nia

  1. Jensen salamone

    Hatuna nia ya dhati kukabiliana na COVID-19

    Asubuhi na mapema leo Serikali imesitisha mbio za mwenge mwaka huu 2020 kama moja ya strategy za kukabiliana na ugonjwa wa Corona, COVID-19. Nakubaliana na uamuzi huo lakini hatujajipanga! Tumesitisha mbio za mwenge ila mipaka ya nchi ipo wazi kuruhusu wageni kuingia na kutoka! Kama hiyo...
  2. Miss Zomboko

    Uganda: Aliyekuwa Waziri akamatwa wiki 1 baada ya kutangaza nia ya kugombea Urais

    Presidential aspirant Lt Gen Henry Tumukunde has been arrested. He was arrested on Thursday evening from his office on Impala Avenue in Kololo by a combined team of the elite Special Forces Command (SFC) soldiers who guard the president and Counter-Terrorism Unit officers. The security agencies...
  3. Kifwimbo

    Natia nia ya kugombea uongozi kwenye chama cha ACT-Wazalendo

    🖐NAMI NATIA NIA🖐. Nianze kwa kuwapa pole ndugu zetu wa mikoa ya Lindi,tabora,Dodoma na maeneo mengine ya nchi kwa maafa ya mvua zilizopita kiwango na kusababisha maafa pole sana Ndugu zangu mwenyezi Mungu awatie nguvu na kuwapa subra katika kipindi hiki kigumu. Najitokeza hadhari mbele ya...
  4. J

    Kwa kauli hii ya Mwenyekiti wa CCM kuhusu kura za maoni, Mwita Waitara amekurupuka kutangaza nia muda bado

    Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Magufuli amewataka wanachama wa chama chake kuacha kugombana kwa tamaa ya kugombea madaraka na hasa ubunge na udiwani. Rais Magufuli amewataka wana CCM kufuata taratibu na kanuni za chama kuhusiana na kura za maoni na kwamba waepuke tabia za "kukurupuka" Rais...
  5. Luqman mohamedy

    Profesa Ndalichako aagiza uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuwachukulia hatua viongozi wa serikali ya wanafunzi

    Mama hafahamu mwenye njaa haogopi kufa, kwani hata njaa itamuua. Kuna muda nawaza hawa watu wamesomeshwa na mission nini? Hawajui njaa kabisa. Tuliopitia huu msoto kipindi kile tunaelewa. ===== Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako ameuagiza uongozi wa Chuo Kikuu...
  6. Roving Journalist

    Mzee Frederick Tluway Sumaye ajiondoa CHADEMA. Asema mambo yamembadilikia CHADEMA baada ya kuchukua fomu kugombea Uenyekiti Taifa

    Frederick Sumaye ameita waandishi wa habari leo Jumatano Desemba 4, 2019. Sumaye ameitisha mkutano huo siku chache baada ya kushindwa uchaguzi wa uenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani. Licha ya kuwa mgombea pekee, alipigiwa kura 48 za hapana kati ya kura 76. Kulingana na taratibu za chama hicho...
  7. K

    Kama Mbowe atapita, CHADEMA waulizwe wana nia na dhumuni lipi la Mbowe kuwa mwenyekiti wa maisha? Je, hawatabadili katiba watawale maisha wakishinda?

    Wapinzani waliposhindwa kusimama mbele ya CCM na mwenyekiti wake katika uchaguzi wa Serikali za mitaa wanadai hakukuwa na uchaguzi ila uchafuzi na hii si mara ya kwanza kulalamika baada ya uchaguzi. Kususia uchaguzi na chama kupita bila kupingwa ni uchafuzi kwa mantiki yao. Tuachane na hayo kwa...
  8. GENTAMYCINE

    Simba Sports Club achaneni na nia yenu ya kumfukuza kocha wetu Patrick Aussems kwani tutakuja kujuta na kulia akiondoka

    Nimezifuatilia sababu za baadhi ya Viongozi wa Simba SC na Mashabiki ' Wapuuzi ' wachache juu ya sababu zao kutaka Kocha Mkuu wa Simba SC Patrick Aussems aondoke na Kugundua kuwa zote ni za Kipopoma. Moja ya sababu ambayo hadi hivi sasa imeniacha hoi ni kwamba baadhi ya Viongozi hawamtaki Kocha...
Back
Top Bottom