013. Watahiniwa wafaulu zaidi katika somo la Kiswahili...
  7. TIQO

    NECTA yatangaza Matokeo Kidacho cha Sita (ACSEE 2013)

    Matokeo ya kidato cha 6 yametangazwa. Ufaulu umeongezeka mara dufu zaidi ya wanafunzi 90% wamefaulu. Shule zilizoongoza ni 1. Marian Girls 2. Mzumbe Soma Pia Matokeo mengine kuanzia 2009 Matokeo kidato cha sita 2012 yametoka Matokeo Kidato cha Sita 2009 ========================= Updates...
  8. Rogie

    Matokeo ya Kidato cha Nne 2012 NECTA (CSEE)

    Wakuu, NECTA wametangaza matokeo tayari. Kuyapata matokeo (kama yalivyotangazwa tarehe 18/02/2013), tembelea: MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2012 - (Hosted by JamiiForums) Soma Pia Matokeo ya miaka mingine kuanzia 2008 Matokeo ya form four 2008 Matokeo ya kidato cha nne 2011 QT Results 2012 -...
  9. Kinyungu

    Matokeo kidato cha sita 2012 yametoka

    Kwa mujibu wa tbc mchana huu matokeo kidato cha sita yametoka na ufaulu umeongezeka. Soma Pia matokeo mengine kuanzia 2009 Matokeo ya mtihani wa kidato cha sita (acsee) 2011 yametoka Matokeo Kidato cha Sita 2009 HAYA HAPA: http://www.matokeo.necta.go.tz/matokeo2012/Alevel.htm au...
  10. Hassbaby

    Matokeo ya kidato cha nne 2011

    Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Kidato cha Nne kwa mwaka 2011. Matokeo ya kidato cha nne 2011 yametoka RESULT MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2011 ~ Hassbaby's (Mapacha) Check hapo. Soma Pia Matokeo ya miaka mingine kuanzia 2008 Matokeo ya form four 2008 Matokeo ya...
  11. Crashwise

    Matokeo ya kidato cha nne hewani - 2010

    Gonga hapa kupata matokeo ya Kidao cha Nne - 2010 au Hapa SHULE ZA SERIKALI ZAGARAGAZWA TENA, SEMINARI JUU na Betty Kangonga Soma Pia Matokeo ya mengine kuanzia mwaka 2008 Matokeo ya form four 2008 Matokeo ya kidato cha nne hewani - 2010 JUMLA ya watahiniwa...
  12. Albedo

    Matokeo ya kidato cha sita 2010 hadharani

    Matokeo ya kidato cha sita kwa mwaka 2010 yametangawa rasmi. Unaweza kuyaangali yote kupitia website ya NECTA iliyopo hapa chini. www.necta.go.tz Soma Pia: Matokeo Kidato cha Sita 2009
  13. epigenetics

    Matokeo Kidato cha Sita 2009

    Matokeo ya kidato cha sita kwa mwaka 2010 yametangawa rasmi. Unaweza kuyaangali yote kupitia website ya NECTA. Kibaha, Mzumbe, Ilboru, Marian zaongoza kama kawaida. http://www.necta.go.tz/acsee2009/acsee2009.html Soma Pia Matokeo ya kidato cha sita 2010 hadharani Matokeo ya mtihani wa kidato...
  14. Mpita Njia

    Matokeo ya form four 2008

    Yanaonyesha kuwa kiwango cha ufaulu kimeshuka kwa asilimia 10.13. Wanafunzi wengi wamefanya vizuri kwenye Kiswahili (aslimia 81.59) na wengi wamefeli basic mathematics (waliofaulu somo hili ni asilimia 24.33 tu). Nyingi ay shule zinazoongoza kama kawaida ni za binafsi huku senminari zikionekana...
  15. Mhache

    Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba mwaka 2008

    Matokeo ya mitihani wa darasa la saba yametoka na Mkoa wa Dar es Salaam umeongoza kwa kufaulisha ukifuatiwa na jiji la kitalii, mkoa wa Arusha. Cha kushangaza ni kwamba idadi kubwa ya waliofaulu hawatapata nafasi ya kuendelea na masomo ya kidato cha kwanza. Je hilo ni tatizo la nani? Na kama...
Back
Top Bottom