ngono

  1. Roving Journalist

    Rushwa ya ngono sasa ni uhujumu Uchumi, ukikamatwa hakuna faini, ni kifungo miaka 20

    Habari wakuu, Leo TAKUKURU imefanya Kikao na Wadau wa habari kuhusu kampeni ya kupambana na rushwa ya ngono ijulikanayo kama Vunja Ukimya Kataa Rushwa ya Ngono. Akiongea katika kikao hicho, Mwasheria wa TAKUKURU, Imani Nitume amesema kwamba kifungu Cha 7 cha PCCA kimeainisha majukumu ya...
  2. lembu

    If a woman has sex with a man, his DNA lives in her forever

    -If a woman have sex with a man, his DNA lives in her forever. A research by university of Seattle USA has proven that. There is now a greater understanding of why God asks us not to have sex before we get married. This research proves that any man, that a woman has sex with leaves a part of...
  3. MILL8

    Nimetimiza miaka 9 bila kufanya ngono

    Hebu imagine ndo wewe sasa mda wote huo hujawahi fanya mapenzi, ungejisikiaje? Leo mwana JF mwenzenu natimiza miaka tisa bila zinaa, mwaka wa 2009 ndo ulikuwa mwaka wangu wa mwisho kufanya mapenz... Ni miaka mingi sana kwa mwanadamu kutofanya mapenzi wengi wenu mtanibeza wakati wengine hata...
  4. donlucchese

    Wadada muwe waaminifu mnapoazima fedha toka kwetu wanaume

    Habari za wakati huu wakuu, Kama kichwa kinavyojieleza, natoa rai kwa wadada (wanawake) wote kwamba mnapoazima fedha kwa marafiki zenu wa kiume, muwe waaminifu katika urejeshaji. Kuna dada mmoja ambaye ni colleague wangu kazini, majuzi mida ya saa tano usiku nikashangaa...
  5. Nyoka_mzee

    ‘Hakuna kufanya mapenzi mpaka ndoa!’ Wanawake wengi wanabugi kwa sharti hili

    Naomba ifahamike wazi linapokuja swala la kufanya sex mwanamke anaweza kuvumilia kutofanya sex kwa muda mrefu, tofauti na mwanaume. Nimekutana na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wakilalamika kuwekewa masharti haya magumu na watoto wa kike la kutokufanya mapenzi mpaka ndoa. Kidini na...
  6. huku kwetu

    Nimeachwa, najikuta natamani kila mwanaume

    Habari wana JF, Mimi ni msichana wa miaka 24, nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tumedumu kwa miaka mitatu, bahati mbaya mwenzangu akawa ananichit kwa kuanzisha uhusiano na ex wake, na mpaka nilipokuja kugundua ikabidi tubroke na mimi. Kwa hiyo kutokana na hali hiyo nimekuwa single kwa muda...
  7. Janjawidi

    Unakumbuka nini siku ya kwanza kufanya ngono?

    Kwa kweli mimi binafsi hiyo siku sikumbuki chochote ila najua hiyo siku ilikuwepo. Demu wangu wa kwanza simkumbuki ila nakumbuka zamaaaniii enzi za utoto za kucheza baba na mama. Mvua hizi ndo zinafanya watu tuwaze mengi...tukumbukie hapo unakumbuka nini wewe?
Back
Top Bottom