Baada ya makundi mengine kutangaza kujiunga, kuongeza nguvu ili rais wa Burundi aondolewe madarakani;
Huku pia waasi wake RED TABARA wakiwa tu umbali wa kilometa 76 kutoka walipo sasa M23,
Rais ameagiza wanajeshi wake hao warudi nchini. Wanaorudi, wanafikia katika bonde la RUSIZI, kwa...
Wadau hamjamboni nyote?
Kumekuchaa
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
Dozens of Lebanese nationals have been stranded at the international airport in Tehran since this morning after Lebanese aviation authorities informed the Iranian Mahar Air airline that its flight to Beirut would not be...
Shalom wana Jamii Forum. Habari zilizonifikia hivi punde kwa njia ya simu kutoka kwa familia ya Dk. Wilbroad Peter Slaa ni kwamba Dk. Slaa ana siku ya pili ya mgomo wa kula huko gerezani na ameanza kudhoofu sana.
Anatumia njia hii kama hatua ya kushinikiza sheria dhidi yake ichukue mkondo...
Jeshi la wanamaji(marine) la Rwanda, lilokuwa linafanya dolia katika ziwa Kivu, karibu na kisiwa cha Idjwi, limeshambuliwa na jeshi la DRC lililopo katika kisiwa cha Idjwi. Ilikuwa mida ya saa moja asubuhi ya leo. Taaraifa za mwanzo zinasema boat yao imeharibiwa.
Kwa mujibu wa raia waliopo...
Kumbe neno fake news lina maana tofauti na wengi tuelewavyo. Inatolewa taarifa yenye ukweli ila Kama anayetakiwa kuwajibika hasipokuwa tayari kuzungumzia inaitwa fake news ,wanaibatilisha na kuwaaminisha watu kuwa ni habari ya uongo wakati ina ukweli. Mfano hii ya wanafunzi mkoa wa Ruvuma kukaa...
Kauli ya WHO Kuhusu Taarifa ya Marekani Kujitoa katika shirika hilo
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesikitishwa dhidi ya tangazo la Marekani kwamba inapanga kujitoa katika Shirika hilo.
WHO ina jukumu muhimu la kulinda afya na usalama wa watu duniani, wakiwemo Wamarekani, kwa kushughulikia...
Wadau hamjamboni nyote?
Mwamba amedai Oktoba 20 atakuwepo Washington DC kushuhudia mwamba mwenzake Donald Trump akila kiapo kuongoza taifa kubwa zaidi duniani
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
January 1, 2025
Netanyahu still planning to attend Trump’s inauguration, despite surgery
By...
Wadau hamjamboni nyote?
Msako magaidi duniani kote unaendelea
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
December 31, 2024
France says it carried out missile strikes against Islamic State in Syria
By Reuters
Today, 12:19 pm
France carried out missile strikes in Syria, targeting Islamic State...
Mheshimiwa Rais Wetu Mpendwa Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania...
Salaam Nyingi Zikufikie Hapo Ulipo. Natumai nawe umepumzika kwa namna fulani katika kipindi hiki cha mwisho wa mwaka, kama ambavyo sisi tumepumzika hapa Serengeti National Park.
Nisikuchoshe sana Mh. Rais..
Maombi Yangu Ni Haya...
BREAKING NEWS NJOMBE.
George Sanga na Wenzake wawili waliokuwa wanatuhumiwa kwa kesi ya mauaji wamechiwa huru na Mahakama.
Mungu ametenda haki imeshinda
George sanga na wenza wameachiwa huru Mahakama Kuu - Njombe
Wakili Dickson Matata, Joseph Mbilinyi wazungumza
Njombe. Mahakama Kuu Kanda...
Wanabodi,
Hii story ya Sultan wa Zanzibar kurejea Zanzibar
Ni fake news. Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni
Jana baada ya kuisoma na kuchangia, nilipandisha bandiko la maoni yangu.
Kaka yangu mmoja kutoka Zanzibar, Kaka Chale, akanipigia simu...
At least 15 people have been arrested for allegedly vandalising standard gauge railway (SGR) and electricity infrastructure.
Among those arrested are a Chinese national and a Kenyan, according to Railway Police Unit commander Gallus Hyera. Thirteen suspects have already appeared in court.
The...
Kituo Cha televisheni Cha ABC kimeamua kukubali kumlipa Rais Donald Trump kiasi Cha Bilioni 37 za kitanzania kama fidia ya kumchafulia jina Rais huyo mteule wa Marekani. Rais mteule Donald Trump aliamua kufungua kesi dhidi ya ABC baada ya mtangazaji wa ABC Bwana George Stephaphoulous kutangaza...
Muda mchache uliopita Rais wa Korea kusini ametangaza Hali ya hatari na kusema kuanzia Leo serikali inaongozwa chini ya sheria ya kijeshi, amevunjwa Bunge , vyombo vyote vya habari vipo chini ya serikali, hakuna maandamano Wala shughuli zozote za kisiasa.
Inasemekana wabunge wa upinzani ambao...
Mkuu wa wilaya ya Karagwe Kalanga Lisser,amedhibitisha kutokea ajali ,katika eneo la Kiyanga wilayani humo.
Dc Kalanga,ameongea na kasibante radio Bukoba,ambapo amesema kuwa kwa sasa hawezi dhibitisha vifo ni vingapi na majeruhi ila ajali ni mbaya.
Amesema kuwa roli likiwa limebeba...
Wadau hamjamboni nyote?
IDF itafanya shambulizi kubwa la ndege maeneo hayo
Wakazi wakae umbali mita 500
Jisomeeni wenyewe hapo chini kwa kimombo na kiarabu
November 13, 2024
IDF issues evacuation warning for 6 Beirut buildings ahead of strikes against Hezbollah
By Emanuel Fabian Follow...
Wadau hamjamboni nyote?
Hotuba nzito mbele ya bunge la Israel
Waziri Mkuu Benjamin Netanyau
Iran kamwe haitoruhusiwa kumiliki silaha za nyuklia
Israel itaendelea kusaini mikataba ya amani na nchi za kiarabu
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
Netanyahu says Israel’s strikes on Iran...
Wadau hamjamboni nyote?
Kikao cha Baraza la mawaziri Israel hakitofanya kwenye ofisi ya Waziri Mkuu Yerusalemu wala kwenye makao makuu ya IDF Tel Aviv kama ilivyo desturi kwa sababu za Usalama
Mawaziri wamearifiwa leo asubuhi kuwa kikao hicho kitafanyika eneo Salama
Hawaruhusiwa kuja na...
Wadau hamjamboni nyote?
Wakati mvutano unaendelea huko Mashariki ya Kati kufuatia mashambulizi ya kisasi ya Israel dhidi ya Iran, Marekani imeionya Tehran dhidi ya mipango yoyote wa kulipiza kisasi.
Pentagon imesema kuwa mashambulizi ya Israel ya Jumamosi yanakusudiwa kumaliza uhasama kati ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.