Chimamanda Ngozi Adichie ( (listen); born 15 September 1977) is a Nigerian writer whose works range from novels to short stories to nonfiction. She was described in The Times Literary Supplement as "the most prominent" of a "procession of critically acclaimed young anglophone authors [who] is succeeding in attracting a new generation of readers to African literature".Adichie has written the novels Purple Hibiscus (2003), Half of a Yellow Sun (2006), and Americanah (2013), the short story collection The Thing Around Your Neck (2009), and the book-length essay We Should All Be Feminists (2014). Her most recent book, Dear Ijeawele, or A Feminist Manifesto in Fifteen Suggestions, was published in March 2017. In 2008, she was awarded a MacArthur Genius Grant.
Wanajamii poleni na msiba wa taifa...
Kama mada inavyojieleza, ni ipo tiba ya m'ba kwenye ngozi, mimi nasumbuliwa na m'ba mara kwa mara.
Yaani ni kama nina allerg ya ngozi, nikitumia dawa za kupaka wanaisha baada ya mida wanarudi tena.
Nimegundua hili tatizo lipo ndani ya mwili inahitajika...
Mnamkumbuka kwenye stori ya Khumbu niliwaambia nikiwa Durban kuna wasichana takribani 5 nilijihusisha nao ukiachilia Khumbu?
Sasa kulikuwa na kasichana kamoja english figure, kilikuwa na ngozi nzuri balaa. Ukikavua nguo huchoki kukaangalia. Kalikuwa na mvuto wa ajabu. Kalikuwa na ngozi kama...
Unakuta mtu anamtembelea rafiki yake, akitoka kuoga anakuta taulo kwenye kamba analichukua na kutumia, utamsiki “huyu wangu sana “. Watoto wakiwa boarding school, taulo linaweza kula vichwa vitatu bafuni.
Hata hizi hotelini kama unaweza safiri na taulo lako. Fikiria hoteli haina mashine ya...
Hon Dr Ngozi Okonjo- Iweala from Nigeria is appointed as the next WTO Director General. Dr Okonjo Iweala makes history as the first woman and the first African to lead the WTO.
Her term stars on the 1 /03/2021.
======
Nigeria’s Ngozi Okonjo-Iweala was appointed the seventh...
Roho yakimasikini ni nini?
Roho yakimasikini niroho ambayo haipendi hau haifurahi pindi mtu akifanikiwa au akiwa na kitu yeye hana. Roho ya umasikini umuhaminisha mtu kuwa bila yeye hakuna kitakacho endelea na yeye ndio yeye hakuna wa haina yake. Mawazo haya finyu na yakimasikini humfanya mtu...
Mara nyngi naona humu watu wana mawazo km haya, tena sio humu tu karbia watu wngi weusi wana mawazo haya hasa watanzania ati wazungu wanapenda sana anal sex. Wanamini km msichana akiwa na relationship na mzungu au ngozi nyeupe lazma atakua anafanya anal.
Wanachukulia kama vile hakuna ngozi...
Cha kwanza niwafahamisheni kuwa , kuanzie leo ondoa mawazo yako kuwa ili uwe na ngozi yenye afya ni lazima uwe na vipodozi vingi.Bali baadhi ya vipdozi havipendani na vingine, ukazidi haribu ngozi yako.
Leo nakupa mambo 5 ya kuzingatia, hata ukitumia mafuta aina moja tu, utakuwa na ngozi...
Namshukuru Mola tumeweza kwa muda wa miaka 5 kuzalisha na kusambaza mikoani bidhaa 5 za ngozi na nywele. Sasa wingi wa oda kwa mawakala wa mikoani, unafanya tushindwe kuwahudumia kwa wakati kwa upungufu wa mtaji.
Tumeweza zalisha bidhaa 5 ambazo ni
1.Udongo tiba
2. Sabuni za udongo
3.Lotion...
Wanawake wa Kawe wameapa kulinda heshima ya Kawe kwa kutoruhusu hilo jimbo kuangukia mikononi mwa tapeli wa kimataifa aliyejivika ngozi ya udini. Wamemhakikishia Mwenyekiti wao wa Taifa, Mhe. Halima Mdee, kuwa kura zote za wakazi wa Kawe ni zake.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli anazindua kiwanda cha bidhaa za ngozi kilichopo mkoani Kilimanjaro. Rais ameshafika na kwa sasa ni wimbo wa Taifa kabla ya kuanza shughuli Rasmi. Kuwa nami.
