ngono

  1. Mkalukungone mwamba

    Asilimia 95 ya vijana nchini humiliki video za ngono kwenye simu

    Vijana vijana vijana! Nimewaita mara 3 kumbe hali ndiyo ipo hivi kuwa umiliki wa video za ngono ni mkubwa kuliko kumiliki maarifa mazuri na pesa. Mbona hii ni balaa sana! =================== Imeelezwa kuwa zaidi ya asilimia 95 ya vijana nchini wameathiriwa na ukuaji wa kasi ya teknolojia ya...
  2. M

    DOKEZO Unyanyasaji na Rushwa ya ngono vinawaathiri Wanawake Wafanyabiashara Stendi ya Kuu ya Magufuli (Dar), Serikali ifuatilie haya madai

    Nilifika katika Kituo cha Mabasi cha Magufuli, Mbezi, Dar es Salaam, nikapata nafasi ya kuzungumza na Wanawake wajasiriamali wanaofanya kazi katika eneo hilo. Wanawake hawa, wanaojishughulisha kama mamalishe, Wabeba mizigo, makarani na wauzaji wa vinywaji, walinishirikisha changamoto nyingi...
  3. B

    Kupata upendo/ Mapenzi sio pesa lakini kupata ngono ni pesa

    Hii natoa testimony 5 ambazo zitakudhirishia mapenzi sio pesa 1. Mpenzi wa kwanza. Wakala wa pesa kupitia mitandao ya simu. 👉Huyu demu mimi nilikua naenda kuweka miamala na Sina maisha miamala yangu ilikuwa haizidi elfu kumi (alifunguliwa duka LA huduma za fedha mkoa x na jamaa ake) nilikua...
  4. Makonde plateu

    Hivi kuna ukweli kwamba ukifanya ngono na baadhi ya wanawake wanakuachia nuksi na laana?

    Wakuu hivi kuna ukweli kwamba ukifanya ngono na baadhi ya wanawake au ukifanya ngono na hawa dada poa unaweza kupata laana na nuksi ambao inaweza kupelekea mambo yako yako kwenda mlama? Sasa ninachojiuliza hizo laana na nuksi wanazipataje? Kwanini wasipewe watu wengine ila ni wao? Na utajuaje...
  5. Carlos The Jackal

    TAMISEMI ili la kuacha Halmashauri ziwapangie Ajira Mpya vituo vya kazi, limezalisha Rushwa ,hususan Rushwa ya Ngono !!

    Sijui Hilo wazo alilitoa nani, ni wazo la kijinga kupindukia. Nani asiyejua Halmashauri zetu zilivyo?. Mdogo wangu ananipigia simu, Brother Kuna MTU hapa ananilazimisha mapenzi ndio Sasa anipangie Kituo kilicho Maeneo ya Mjini. Mdogo wangu anaenda mbali anadai, Kuna Rafiki yake katembea na...
  6. Rorscharch

    Umewahi kutana na mtu ambaye mawazo yake muda wote yamekaa kingono tu?

    Katika safari ya maisha, mara nyingi hukutana na watu wa tabia tofauti, kila mmoja akiwa na changamoto zake. Wapo watu ambao mawazo yao yanaweza kuelekezwa kwenye masuala maalum kama kazi, familia, au maendeleo binafsi. Lakini pia wapo ambao, kutokana na sababu mbalimbali, maisha yao huzungukwa...
  7. G

    Maksi za Chupi zamponza Mhadhiri / Lecturer, Jela miaka 20 kwa kosa la kuomba Ngono ili kumfaulisha mwanafunzi wake

    Tatizo hili limekuwa sugu sana, Karibu kila chuo kuna wahadhiri hunyanyasa mabinti kwa kutumia kisingizio "Mwalimu na mwanafunzi wa chuo wote ni watu wazima" wengine wamewahi kufumaniwa baada ya wanafunzi kupeleka ushahidi wa kunyanyaswa lakini wanaishia kuhamishwa vituo vya kazi, kuonywa au...
  8. BabaMorgan

    Tusingekuwa tunaangalia video za ngono Kuna vingi tusingevijua

    Kuna vitu tulipaswa tusivione wala kuvijua kabisa kwa usalama wetu kwa bahati mbaya au nzuri likaja jitu linaloitwa mtandao(INTERNET) lijuzi la kila kitu kuanzia mazuri mpaka mabaya ingekuwa zama za kina Adam na Hawa basi lile tunda la kati ndio internet yenyewe. Porno zimeimpact lifestyle ya...
  9. Waufukweni

    Rais wa Guinea Ikweta, amteua Zenón Avomo kurithi Mikoba ya Baltasar Engonga, aliyeng’olewa kufuatia kashfa ya video za ngono 400

    Zenón Avomo ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa Shirika la Kitaifa la Upelelezi wa Fedha (ANIF) akichukua nafasi ya Baltasar Engonga, aliyeng’olewa kufuatia kashfa ya ukiukaji wa maadili katika ofisi ya umma. Kashfa hiyo iliibuka baada ya uchunguzi kubaini uwepo wa video zaidi ya 400...
  10. Yesu Anakuja

    Jihadharini na connection za ngono zinazorushwa

    HABARI ZA LEO NDUGU ZANGU WATANZANIA NA WASIO WATANZANIA! Leo kuna jambo la msingi sana naomba kushirikiana nayi, ni muhimu sana kama utazingatia. Sio Tanzania tu, na sio Africa tu, ni dunia nzima, pamekuwa na tabia ya kusambaziana leaked pornographic videos, wengi wanaziita connections. Kwa...
  11. Zegota

