Wadau hamjamboni nyote?
Hezbollah yaanza kujibu mapigo kibabe
Taarifa kamili hapo chini:
Two Israeli reservists were killed and three others were wounded on Tuesday, as the Israeli military battled Hezbollah in Lebanon and the Iran-backed terror group fired dozens of projectiles at north...
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
Mungu ibariki nyumba ya Yakobo
October 23, 2024
IDF: Prominent member of Hezbollah drone unit killed in airstrike
By Emanuel Fabian Follow
Today, 9:12 am
A prominent member of Hezbollah’s drone unit was killed in an Israeli...
Wadau hamjamboni nyote?
Jeshi la Israel halipoi hata kidogo na muda tayari yule Naibu kamanda alihusika na kurusha roketi Israel keshaliwa kichwa
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
3min ago
IDF says deputy commander of Hezbollah’s Bint Jbeil district killed in airstrike yesterday
The...
Wadau hamjamboni nyote?
Hiyo ndiyo Hali halisi huko Iran Kila siku wafungwa 5 wananyongwa
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
Iran executes 92 prisoners in 17 days, rights groups say
2 hours ago
Share
At least 92 prisoners have been executed in Iran since the start of October, averaging...
Wadau hamjamboni nyote?
Mkuu wa majeshi ya Israel Luteni Jenerali Herz halev ametembelea vikosi vya Jeshi hilo huko Milima ya Golan
Asema kuwa Hezbollah kila siku inazidi kusinyaa na kusinyaa. Wapiganani zaidi ya 1,500 wameuawa tokea Israel ianze operesheni za kijeshi Lebanon
Asema Hezbollah...
Wadau hamjamboni nyote?
Hamas nyoosheni mikono mjisalimishe!
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
---
Gallant calls on Hamas fighters to surrender, release hostages following Sinwar killing
Defense Minister Yoav Gallant calls on Hamas fighters to release the hostages and surrender following...
Wadau hamjamboni nyote?
Hajulikani nani aliyetoa taarifa hiyo iliyoleta taharuki hiyo ila hadi muda huu ofisi hizo huko Beirut zimebaki tupu baada ya Wafanyakazi wote kukimbia ili kuokoa maisha yao
Taarifa kamili tutawaletea
October 17, 2024
Al Jazeera office evacuated in Beirut after...
Wadau hamjamboni nyote?
IDF imesema kuwa imewakamata wapiganaji watatu wa kundi la Hezbollah wakati wa operesheni zake kusini mwa Lebanon.
Wapiganaji hao watatu wa kikosi cha Radwan walipatikana wakiwa kwenye shimoni chini ya jengo, kwa mujibu wa taarifa ya IDF.
Walihojiwa mara moja baada ya...
IDF yagundua handaki lenye Vifaa vya kivita ambayo vingetumika kufanya uvamizi na mauaji makubwa kwa Raia wa Israel.
Handaki hilo lililochimbwa na Hezbollah kutoka kusini mwa Lebanon (Ramya) liligunduliwa na IDF likiwa limechimbwa chini ya makao ya majeshi ya UNIFIL
Handaki hilo Lilikuwa na...
Wadau hamjamboni nyote?
Israel imeamua na haipoi
Kuanzia saa 2:30 usiku huu Waziri Mkuu Benjamin Netanyau ataongoza kikao maalumu cha baraza la mawaziri kujadili maandalizi ya kujibu shambulizi la makombora ya Iran hivi karibuni
Wajumbe watakaohudhuria kikao cha baraza la mawaziri (usalama)...
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
BBCIsraeli strikes killed 51 on Sunday, Lebanese health ministry says published at 07:46 British Summer Time
07:46 BST
The Lebanese health ministry says 51 people were killed across the country on Sunday by Israeli air strikes...
Wadau hamjamboni nyote?
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyau ameicharikia UN na kuitaka iondoe mara moja majeshi yake Lebanon akiashiria yamekuwa kikwazo kwenye operesheni za kijeshi dhidi ya magaidi hao.
Netanyahu amemueleza Antonio Guterres Katibu Mkuu wa umoja wa mataifa katika ujumbe wa...
Wadau hamjamboni nyote?
Shughuli inaendelea huko Lebanon
Gaidi anaswa live chini ya ardhi huko Lebanon, apelekwa sehemu maalumu kwa ajili ya mahojiano
Mungu ibariki Israel
Taarifa zaidi kwa kimombo hapo chini:
October 13, 2024
IDF troops capture Hezbollah fighter in underground bunker...
Wadau hamjamboni nyote?
Tahadhari kwa wanaotumia magari ya kubebea wagonjwa almaarufu ambulance kumbe hutumiwa na magaidi ya Hezbollah!
#Times of Israel
In a separate post, Adraee reiterates an earlier call for health workers and medical teams in southern Lebanon to avoid using ambulances...
Wadau hamjamboni nyote?
Jeshi la Israel laagiza kuwa wakazi wa vijiji 22 vilivyoko kusini mwa Lebanon kuondoka kwenye makazi yao mara moja na kamwe wasithubutu kurejea huko kwa Usalama wao
Kazi ya kuwashughulikia magaidi wa Hezbollah kwenye maeneo hayo ya vijiji kusini mwa Lebanon inaendelea...
Wadau hamjamboni nyote?
Serikali ya Israel yazidi kutengwa kimataifa
Serikali Nicaragua inayoongozwa na Rais mhafidhina Daniel Ortega
imetangaza kuvunja mahusiano ya kidiplomasia na Israel wakipinga uvamizi huko Gaza.
Hatua hiyo imetangazwa rasmi na Makamu wa Rais Bi Rosario Murillo ambaye...
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa mpya za Msemaji wa Hezbollah
Kwamba wao kipaumbele ni kuishinda Israel kijeshi japo wanakaribisha kwa mikono miwili juhudi zote za ndani na nje ya nchi kusitisha "uvamizi" wa Israel
---
Hezbollah says priority is defeating Israel, but open to efforts to halt...
Nchini Iran takribani lita milioni 20 hadi 50 za mafuta huuzwa kimagendo nje ya nchi kwa siku, vigogo Serikalini na Jeshi wahusishwa
Wadau hamjamboni nyote?
Huu ni utafiti kuhusu biashara ya magendo ya mafuta nchini Iran na uhusika wa Viongozi waandamizi kisiasa na kijeshi kufanikisha biashara...
Wadau hamjamboni nyote?
Jeshi la Israel limefanya shambulizi Jirani na ubalozi wa Iran uliopo Damascus Syria na kumuua Jenerali Mohammad Reza Fallahzadeh ambaye ni naibu kamanda kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran
Shambulizi hilo lililotokea katika wilaya ya Mezzah huko Damascus, lilisababisha...
October 11, 2024
LATEST UPDATES ON WAFIW SAFA CONDITION FOLLOWING IDF AIRSTRIKE IN BEIRUT
Report: Hezbollah official Wafiq Safa in critical condition after airstrike in Beirut
Today, 1:55 pm
13
Sky News Arabia reports that Hezbollah’s Liason and Coordination Unit chief Wafiq Safa is in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.