nenda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. chechemtungi

    Waziri wa Afya, nenda tena Hospitali ya Mwananyamala

    Naomba nieleze hili ambalo kwenye Moyo wangu siwezi kuliacha kamwe na sintolisahau katika mwaka uliopita linalohusu hospitali ya Mwananyamala. Mnamo Tarehe 30/12/2020 nilimsaidia majeruhi wa pikipiki ambaye alikuwa amegongwa na gari kumuwahisha hosptali kwa ajili ya Matibabu, aligongewa mitaa...
  2. Kibosho1

    Ushauri wangu kwa Harmorapa kama unanisikia: Ukitaka kuwa juu nenda WCB chap kwa haraka

    Wadau inapendeza kuwa pamoja kwa umoja. Napenda kutoa pongezi kubwa sana kwa waumini wa WCM. Natoa pongezi kubwa pia kwa Naseeb Abdul a.k.a Diamond au Dangote. Diamond ametengeneza nembo ambayo imekubalika sana na vijana wengi kwa kipindi hiki. Kukubalika huko kumeinua vijana wengi pia wawe wa...
  3. FrankLutazamba

    Nashauri viwanda vya bia vianze kutengeneza bia chupa moja yenye ujazo wa bia mbili ili kuwapunguzia wahudumu nenda rudi...

    Yaani kama bia ina ujazo wa ml 500 basi chupa moja iwe na ml 1000 (1lt) ili kwa anayekunywa bia mbili anaagiza chupa moja tu, au chupa moja iwekwe ujazo wa bia tano. Hii itawapunguzia mzigo wahudumu wa nenda rudi, pia mwaweza kunywa na marafiki
  4. V

    Profesa Kabudi, nenda Madagascar ukatuletee miche ya Vanilla

    Nchi ya Madagscar inasifika sana kwa ulimaji wa zao la vanilla. Zao hili linawaongezea kipato kikubwa sana raia wa Madagascar kwani kilo moja inafika karibu dola 600 za Kimarekani. Nakumbuka sana Profesa Kabudi aliporudi na mitishamba ya Corona toka Madagascar kwa mbwembe nyingi sana na...
  5. U

    CCM ni pagumu mno Profesa J wala Sugu wasingepewa nafasi CCM, FA nenda Kigamboni ACT unatoboa

    Jamani utaratibu wa kupata nafasi ya kugombea CCM Ni mgumu mno kwa mtu wa kawaida na asiyemfanyabiashara mkubwa, pale ni kweli Kuna wenyewe, na fitina , kujuana, family history, rushwa vina husika sana. Mimi naamini huyu Sugu au professor asingepata nafasi ya kugombea ubunge kupitia CCM miaka...
  6. G Sam

    Wapo watu wanne ndani ya nchi hii wakikuambia jambo nenda katafute ukweli kwingine kabla ya kulichukua kama lilivyo!

    Ndani ya hii nchi kuna watu wanne ambao wakikwambia jambo basi usilichukue kabla ya kutafuta ukweli wake kwingine. Watu hao ni 1. Dkt. John Pombe Magufuli. 2. Prof. Palamagamba Kabudi 3. Prof. Joyce Ndalichako 4. Paul Makonda
  7. Dam55

    Mch. Peter Msigwa, kwa hili tukio la Mbowe nenda katubu kwa uzushi wako kama kweli wewe ni mtumishi wa Mungu

    Maneno yangu ni machache tu kwako na najua upo humu na utaupata ujumbe huu. Wewe kama mtumishi wa Mungu tena mchungaji kabisa ulichokifanya si haki mbele za Mungu. Umeeneza uzushi kwamba mh Mbowe alishambuliwa na watu walio mshambulia walikuwa wanatamka maneno "wewe ndio unamsumbua Rais...
  8. J

    Ukiwa bepari "uchwara" kifikra usijiunge na Chadema maana utalizwa kama mtoto, nenda chama cha Wakulima na Wafanyakazi CCM

    Nakupa tu angalizo kama wewe ni mgeni siasa. Ukiyasoma vizuri malengo ya Chadema na katiba yake huwezi kumkosoa Mbowe maana havunji taratibu yoyote ndani ya chama. Tatizo vijana wengi huvamia siasa za vyama bila kujua malengo ya chama husika. Kwa mfano CCM iliasisiwa ili kuwatumikia Wakulima...
  9. OLS

    Kama umeweka hela kwenye VICOBA nenda katoe

    Wanajamvi natoa ushauri tu! Kama umeweka hela kwenye Vicoba nenda katoe. Nawapa sababu. Corona ni tishio na ndio hivyo vitu vimeanza kupanda bei kutokana na uzalishaji finyu na uhitaji mkubwa, low supply lakini high demand, hapo kunatokea shortage ambayo inalazimisha watu kupandisha bei ili...
Back
Top Bottom