    Mamlaka za kiafrica ni kama zimelaaniwa. Kulikuwa na haja gani serikali za Equatorial Guinea kuvujisha video za ngono

    Wakuu habarini. Hizi serikali zetu ngozi nyeusi zinapenda sana mambo ya kipuuzi ili kuzima ajenda zao Kwa wananchi Kwa serikali yenye watu wenye akili kulikuwa na haja gani ya kuvujisha zile video za ngono? Walienda kuchunguza kashfa za rushwa? Kwa nini baada ya kukutana na hizo video...
  12. G

    Hapa BONGO kuna zaidi ya uchafu wa Equatorial Guinea. Ni vile tu sheria haziruhusu kuweka video za ngono mitandaoni

    Watanzania wanajitia kushanga namna Baltasar alivyoweza kuwatafuna wanawake wenye kazi zao ama wake za vigogo 400. Hapa bongo ni zaidi ya Equatorial Guinea, ni vile tu sheria zetu zimekuwa kali na huwazuia watu kuposti video za ngono mitandaoni. Vinginevyo tungeona machafu zaidi ya hayo...
  13. Yoda

    Kwanini wanaume wanapenda kufanya mapenzi na wanawake wengi tofauti wakati wanawake ni kinyume chake?

    Kwa nini wanaume wanapenda na huona furaha au ufahari kufanya ngono/mapenzi na wanawake wengi tofauti tofauti wakati wanawake wao hupendelea kuwa na mpenzi mmoja tu au wachache? Wanawake wachache ndio huwa na michepuko isiyo ya kuchuna , wengine wengi wanaofanya mapenzi na wanaume tofauti mara...
  14. S

    Usiposhiriki ngono unakuwa umeyamudu maisha kwa asilimia 50% unabakiza kupambania 50 kirahisi

    Habari wapendwa! Katika maisha kila kitu kinashortcut! Hakunaga njia ndefu isiyokuwa na shortcut! Mimi ni moja ya waumini wa kutafta shortcut! Yaani mimi li unipitishe njia ndefu huwa ni lazima nichungulie hatari ya kupita shortcut kama nazimudu au la! Ndiyo maana nina imani iko siku tutapata...
  15. T

    Udhalilishaji wa ngono utaisha lini

    Kila siku kunatolewa taarifa za udhalilishaji baada ya kupungua ndio unaongezaka Hukumu zinaongezwa lakini bado binaadamu hawashituki na hukumu hizo Wadau wanaweka makongamano kujadili hili ili wajuwa tatizo ni nini bado wana majibu yale wanawake hawajistri,mporomoko wa maadili...
  16. W

    Msamimamizi wa 'DayCare' akamatwa kwa kutumia Watoto kutengeneza video za ngono

    Mwendeshaji wa kituo cha kulelea watoto Kiambu afikishwa mahakamani kwa kutumia watoto kutengeneza video za ngono Mwanamke anayesimamia kituo cha kulelea watoto katika Soko la Wangige, Kaunti ya Kiambu, amekamatwa kwa tuhuma za kuwadhulumu kingono watoto wadogo. Kulingana na nyaraka za...
  17. Daata

    Je, UTI ni ugonjwa wa ngono?

    Wasalaam Sana wajumbe. Kumekuwa na dhana iliyojengeka miongoni mwa wanajamii kuhusu ugonjwa wa Urinary Track Infection UTI ambao unawakumba watu wengi nyakati hizi bila kujali umri wala mazingira anayo kaa mtu. Je UTI ni ugonjwa unaoambukizwa kwa kujamiiana.? Nauliza hivi kwa Sababu Kuna msemo...
  18. Tajiri wa kusini

    Nafikisha mwezi wa tatu sijashiriki ngono zembe tokea nimeapa kuachana nayo na mwaka sasa bila kupiga nyeto! Inawezekana

    Kila kitu kinaanza kwa kuamua kama mimi nilivyoamua kuacha kufanya ngono zembe kwa kuogopa radhi za mwenyezimungu na kuamua kumrudia mungu kisawasawa na kuacha kupiga nyeto huu mwaka sasa unakaribia pia ni kuogopa radhi za mwenyezimungu na kuepuka nuksi za hovyo hovyo kwa kufanya ngono zembe kwa...
  19. Yoda

    Vijana wa kike wengi wa Tanzania kuongelea mapenzi, mahusiano na ngono zaidi inaashiria nini?

    Kuanzia kwenye mitandao ya kijamii kama Twitter, Instagram hata hapa JF hadi mtaani nimekuja kugundua vijana wa kike wengi bongo mazungumzo yanayowashughulisha na kuwaweka busy zaidi ni mahusiano, mapenzi, ndoa na ngono. Ni wanawake vijana au mabinti wachache sana utakuta wanaongelea siasa...
  20. GENTAMYCINE

    Mtumbwi wazama Ziwa Viktoria, mmoja afariki sita hwajulikani walipo

    Watu sita wanahofiwa kufa maji, huku mwili mmoja ukiopolewa baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kuzama ndani ya Ziwa Victoria. Watu hao walikuwa wakitoka kwenye harusi Kijiji cha Mwiruruma, kuelekea katika kitongoji cha Bulomba Kijiji cha Igundu wilayani Bunda Mkoa wa Mara. Mkazi wa Kijiji...
Back
Top Bottom