Tufts Medical Center (until 2008 Tufts-New England Medical Center) in Boston, Massachusetts is a downtown Boston hospital occupying space between Chinatown and the Boston Theater District.
The hospital is a center for biomedical research and is the principal teaching hospital for Tufts University School of Medicine where all full-time Tufts MC physicians hold faculty appointments; the center is connected to Tufts University School of Dental Medicine. Tufts Medical Center is subdivided into a full-service adult hospital and the Tufts Children's Hospital (originally a floating ship but presently on shore). Tufts Medical Center's president and CEO is Michael Tarnoff, MD. Tufts Medical Center is based in Boston, MA but also has satellite locations in areas including Quincy, Chelmsford, Framingham, and others. The hospital also has partnerships with Lawrence General Hospital and Lowell General Hospital and MelroseWakefield Hospital
Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Samuel Gwamaka amesema jumla ya baa na kumbi za starehe 89 zimefungiwa baada ya kubaini kupiga kelele na mitetemo iliyozidi viwango vinavyotakiwa.
Dkt. Gwamaka amesema baa na kumbi hizo za starehe zimebainika...
Rais Samia kupitia NEMC umeaamua kuuwa baishara za watu na kuuwa biashara za watu ni sawa na kuuwa watu kabisa!
Mh Rais wewe na wasaidizi wako mnakula raha kila siku na mko angani kila siku mnakula asali lakini sisi wananchi wengine burudani yetu ni muziki lakini mmeona tunafaidi sana ndio...
Nafaham upo ugumu mkubwa wa kushughulika na watu wanaoamini KERO ni haki yao!
Yaani kuna watu wanajimilikisha haki ya kuwakera wengine!
Na wanaoamini wako sahihi!
Zamani kukuta spika ya disco kanisani ilikuwa HAKUNA! Na watu waliogopa kucheza sebene kanisani lakini hivi Leo ni kawaida sana...
Wakuu,
Kutokana na mnakasha wa mwanajamiiforum mmoja akiilalamikia NEMC juu ya uzembe wa kutodhibiti kelele kwenye makazi ya watu na maeneo mbalimbali ya biashara napendekeza yafuatayo.
Taasisi husika ifutwe haraka maana haitimizi majukumu yake maana haiwekezani kibanda cha chupi kiwe na...
MEYA wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranghe amewataka wamiliki wa Makanisa na Misikiti mjini hapa,kufuata sheria za utunzani wa Mazingira na kuacha kuzalisha kelele chafuzi zinazobughudhi na kuleta athari kwa wananchi.
Iranghe ametoa kauli hiyo mapema leo wakati akifungua semina kwa viongozi...
Hili swala limekaa vipi kisheria
Unakuta clubs zimejazana katika maeneo ya makazi ya watu na zimekuwa zikipiga miziki mikubwa inayotoa sauti za mitetemo ambazo huathiri faragha ya mtu anakuwa nyumban kwake.
Hili swala serikali ilitazame kwa umakini maana hizi clubs siku hizi ni kifuru sana...
Ni mwaka mmoja umepita hivi sasa, lakini hali ya barabara ya mtaa wa Chato inaleta utata kati ya wananchi na wakandarasi. Urefu wa barabara hii ni mita 600. Imekuwaje mpaka leo hii barabara haijakamilika? Ujenzi wa barabara hii ulianzishwa kwa nia ya kuweka bomba kuu la maji machafu chini...
Kama umezaliwa kijijini kuanzia miaka ya 90 kurudi nyuma hebu jaribu kuvuta picha ya mazingira nyuma(mito, milima, mapori) jinsi yalivyokuwa then linganisha na leo ndio utaweza kukielewa ninachoenda kuzungumzia.
Nimezunguka sehemu nyingi za nchi hii kutoka kaskazini, mpaka kusini kanda ya kati...
Mitaani kumechafuka hivi sasa
Vigodoro vinakesha kwenye makazi ya watu serikali za mitaa zimetiwa mifukoni mwa watu
Makanisa yanafunga speaker kubwakubwa zisizotofautiana na zile za kumbi za disco kwenye open space
Bar nazo zinasumbua usiku kucha miziki mizitomizito kwenye makazi ya watu
Wauza...
