Tufts Medical Center (until 2008 Tufts-New England Medical Center) in Boston, Massachusetts is a downtown Boston hospital occupying space between Chinatown and the Boston Theater District.
The hospital is a center for biomedical research and is the principal teaching hospital for Tufts University School of Medicine where all full-time Tufts MC physicians hold faculty appointments; the center is connected to Tufts University School of Dental Medicine. Tufts Medical Center is subdivided into a full-service adult hospital and the Tufts Children's Hospital (originally a floating ship but presently on shore). Tufts Medical Center's president and CEO is Michael Tarnoff, MD. Tufts Medical Center is based in Boston, MA but also has satellite locations in areas including Quincy, Chelmsford, Framingham, and others. The hospital also has partnerships with Lawrence General Hospital and Lowell General Hospital and MelroseWakefield Hospital
Katika tukio la hivi karibuni, Mkurugenzi wa Baraza la Uhifadhi wa Mazingira (NEMC), Dkt. Samuel Gwamaka, amezungumza kuhusu operesheni ya msako inayoendelea dhidi ya wanaokiuka sheria za mazingira. Dkt. Gwamaka alisema kuwa wale watakaokamatwa katika msako huo watafuata taratibu za kisheria, na...
Chimbuko la kelele lipo kiimani na kisaikolojia.
Nashauri NEMC Pelekeni hoja Wizara ya Elimu ili watakapoboresha mitaala yao, somo la Sayansi kimu lifundishe kwa kina madhara ya uchafuzi wa mazingira ikiwemo kelele.
Tukumbuke kwamba baadhi ya viongozi wanaumwa huu ugonjwa wa kisaikolojia na...
Nimeingia Dodoma Jana kuhudhulia uzinduzi wa Ikulu , Jioni hii nimefika Bar Ilivyokua imefungiwa na NEMC inaitwa The Bistro ...Iko Dodoma Nkuhungu.
Hii bar Kuna haya Mamitungi ya Shisha yanavutwa kila upande na kufanya indoor bar kuwa na mimoshi kwelikweli .
Mamlaka , zichukue hatua kuhusu...
Akizungumza Bungeni leo, Selemani Saidi Jafo ambaye ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira amesema Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limefanya kazi nzuri ya kudhibiti uchafuzi wa mazingira kwa njia ya kelele.
Amesema asilimia kubwa ya baa...
Misiba na kunji la wafanyabiashara kariakoo limepooza ile jamba jamba iliyoletwa na NEMC wiki iliyopita. Kama ilivyoada na desturi sie great thinkers lazima tupate muda wa kudurusu zilizo kick na kuona kama kweli baraza na watu wake wenyewe wanawaita wataalam wa mazingira walifungia Bar na...
Uchafuzi wa mazingira wa kelele ni moja ya kero kubwa ambazo zipo mitaani kiasi kwamba imeonekana kama ni sehemu ya maisha hasa ya wale wananchi wa kawaida mitaani.
Nitoe histori kidogo, mtu anaposema kelele nina uzoefu wa kuwahi kupitia ker kama hiyo sitaisahau.
Nilikuwa naishi mitaa ya Sinza...
Hivi huyu jamaa ana atumia nini kufikiri, hajui hizo sheria zilifungwa na bunge hilo hilo.
Hajui watu walichoka na muziki mikubwa na kuwa kero kwa watu.
Leo bunge lisitishe shugli zake ili waruhusu mikilele yao ,yaani watumie pesa za serikali kuruhusu Kelele mitaani.
USSR
=================...
Kutokana na ongezeko la watu duniani na shughuli za kiuchumi na kijamii, kelele zimeendelea kuongozeka kwenye makazi ya watu na maeneo ya biashara na hivyo kusababisha madhara mbalimbali kwa binadamu na mazingira. Madhara hayo ni pamoja na kupoteza usikivu (hearing loss); kuondosha utulivu...
Kazi nzuri ambayo inafanywa na Baraza la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) inatakiwa kuwa na mwendelezo.
Uwepo wao umekuwepo kwa muda lakini yawezekana hawajasikika muda mrefu kwa kuwa hawakuwa wameamua kuonesha majkumu yao hasa katika kulinda mazingira ni yapi.
