nia

  1. Papa D

    Uchaguzi 2020 Mnaotangaza nia ya kugombea Urais CHADEMA kwa kutoa vipaumbele mmevipata wapi wakati chama hakijatengeneza ilani?

    CHADEMA yangu imepatwa zimwi gani linalopelekea mambo kwenda hobela hobela. Kule Tundu Lissu ameanza kuomba achangiwe pesa ya uchaguzi wakti hata hajateuliwa kupeperusha bendera ya chama. Huku Msigwa na Nyalandu wameanza kutangaza kutoa ahadi wakati chama chao akijatoa ilani ya uchaguzi...
  2. CHADEMA

    Uchaguzi 2020 Lazaro Nyalandu atangaza nia ya kuwania Urais kupitia CHADEMA

    VIDEO Courtesy: CHADEMA Lazaro Nyalandu 2020 Mabibi na Mabwana, Ndugu Wanahabari, Leo natangaza rasmi azma yangu ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA. Mapema asubuhi ya leo, nimemwandikia burua Katibu Mkuu wa Chama...
  3. Q

    Lazaro Nyalandu kutangaza nia ya Urais Leo

    Mwanachama mwandamizi wa Chadema , Mjumbe wa Kamati Kuu na Mwenyekiti wa Kanda ya Kati Lazaro Nyalandu atazungumza na wanahabari Leo saa 12 kamili jioni. Taarifa za uhakika ni kwamba mwanasiasa huyo kijana mwenye umaarufu mkubwa anatarajiwa kutangaza nia ya kugombea Urais wa Tanzania kupitia...
  4. Erythrocyte

    Uchaguzi 2020 Mchungaji Msigwa rasmi kutangaza nia Dodoma hotel Jumapili 14 Juni

    Wote mnakaribishwa Labda kwa faida ya wageni na wengine , Mchungaji Msigwa ndiye mbunge aliyekomesha siasa za kishamba Iringa mjini , huyu ndiye kiongozi aliyeifuta ccm Iringa , ambapo uchunguzi unaonyesha kwamba bei ya madiwani wa Chadema walionunuliwa Iringa inazidi bajeti ya mwaka ya wizara...
  5. Kichwamoto

    RC-Mnyeti anyooshe kauli kuhusu wanaohisiwa kuwa watangaza nia kujipitisha majimboni kwa kivuli cha misaada

    Masipota/Tareirota kwenu nyote! Wadau Kuna Clip inaonesha RC wa Mkoa wa Manyara ndugu Mnyeti akisema ni ujinga na upumbavu kuwashuku kuwa watoa misaada majimboni kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wana harufu ya kujitakirimisha. Hivi karibuni tumeshudia TAKUKURU wakiwa bize na wenye...
  6. J

    Bunge la bajeti lilikuwa kama kikao cha CCM, Ndugai kawapokea Lijualikali na Silinde huku Dr. Mpango na Ummy wakitangaza nia

    Mungu ni mwema hatimaye bunge la Ndugai linafikia tamati kwa utulivu na amani. Lakini mkutano huu wa bunge la bajeti utaacha historia ya aina yake. Mosi, wabunge watatu mashuhuri wamefariki wakati bunge likiendelea na vikao vyake. Pili, Wabunge wa Chadema wakiwa ndani ya bunge wametangaza...
  7. Erythrocyte

    Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wa DP Mkoa wa Mara, Chrisant Nyakitita ajitokeza kutangaza nia ya kugombea Urais wa Tanzania

    Mwenyekiti wa DP Mkoa wa Mara Mh Chrisant Nyakitita , leo amejitokeza mbele ya vyombo vya habari na kutangaza nia ya Kugombea Urais wa Tanzania kwenye uchaguzi wa Oktoba . Wagombea wanaojitokeza wote watapimwa na Watanzania wenyewe kuona ni yupi kati yao anafaa , ni vema vyama vya siasa...
  8. RAKI BIG

    Tetesi: Mh Tundu Lissu amewasilisha barua rasmi ya kutia nia ya kuwa Mgombea Urais kupitia CHADEMA.

    Habari wakuu. Hivi hii habari imekaaje maana naona kama Tundu Lisu sasa hiv kutokuwepo kwake kunaweza kusababiswa kushindwa kufanya vzr katika uchaguzi mwaka huu hasa kwa uapnde wake yeye mtia nia ya uraisi na isitoshe tayari chadema kama wameshapotena kwenye kasi za ubingwa wa uchaguzi msimu huu .
  9. SECRET AGENT

    Developers na wenye nia ya kujifunza changamkieni hii kitu (google Africa Developer Scholarship 2020)

    Grow with Google, Andela and Pluralsight have partnered to provide a new program to support software developers in Africa on Android, Google Cloud and Mobile Web skills development tracks. The aim of this program is to continuously engage with aspiring and existing developers to help them become...
  10. CUF Habari

    Uchaguzi 2020 Bashiri Ally mwenyekiti CUF wilaya ya Ubungo atia nia kugombea ubunge jimbo la Handeni Vijijini

    Mwenyekiti wa Wilaya ya Ubungo CUF Bashiri Ally Atia nia ya Kugombea Ubunge Jimbo La HANDENI VIJIJINI katika Uchaguzi
  11. Kadoda nguku

