NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha Pili kwa wanafunzi waliofanya mtihani mwaka jana, ambapo Wanafunzi 324,068 sawa na asilimia 89% ya wanafunzi 363,666 waliofanya mtihani wa kidato cha pili mwaka 2015, wamefaulu mtihani huo.
Ufaulu umeshuka kwa masomo ya Uraia, Historia, Jiografia...
Matokeo ya Kidato cha Sita yametangazwa mtandaoni rasmi na Baraza la Mitihani nchini almaarufu kama NECTA. Kuyaona matokeo hayo ingia hapa:NECTA | View News
http://necta.go.tz/matokeo/2015/Alevel.htm
Soma Pia Matokeo mengine kuanzia 2009
Wavulana wapeta matokeo kidato cha Sita, 2014
Matokeo...
Kupata Matokeo Haya,
Bofya hapa
Jiridhishe kwa kutembelea NECTA
Siku hizi hakuna Divisions, na tafsiri ya GPA ni hii hapa kwenye jedwali, Distinction ndio kama Division I ukipenda.
http://www.necta.go.tz/files/utaratibu_wa_kutunuku.pdf
Soma Pia Matokeo ya miaka mingine kuanzia 2008...
Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Pili 2014 http://necta.go.tz/matokeo2015/
Soma Pia Matokeo mengine kuanzia 2009
Matokeo kidato cha pili hatimae yatolewa, mkoa wa D'salaam washika mkia.
National form II Results 2009 aibu
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha Sita yaliyofanyika Mei, 2014 mwaka huu, ambapo limesema ufaulu umeongezeka kwa jumla ya watahiniwa 30,225 sawa na asilimia 85.73 ambao wamefaulu katika madaraja ya I- III.
Akitangaza matokeo hayo leo Jumatano Julai...
Muda huu makao makuu ya necta matokeo yanatangazwa
UFAULU WAPANDA KIDATO CHA IV 2013.
Matokeo ya Kidato cha nne 2013 yatangazwa, kiwango cha ufaulu chapanda kwa asilimia 15.17 kutoka asilimia 43.08 mwaka 2012 hadi 58.25 mwaka 2013.
Watahiniwa wafaulu zaidi katika somo la Kiswahili...
Matokeo ya kidato cha 6 yametangazwa.
Ufaulu umeongezeka mara dufu zaidi ya wanafunzi 90% wamefaulu.
Shule zilizoongoza ni
1. Marian Girls
2. Mzumbe
Soma Pia Matokeo mengine kuanzia 2009
Matokeo kidato cha sita 2012 yametoka
Matokeo Kidato cha Sita 2009
=========================
Updates...
Wakuu,
NECTA wametangaza matokeo tayari.
Kuyapata matokeo (kama yalivyotangazwa tarehe 18/02/2013), tembelea:
MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2012 - (Hosted by JamiiForums)
Soma Pia Matokeo ya miaka mingine kuanzia 2008
Matokeo ya form four 2008
Matokeo ya kidato cha nne 2011
QT Results 2012 -...
Kwa mujibu wa tbc mchana huu matokeo kidato cha sita yametoka na ufaulu umeongezeka.
Soma Pia matokeo mengine kuanzia 2009
Matokeo ya mtihani wa kidato cha sita (acsee) 2011 yametoka
Matokeo Kidato cha Sita 2009
HAYA HAPA:
http://www.matokeo.necta.go.tz/matokeo2012/Alevel.htm
au...
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Kidato cha Nne kwa mwaka 2011.
Matokeo ya kidato cha nne 2011 yametoka RESULT
MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2011 ~ Hassbaby's (Mapacha)
Check hapo.
Soma Pia Matokeo ya miaka mingine kuanzia 2008
Matokeo ya form four 2008
Matokeo ya...
Gonga hapa kupata matokeo ya Kidao cha Nne - 2010
au
Hapa
SHULE ZA SERIKALI ZAGARAGAZWA TENA, SEMINARI JUU
na Betty Kangonga
Soma Pia Matokeo ya mengine kuanzia mwaka 2008
Matokeo ya form four 2008
Matokeo ya kidato cha nne hewani - 2010
JUMLA ya watahiniwa...
Matokeo ya kidato cha sita kwa mwaka 2010 yametangawa rasmi. Unaweza kuyaangali yote kupitia website ya NECTA iliyopo hapa chini.
www.necta.go.tz
Soma Pia: Matokeo Kidato cha Sita 2009
Matokeo ya kidato cha sita kwa mwaka 2010 yametangawa rasmi. Unaweza kuyaangali yote kupitia website ya NECTA.
Kibaha, Mzumbe, Ilboru, Marian zaongoza kama kawaida.
http://www.necta.go.tz/acsee2009/acsee2009.html
Soma Pia
Matokeo ya kidato cha sita 2010 hadharani
Matokeo ya mtihani wa kidato...
Yanaonyesha kuwa kiwango cha ufaulu kimeshuka kwa asilimia 10.13. Wanafunzi wengi wamefanya vizuri kwenye Kiswahili (aslimia 81.59) na wengi wamefeli basic mathematics (waliofaulu somo hili ni asilimia 24.33 tu).
Nyingi ay shule zinazoongoza kama kawaida ni za binafsi huku senminari zikionekana...
Matokeo ya mitihani wa darasa la saba yametoka na Mkoa wa Dar es Salaam umeongoza kwa kufaulisha ukifuatiwa na jiji la kitalii, mkoa wa Arusha. Cha kushangaza ni kwamba idadi kubwa ya waliofaulu hawatapata nafasi ya kuendelea na masomo ya kidato cha kwanza. Je hilo ni tatizo la nani? Na kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.