Kiukweli hali imekuwa mbaya sana mtaani, vyombo vya entertainment majumbani na sehemu za starehe vinazidi kuongezeka kwa kasi na sasa imefikia familia na wenye bar pamoja na makanisa wananunua maspika makubwa yanayotakiwa kufungwa kwenye kumbi za muziki yanawekwa majumbani na kwenye sehemu za...
POST ENGINEER II (CIVIL) – 2 POST
EMPLOYER National Environment Management Council (NEMC)
APPLICATION TIMELINE: 2022-08-11 2022-08-24
JOB SUMMARY OK
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i.Undertakes routine and targeted compliance promotion programmes, inspections, monitoring and environmental audit to...
POST ENGINEER II (MINING) – 5 POST
EMPLOYER National Environment Management Council (NEMC)
APPLICATION TIMELINE: 2022-08-11 2022-09-24
JOB SUMMARY OK
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. Undertakes routine and targeted compliance promotion programmes, inspections, monitoring and environmental audit...
Ila KUNA MAKANISA YAPO KARIBU NA MAKAZI YA WATU.
Yaani unakuta kanisa lipo kati kati ya nyumba za watu, Sasa bana ikifika ijumaa hadi jumapili inabidi muhame kwanza maana siyo kwa mziki huo, na hii sio mara ya kwanza kwa wao kutoa tamko kama hili
Pia soma: NEMC kufanya msako wa wanaopiga...
Air Pots ni Vyungu (Container) maalumu vya kupandia mimea mbalimbali ambavyo huwekewa vishimo vidogovidogo kuzunguka chungu, lengo ikiwa ni kuruhusu mizizi ya mimea kuweza kutafuta mwanga na hewa.
Teknolojia hii huwezesha Mmea kukua bila kipangamizi na hata kufikia ukubwa wa kutosha kama...
Wanabodi,
Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Makala ya Leo ni
wito kwa Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira NEMC, Kuwapiga Faini Mgodi Kuhusu Uchafuzi wa Mazingira kwa Sumu, usiishie kwenye kuwapiga tuu fine tuu, bali wawafidie waathirika na kama sumu hiyo ni lethal...
Mgodi wa Barrick North Mara uliopo mkoani Mara umepigwa faini ya shilingi Bilioni moja na Baraza la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa kosa la uchafuzi wa mazingira baada ya bomba linalopitisha maji taka kutoka kwenye mgodi huo kupasuka na kutiririsha maji katika Mto Tigite...
Natoa wito Waziri Jaffo ajiuzulu.
Mstaafu Mwinyi aliwahi kusema kichaa akichukua nguo zako, busara ni kuchutama (loosely)
Waziri Jaffo na watalaamu wake wa mto Mara wanagoma kuchutama, na kadri wanavyogeuza ripoti wizara inazidi kupoteza pesa kwa waandishi habari na kuanza kueleza mambo ambayo...
Kwakua majibu ya ripoti yamekua na utata kidogo, ni vyema sampuli za maji ya mto mara zifanyiwe uchunguzi wa maabara upya.
Sidhani kama swala la kuchunguza maji lilihitaji kuunda tume. Analysis za maji ni kitu kidogo sana. Anyway ningekua ni mimi ningechukua sampuli za maji na kuzipeleka kwenye...
Naandika kwako Mkurugenzi wa NEMC - HQ kwamba huku mitaani hasa katika miji kelele za miziki kwenye ma bar, pub saloon za vinyozi, wauza CD, vigodoro pamoja na nyumba za ibada zimekuwa kero kiasi kwamba Mamlaka yako inaonekana ipo tu kama bendera inatumia fedha za serikali bila tija. Kuna namba...
Baraza la Mazingira (NEMC) nawauliza hamuoni Uchafuzi wa mazingira baharini na kwenye vyanzo vya maji?
Uchafu unatiririshwa baharini, na ziwani kwa Hali ya kutisha. Public beaches (fukwe za umma) eg. Coco, Kawe, Jangwani zimejaa uchafu Wala hamchukui hatua. Why?
*Huko baharini mna hata Boat ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.