nia

  1. L

    Kukamatwa na kuhojiwa kwa tuhuma za rushwa watia nia wa CCM, sehemu mbalimbali nchini kunaashiria nini miaka 5 ya serikali ya awamu ya 5?

    Kila siku kupitia vyombo vya habari tunasikia watia nia wa CCM sehemu mbali mbali za nchi yetu amawanahojiwa na TAKUKURU au kukamatwa na polisi kwa TUHUMA za RUSHWA. Je, hii inamaana gani kwa utawala wa awamu ya 5?
  2. J

    Uchaguzi 2020 Polepole: Watia nia wanaotoa rushwa kote Mikoani chama kina taarifa zao, hawatapata Uongozi

    Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama kinapokea taarifa za watia nia wanaotoa rushwa kutoka kote mikoani kila siku. Polepole amesisitiza kuwa watu hao ambao majina yao yapo makao makuu hawatapewa fursa ya kugombea uongozi kamwe. Chanzo: Channel ten. Maendeleo...
  3. J

    Uchaguzi 2020 CCM Iringa yapiga marufuku watia nia ya ubunge na udiwani kuweka vipeperushi mitandaoni!

    Kamati ya siasa ya halmashauri kuu ya CCM mkoa wa Iringa imepiga marufuku watia nia wa nafasi za ubunge na udiwani kuweka vipeperushi na mabango mitaani na mitandaoni. Hatua hii inalenga kupunguza vurugu na mizaha ndani ya chama. Chanzo: Azam tv!
  4. M

    Tunaitaka TAKUKURU kufanya uchunguzi, kwanini watia nia Ubunge tunatozwa laki nne hadi sita?

    Habari wana jukwaa, Awali ya yote niombe kueleza kuwa huwa napenda kukosolewa kwa Hoja pale mtu atakaposema kuwa nimeongea sivyo au nimedanganya. Ninafahamu kuwa humu wamo ambao wameweka nia kwa ngazi ya ubunge na hivyo baadhi tayari wanafahamu kinachoendelea kuhusu nilichokiandika hapa chini...
  5. J

    Uchaguzi 2020 Namba 3: Lazaro Nyalandu achukua fomu ya kugombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, asema watahakikisha mechi wanaipeleka sawasawa

    Lazaro Nyalandu yuko live Clouds tv akiweka wazi mipango yake endapo atachaguliwa kuwa Rais wa JMT. Maendeleo hayana vyama! ======= Nyalandu: Mbowe ni mtu ambae amestahimili, amepambana na amekuwa muaminifu kwa chama hiki. Amekuwa ni kiongozi ambae ni mfano wa kuigwa na historia itamkumbuka...
  6. CUF Habari

    Uchaguzi 2020 Aliyekuwa Mbunge Viti Maalum CHADEMA, Sabreena Sungura Atia nia kugombea ubunge jimbo la Segerea kupitia Chama Cha Wananchi CUF

    Mhe. Sabreena Sungura Atia Nia Kugombea Ubunge Jimbo la Segerea Wilaya ya Ilala Mkoani Dar es Salaam Kupitia Chama Cha Wananchi CUF. Sabreena Sungura Mwanamama Jasiri Na Mpambanaji. #2020WanawakeTunawaaminia.
  7. dosama

    Naona kuna shida ya ajira au kupata fedha. Jimbo moja watia nia zaidi ya 500. Au siasa imekuwa ya yeyote anayeweza?

    1. Magufuli alisema kazi ya urais ni kazi ngumu sana anatamani aondoke hata leo, lakini bado kachukua fomu ya kuomba kuongoza dola (sio fomu ya kuomba nafasi ya chama kuwa mgombea). Na tena fomu ilikuwa moja tu. 2. Naona wakuu wa mikoa, wilaya, DED na wateule karibia wote wanataka kuwa wabunge...
  8. J

    RC Chalamila atengua nia yake ya kugombea ubunge Iringa mjini

    Mkuu wa mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesema anatengua nia yake ya kugombea ubunge katika jimbo la Iringa mjini na kwamba ataendelea kuwatumikia wana Mbeya. Chalamila amesema baada ya kumsikiliza Rais Magufuli jana kwa tahadhari aliyotoa kwa wateule wanaoomba ruhusa, alimwelewa vizuri na...
  9. B

    Uchaguzi 2020 Watia nia wengi CCM wameshakosa sifa za kuteuliwa

    WATIA NIA WENGI CCM WAMESHAKOSA SIFA ZA KUTEULIWA. Na Bashir Yakub, WAKILI. +255 714 047 241. Twende na Kanuni ya 35 ya Kanuni za uchaguzi wa Ccm za 2017. Kwanza katika kanuni hizi ambazo ndio msaafu wa maelekezo ya kupatikana kwa viongozi ccm hakuna kitu kinaitwa kutangaza/kutia nia...
  10. Mao Tanzania

