Wadau hamjamboni nyote?
Magaidi watano wenye uraia wa Israel na asili ya kiarabu wamenaswa wakipanga kulipua majengo makubwa zaidi ya kibiashara jijini Tel Aviv
Yasemekana mpango huo haramu.ambaomkama ungefanikiwa ungeleta madhara maafa makubwa walifadhiliwa na magaidi wa kundi hatari la...
Kwa mujibu wa vyombo mbali mbali vya habari vimesema kwamba Israel inajiandaa KUISHAMBULIA Iran apo kesho Oct 07
Kama kumbukizi ya shambulio la Oct 07 lililofanywa na hamas Kule Israel,
Tayari wakuu wa kijeshi wa Israel walikutana na kupanga mipango ya kuishambulia Iran kesho tar 07...
Wadau hamjamboni nyote?
Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei anatarajiwa kuongoza sala ya Ijumaa na kutoa hotuba ya hadhara ambayo wengi wanadhani inaweza kueleza mipango Iran baada ya shambulio kubwa la kombora dhidi ya adui yake Israel.
Hotuba hii adimu ya Khamene itakiwa ni ya...
Wadau hamjamboni nyote?
Kikao kizito sana kinaendelea muda huu.
Tuombe Mungu atuvushe salama
Wajumbe:
Mkuu wa shin bet Ronan Bar
Mkuu wa Mossad David Barnea,
Waziri wa ulinzi Yoav Galant
Mkuu wa majeshi Luteni Jenerali Harzi Halevi
Mnadhimu Mkuu Meja Jenerali Roman Gropman
Wanajeshi 30 wa Israel WAMEUWAWA leo Huko Lebanon kufuatia shambulizi la kushtukiza yaani ambush lililofanywa na Hezbollah,
Hezbollah waliwavamia wanajeshi wa Israel ghafla na kuanza mashambulizi ya kurushiana RISASI kitu kilichopelekea kuuwawa Kwa wanajeshi hao,
Israel Bado haijatoa taarifa...
Wadau hamjamboni nyote?
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Israel naftal ameishauri Israel kusambaratisha kinu cha kuzalisha nyuklia pamoja na mfumo mzima wa kuzalisha nishati nchini Iran.
Ameongeza kuwa Israel wamepata fursa muhimu sana katika kipindi Cha miaka zaidi ya 50 cha kuweza kubadili sura ya...
Wadau hamjamboni nyote?
Mungu ibariki Israel
Taarifa rasmi ndiyo hiyo
99% yamelipuliwa angani, kudondokea baharini au sehemu isiyokusudiwa
Yale matoi yaliachwa yaelee angani kwa muda na kisha kusambaratishwa
Ukitazama video yake utacheka
Live Update arrow right icon From the Liveblog of...
Press Tv live breaking news. Hezbollah wanasema Wamepiga direct hit Beit Saida, Yifta Kibbutz Zaoura Base then wamekimbia kusiko julikana.. naona wana mbinu kama za Hamas.
Jeshi la Serikali ya Lebanon limeanza kuondoka maeneo ya Mpakani na Israel kuwafungulia njia IDF wao wanasema hawahusiki...
News alert Netanyau awaahidi watu wa iran kuwa nchi yao itakuwa huru hivi karibuni , asema wataishi nao kwa amani kama ilivyokuwa zamani
Waziri Mkuu huyo amewaambia watu wa Iran wasiruhusu kikundi kidogo cha wabakaji kukandamiza matumaini yao na kuua ndoto zako.
Ameongeza kuwa Watoto wa...
Wadau hamjamboni nyote?
Makomandoo wa IDF wameanza kulipua mahandaki yanayotumiwa na magaidi wa Hezbollah huko mpakani mwa Israel na Lebanon
Ni maandalizi ya uvamizi kamili unaotarajiwa muda wowote kuanzia sasa.
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
Israeli troops have entered Hezbollah...
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
In first address since killing of leader Hassan Nasrallah, Hezbollah deputy chief Naim Qassem says group is ready for any Israeli ground invasion, will select new head based on existing mechanism.
https://aje.io/ohd77t
1 hr 53 min ago
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
1 million people displaced in Lebanon, prime minister says
One million people in Lebanon have “moved from place to place in just a few days,” the country’s caretaker Prime Minister Najib Mikati said on Monday as...
Hezbollah chief Nasrallah’s fatal underestimation of Israel
Hezbollah chief Hassan Nasrallah has miscalculated, and in the process dragged Lebanon into a bloodbath that the already impoverished, isolated, and desperate Lebanese can ill afford. The world is trying to help him save face, although...
Wadau hamjamboni nyote?
Serikali ya Marekani inatuma vikosi vya wanajeshi wake huko Mashariki huku Hali ya Usalama ikiwa tete
Bado haijajulikana vikosi hivyo vya wanajeshi wake vinaenda kusaidia upande upi, kwa malengo gani na kwa Idadi ipi.
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
US...
Kizazi kipya kwa maendeleo ya taifa!
Vijana tunaungana na kutoa msimamo rasmi wa kumuunga mkono Mhe. Rais Samia kwa uongozi wake mahiri na jinsi alivyowekeza kwa vijana na kuwataka wanasiasa na wanaharati kumaliza mambo yao kwenye meza ya mazungumzo. Wasitumie vijana vibaya na kuwapotosha.
Pia...
Wadau hamjamboni nyote?
Myahudi hajapoa kama unadhani hivyo nikupe pole
Mara tu baada ya Sabato ya kiyahudi kuisha IDF wamefanya mashambulizi mapya makali usiku huu yakilenga shabaha maeneo takribani 180
Taarifa kamili hapo chini
New wave of strikes in Lebanon as Israel braces for potential...
Msanii namba moja Africa na mfanyabishara millionea Diamond Platnumz siku ya jumatatu 23 September 2024 ataachia wimbo mkali sana level za kimataifa.
Kwa sasa watanzania wote macho na masikio wameelekeza kwenye ujio huu wa diamond unaokuja kikubwa.
Je ni wimbo upi ataachia holiday au upi...
Wadau hamjamboni nyote?
Huwezi amini lakini huo ndiyo ukweli kuwa hali bado ni tete huko Iran
Huku hofu dhidi ya Israel ikiendelea kumeibuka tatizo jipya tena zito
Ziwa kubwa kabisa huko nchini Iran katika hali isiyo ya kawaida limekauka mazima pamoja na juhudi kubwa za kulijaza maji mwaka...
Wadau hamjamboni nyote?
Ahmed Wahabi aliongoza Idara nyeti ya mafunzo ya kigaidi ya Hezbollah
Mungu ibariki Israel
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
One of those named by Hezbollah, Ahmed Wahabi, is identified by the terror group as a “commander.” Hezbollah rarely refers to its senior...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.