Hivi karibuni jina la...
Walianza NEMC sasa ni zamu ya TRA kumgombanisha Rais na wananchi wake anaowapenda.
Ni ukweli usiopingika kuna Taasisi zinamuingiza Mhe. Rais katika mtego na wananchi kadiri siku zinavyokwenda, waliaanza NEMC na sasa ni zamu ya Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA).
Wizara ya fedha na biashara...
NEMC TUNAWAPA MAUA YENU.
Pongezi nyingi saana kwa Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa hatua kubwa na nzuri walioanza ya kushughulika na Uchafuzi wa Mazingira hususani Kelele na Mitetemo inayotolewa na Wamiliki wa Nyumba za Starehe.
Ni vigumu watu kuelewa hususani kwa wale...
Hii ni kero ya miaka nenda rudi hakuna hatua inayochukuliwa.
Tafadhali NEMC Tanga wadhibiti hawa watu. Kama mmeweza kwenye mabaa na kumbi za harusi, basi na hili halitawashinda.
NEMC yafungia baa, kumbi za starehe 89
Binafsi natoa pongezi nyingi kwa Baraza la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa uamuzi wao walioufanya hivi karibuni, inawezekana ukaonekana kama wamekosea lakini siku zote binadamu huwa si rahisi kukubali mabadiliko.
Mabadiliko yoyote yale huwa yanaambatana na changamoto kadhaa...
Nimefurahi sana kusikia NEMC wameanza kuwashughulikia wapiga kelele wanaosababisha zogo mtaani na kuwafanya raia wengine wakose raha na utulivu. Kipekee kabisa naomba NEMC wamulike zaidi makanisa, misikiti, vigodoro na wauza muziki (wezi wa kazi za wasanii) kwani hawa ndio wamekithiri kwenye...
Wale ambao hamukerwi na kelele endelei kunyamaza hivyohivyo!
Juzi niliwashauri NEMC kupitia Uzi
https://www.jamiiforums.com/threads/hongereni-sana-nemc-kwa-kuanza-udhibiti-kelele-kwenye-bar-lakini-fanyeni-haya-kuboresha-zoezi.2094376/
Kwamba; Walipaswa kuenenda kwa umakini sana kwenye zoezi...
Sote tunajua kuwa tatizo la ajira ni kubwa nchini na sekta binafsi (rasmi na zisizo rasmi) zimeajiri watu wengi hasa vijana kuliko serikali kwa ujumla.
Ghafla tu wanazifunga, hata kuwakumbusha, kuwapa maelekezo au kutoa onyo. Kwani tunamkomoa nani? Serikali inakomoa Raia wake?
Kutojua sheria...
NEMC wamekazana kukamata wenye baa kwa sababu huko kumenona, bodaboda nyingi zina muziki wenye sauti kali sana ya juu ambayo huumiza masikio.
Pamoja na kutokunona lakini itakuwa jambo jema kukomesha kelele hizo.
Tangu NEMC ianze kamatakamata ya wachafuzi wa mazingira taarifa tunazopata ni ukamataji wa wenye baa, NEMC kunguru weusi na madereva wa bodaboda nao ni wachafuzi wa mazingira, hawa bodaboda pikipiki zao wamezifunga vifaa vya muziki ambavyo hutoa sauti kali sana kuliko hixo za baa.
Kuna baadhi...
Katazo hili sio kwenye maeneo ya mabaa pekee yake bali na maeneo mengine ya Makazi, Viwanda, kwa taarifa zaidi soma 👇:-
1. Hospitali, Shule, Vyuo, Maktaba na Nyumba za Wazee Decibel (dBA 35)
2. Jengo la Makazi ni Decibel (dBA 35)
3. Viwanda Vidogo ni Decibel (dBA 50)
4. Eneo la Viwanda ni...
Nawapa pongezi sana kwa mwanzo huu!
NEMC Mkiamua mnaweza!
Mmefanikiwa kufungia bar chache zinazopiga miziki mikubwa! Ni jambo jema sana!
Naomba kushauri jambo moja ndugu zetu NEMC!
Kuna msemo Wataalam wanasema "Good approach, Bring best Result"
Hakika mmethubutu kuwaonya hawa watu wanakela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.