    Pongezi Rais Magufuli kuboresha Utumishi wa Umma, Watia nia kuachia ofisi: Mawaziri Igeni

    Wasalamu wana Jukwaa! Nianze kwanza kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa Rehma zake na kutuvusha katika janga zito. Sasa nijielekeze moja kwa moja kwenye hoja yangu. Hoja inahusu Moyo wa dhati wa Mh. Rais kuboresha Utumishi wa Umma kwa kuhimiza kutokuwa na TAMAA YA VYEO KWA WATUMISHI WA UMMA...
  11. KichwaBOGA

    Natia nia ya kuolewa

    Muda wowote naolewa nikipata mchumba mwenye ela..sipend vibamia wenye navyo mkae kando ---------------- UPDATE ____________ Majuzi kati mie kichwaBOGA Mtoto mrembo toka familia ya kitajiri nilitangaza nia ya kuolewa nishapokea maombi ka miatano ya wanaume, nimewavet nkagundua wote amna kitu...
  12. Clark boots

    Uchaguzi 2020 Mliopo Lindi na mtwara tujuzeni sie tulio mbali, Majimbo Lindi mjini,Mtwara mjini ni akina nani wametia nia na vipi pale Mtama kwa Nape

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu naomba mtumie fursa hii kutufahamisha makada waliotia nia haya majimbo 1. LINDI MJINI 2.MTWARA MJINI. Hili jimbo nasikia ndo linagombaniwa sana na makada weng kutoka chama tawala, nasikia hadi DED wa Newala kaomba kuachia ngazi...
  13. RUSTEM PASHA

    Uchaguzi 2020 Abdul Nondo atia nia ubunge Kigoma Mjini

    Watia nia ubunge kigoma mjini mpaka sasa kupitia ACT-WAZALENDO ni Abdul Nondo, Baba Levo. Bado najiuliza Zitto Kabwe atahama jimbo tena au atagombea nao kura za maoni, au hatagombea mwaka huu?
  14. Gmox

    Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Nitagombea Urais Upinzani ukinipa ridhaa

    Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Tanzania na kada wa chama tawala cha Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa miongo mingi Bernard Membe anasema ikiwa Vyama vya Upinzani vitaungana na kumpa ridhaa ya kugombea nafasi ya Urais, basi atakuwa tayari kupambana na Rais John Magufuli katika uchaguzi mkuu ujao...
  15. S

    Mnyika:Kuchukua form kutawajumuisha hata wale ambao hawakutia nia

    Mchakato wa kuchukua fomu utawajumuisha hata wale ambao hawakutia nia. Kila mwanachama anaruhusiwa kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwania nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani- Katibu Mkuu wa Chadema, Mheshimiwa Mnyika.
  16. Ze Bulldozer

    Uchaguzi 2020 Mch. Michael Msigati atangaza nia ya kugombea Ubunge jimbo la Same Magh kupitia TLP, atuma salamu kwa David Mathayo " Sasa ni wakati wa bwana "

    Team salaam! Safari ya TLP kuelekea Oktoba 2020 imepamba moto kwelikweli, Leo chama chetu kimepokea tena Mgombea Wa Ubunge toka Same Magh Mhe. Mch Michael Msigati,
  17. F

    Steven Nyerere aibua kiroroja: Atinga ofisi za CCM kuchukua fomu ya Ubunge. Hakujua muda bado ila alipaswa kutangaza nia tu?

    Kuna video inatembea ikomuonesha Steve Nyerere akijinadi kufika ofisi ile kuchukua fomu ya Ubunge. Hivi hakumuelewa Dkt. Bashiru aliposema ni kuulizia tu utaratibu wa kugombea na kutangaza nia? Fomu zitatolewa kuanzia tarehe 14 hadi 17 July kupitia CCM.
  18. J

    Kamanda Andrew aliyetia nia ya kumrithi mchungaji Msigwa Iringa mjini asimamishwa kazi

    Katika hali isiyoeleweka kama ni figisu za mchungaji Msigwa ama la, Mwalimu Andrew Palagio aliyetia nia kugombea ubunge Iringa mjini kwa tiketi ya Chadema amesimamishwa kazi. Andrew ni mwalimu katika shule ya St Dominic Savio katika manispaa ya Iringa. Ngoja tuone. Maendeleo hayana vyama!
  19. Chachu Ombara

    Uchaguzi 2020 Profesa Kitila Mkumbo akimbia Singida, atangaza nia jimbo la Ubungo

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Profesa Kitila Mkumbo ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Ubungo katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu kupitia Chama Cha Mapinduzi. ==== Kitila Mkumbo ni muhadhiri katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, ana phd ya Saikolojia, Maters ya Elimu...
Back
Top Bottom