Habari wadau leo tudiscuss hii kauli
Nadhani kuna ushahidi wa kutosha sasa kwamba kwenye ule mstari camel hakuwa ngamia bali ni kamba na viongozi wamekuwa wabishi kutengua io kauli wakihofia kuonekana vilaza, wamekazania eti ni rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la si ndano kuliko tajiri...
KWA NINI NI RAHISI MWANAMKE KUGUNDULIKA ATOKAPO NJE YA NDOA?
Hakika mwanamke ni rahisi sana kugundulika endapo anatoka nje ya ndoa, kwa sababu Mwenyezi Mungu amemuumba mwanamke aishi na mwanamme mmoja tu, na hakumpa kabisa uwezo wa kuonyesha mapenzi kwa watu wawili tofauti kwa kiwango sawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.