======
TAARIFA FUPI YA MRADI
Mkurugenzi PSSF: Ujenzi wa mradi huu ni utekelezaji...
Namshukuru tumeweza kwa muda wa miaka 5 kuzalisha na kusambaza mikoani bidhaa 5 za ngozi na nywele. Sasa wingi wa oda kwa mawakala wa mikoani, unafanya tushindwe kuwahudumia kwa wakati kwa upungufu wa mtaji.
Tumeweza zalisha bidhaa 5 ambazo ni
1.Udongo tiba
2. Sabuni za udongo
3.Lotion
4...
Habari wadau,
Mimi kiasili nina ngozi nyeupe lakini hivi karibuni ngozi yangu ya usoni imeanza kupotea hivi, imekuwa kama maji ya kunde hivi, wakati kwingine kote imebaki kuwa ngozi yangu nyeupe. Kwahiyo naombeni msaada, ni mafuta gani nitumie kwa usoni nirudishe ngozi yangu nyeupe?
Klinik Ya Ngozi BURE Online Wiki Hii
Dr.Mussa Zaganza nimekuwa kwa muda mrefu nikiwasaidia watanzania ushauri wa kutunza ngozi zao kwa njia za asili.Na Wiki Hii nimeandaa klinik ya ngozi kupitia group la whatsapp ambapo utapata kujifunza yafuatayo:
Makundi 4 ya ngozi,jinsi ya kuipima ngozi...
Ngozi ya watu weusi inachelewa kuonyesha dalili za uzee ikiwemo kukunjana. Hii ni kutokana na maumbile yetu.
Tukiweza kuimarisha huduma zetu za afya tunaweza kuishangaza dunia kuweza kuishi kufikia miaka 150.
Aging Differences in Ethnic Skin
Neelam A. Vashi, MD, Mayra Buainain De Castro...
Ofisi ya Waziri mkuu imeziagiza Jeshi la Magereza nchini na Mfuko wa hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF),zinazotekeleza kwa pamoja mradi wa zaidi ya shilingi bilioni 75 wa kiwanda cha bidhaa za ngozi eneo la Karanga,Moshi,Mkoani Kilimanjaro,ambao umefikia asilimia 95 kuhakikisha...
As mentioned above, je ni kweli kuwa hawafi bali hutwaliwa? au hupotea? ni nanai kati yetu humu amewahi kuhudhuria mazishi ya albino, mbali na wale wanaofanyiwa ukatili wa kutisha? nimeuliza hili swali Africa kusini yote! jibu ni hawajawahi kushuhudia mazishi ya albino!
Je ni kweli...
Ndugu zangu! nafikiria kuanza biashara ya kuuza ngozi ya mamba nchi za nje! Mimi ni mwenyeji wa kutoka wilaya ya Ludewa ziwa nyasa. Mwezi wa kumi na mbilli nilikwenda likizo ziwani na kushuhudia vifo vya watu zaidi ya watatu wakiliwa na mamba hapo kwetu.
Nilifanya utafiti mdogo na kuona kuwa...
Serikali imewakataza wafugaji kuweka alama kwenye ngozi za mifugo yao hasa ng’ombe kwani kufanya hivyo kunashusha thamani ya ngozi za Tanzania, na badala yake imewataka waweke alama za hereni kwenye masikio ya mifugo yao ili kulinda ubora wa ngozi za mifugo yao.
Hayo yamesemwa na Waziri Mkuu...
Habari zenu warembo na watanashati wa jukwaa letu pendwa la urembo mutindo nk.
Kutokana na maombi mengi ya uko PM ya waungwana wenzangu kutaka kujua namna ya kutengeneza lotion nzuri za kuipa ngozi weupe nikaona sio mbaya kama nitaleta uzi wenye kuelezea namna ya utengenezaji lotion yenye...
Rangi ya ngozi ya Adam ilikuwa reddish-brown (kama mfinyanzi wa reddish-brown).
Rangi ya ngozi ya Ham ilikuwa ni nyeusi.
Rangi ya ngozi ya watoto wa Ham (Cush, Mizraim, Phut na Caanan) ilikuwa ina range from nyeusi sana to nyeusi maji ya kunde.
Waisraeli wa zamani walikuwa watoto wa Shem...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.