    Mfumo uliopo hivi sasa CCM unawapendelea waliopo madarakani kuliko watangaza nia

    Wabunge waliopo madarakani wanapita wanakutana na wajumbe wapiga kura wanagawa fedha, matishirt n.k. lakini watu wengine wanaotaka kuomba kuteuliwa nafasi hiyo ni marafuku . kwa mtindo huo ni vigumu kupata sura mpya zitakazo ingia madarakani. Hivi chama hakioni utaratibu huo unawapendelea...
  12. Pascal Mayalla

    Live from EA Radio Super Breakfast: Mtangaza Nia Urais wa JMT Kupitia Chadema, Dr. Mayrose Majinge Yuko Live, Mubashara

    Wanabodi, Wenye access fuatilieni hii Wanabodi, kiukweli huwa nasikiza Radio asubuhi mara chache sana, niwapo njiani kwenye gari, na station ninayosikilizaga sio EA Radio, lakini leo nimeamua kuisikiliza hii Redio Redio baada tuu ya kuona hili tangazo ili nimsikie huyu dada. Watangazaji...
  13. Hata Sina kinyongo

    Kwani mheshimiwa Sumaye alitishwa kwa yeye kuonyesha nia ya kugombea uenyekiti wa Chadema!?

    "Niliambiwa na Mwenyekiti wa sasa SUMU HAIONJWI"! Ni kauli ya mheshimiwa Waziri Mkuu mustaafu ndugu Sumaye punde tu alipoangushwa kwa kura za hapana mara baada ya yeye kutamka wazi baada ya uenyekiti wa kanda ya Pwani pia atagombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa ya Chadema. Hoja hapa ni kwa nini...
  14. Hata Sina kinyongo

    Kwa nia njema tu nawauliza CHADEMA na wengine mnaotaka lockdown: Kwanini msiwashawishi wanachama wenu wakae ndani hadi Corona iishe!?

    Mbowe na Zitto na wengineo mara zote wamekuwa wakitaka mamlaka za nchi ziitishe lockdown ya nchi nzima ili kuepuka uenezwaji wa janga la corona.Jambo jema. Lakini mimi nina wazo tofauti nataka kuwashauli kwa nini endapo serikali imegoma kuitisha lockdown wao wasiwashawishi wanachama wao wabakie...
  15. Cannabis

    RC Makonda: Idadi ya maambukizi imepungua Dar, kuna watu walinunua majeneza na kupiga picha ili kuzua taharuki

    Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda amesema hali katika mkoa huo inaendelea vizuri na anachofahamu ni kuwa wamemuomba Mungu na kila mmoja ameendelea kuchukua tahadhari Amesema “Kila mmoja ameweka jitihada kuhakikisha amevaa barakoa, kwenye daladala tumehakikisha watu wanapeana nafasi, watu...
  16. J

    Wenye nia ya dhati ya kumshitaki Job Ndugai tukutane hapa

    Naam wanabodi, Hakuna jambo limekera kama hili la Job Ndugai kutumia mamlaka yake vibaya. Hatua aliyo fikia siyo tu amevunja Katiba waziwazi bali pia amewafhara watanzania na kudhani kuwa hawezi kufanywa chochote. Jambo hili haliwezi kupita hivihivi. Kwahiyo kwa wale wenye nia ya dhati ya...
  17. Nigrastratatract nerve

    Kila njama yao inagonga mwamba wanashindwa kujiuliza tatizo ni nini? Nia zao mbaya zote zimefeli

    Walipoungana na ACCACIA walifeli. Maandamano ya ukuta yalifeli Walipoanzisha uchafuzi kibiti na amboni Tanga walifeli Walipoanzisha agenda ya nchi kutotawalika walifeli Walipoanzisha scandal ya Kupigwa blancons yule wa Ubeligiji ili kuleta taharuki na kuhamasisha fujo walifeli Hoja yao ya...
  18. Erythrocyte

    Umati wajitokeza kutia nia kwenye Ubunge na Udiwani kupitia CHADEMA, nafasi zimejaa kabisa

    Hii ni Taarifa kutoka kwa John Mrema ambaye ni mkurugenzi wa Itifaki wa Chadema, Ikumbukwe kwamba Chadema iliweka utaratibu kwa wanachama wake wote wanaotaka kugombea nafasi hizi kujitokeza mapema kutia nia kwenye chama chao ili usaili ( Vetting ) juu yao uanze mapema, lengo likiwa ni kutoa...
  19. J

    RC Makonda atembelea kituo cha daladala Makumbusho. Ahimiza usafi, aruhusu bodaboda, Bajaji kuingia mjini

    RC Makonda ametembelea kituo cha daladala Makumbusho na kuzungumza na wadau wa kituo hicho wakiwemo madereva, makondakta, wafanyabiashara na abiria wanaosubiri kusafiri. Makonda ameahidi zoezi la kupuliza dawa mitaani litakuwa endelevu na kuwataka wananchi wawe na nidhamu kwenye swala zima la...
  20. Chagu wa Malunde

    Mmetangaza nia ya kuanza mikutano. Je, mna nini cha kutushawishi?

    Kamanda mkuu Chadema amesema ataanza mikutano ya kunadi sera za chama chake kwa wananchi sababu zuio aliloliweka mkuu wa nchi limewafanya wakose nguvu na ushawishi. Ameenda mbali na kusema kuwa hawaogopi risasi wala mabomu (nafikiri anajua lazima zitapigwa maana anasema kule shambani ziliwaka)...
Back
Top Bottom